Kwako Gerson Msigwa wa Ikulu, heshimu mamlaka

Kwako Gerson Msigwa wa Ikulu, heshimu mamlaka

unahisi nini?


kuwa msigwa hamuheshimu Samia?


Msigwa of all people atatamani ajipendekeze na kumpamba mama sio?


So anakosea ili iweje? au unafikiri Rais ni mkusanya sadaka? cheo kinatisha kile ndugu.Lazima Msigwa anamuheshimu na kama kuna kosa lolote si la makusudi na si la kudhabi kuwa kakosea eti hana heshima!!!


I guess umeona zaidi mchawi nani?
Naona umeruka ruka tu hapa, na umeshindwa kujibu swali langu la msingi.

Ukishapata jibu, rudi hapa kuzungumza/kuandika ulichokiandika.

Narudia tena, ulishwahi kuona/kusoma taarifa ya Ikulu ikisema 'Mh. Rais Dr. John'? Kama hakuna kwa nini sasa hivi ianze kuandikwa Mh. Rais Samia? Mwandishi akiyekuwa anaandika wakati wa JPM ndiye yule yule anayeandika au kutoa taarifa za SHH.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Sawa Bata Maji

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Kupenda heshima kupitiliza imeondoka na Magufuli. Hivi hujui kuna watu wanapenda kuitwa kwa jina lao la kwanza? Kwa mfano Ulaya watu wengi sana wanapenda kuitwa majina yao ya kwanza hata wale wenye vyeo. BTW unajuaje kama mheshimiwa Samia alishaulizwa akasema anapenda kuitwa kwa kutumia jina lake la kwanza? Nakumbuka majuu sehemu nyingi ukianza kazi/masomo mara ya kwanza utaulizwa unapenda kuitwa kwa jina gani?
 
Kupenda heshima kupitiliza imeondoka na Magufuli. Hivi hujui kuna watu wanapenda kuitwa kwa jina lao la kwanza? Kwa mfano Ulaya watu wengi sana wanapenda kuitwa majina yao ya kwanza hata wale wenye vyeo. BTW unajuaje kama mheshimiwa Samia alishaulizwa akasema anapenda kuitwa kwa kutumia jina lake la kwanza? Nakumbuka majuu sehemu nyingi ukianza kazi/masomo mara ya kwanza utaulizwa unapenda kuitwa kwa jina gani?
Wapi nimeandika habari za kupenda Heshima kupitiliza?

Unanileteaje habari za Ulaya wakati mi naongelea Tanzania! Eti Mh. Rais labda aliulizwa, kwa nini useme labda?

Unadhihirisha ni namna gani wewe ni BATA MAJI!

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Wapi nimeandika habari za kupenda Heshima kupitiliza?

Unanileteaje habari za Ulaya wakati mi naongelea Tanzania! Eti Mh. Rais labda aliulizwa, kwa nini useme labda?

Unadhihirisha ni namna gani wewe ni BATA MAJI!

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Raia mwenye jina lake hajaona kuna tatizo anavyoitwa au kuandikwa. Wewe unasema ni tatizo. Mwenye matatizo ni nani kama siyo wewe? Nenda kalime kama huna kazi ya kufanya
 
Soma na uelewe, sawa mkuu!

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Hakuna kisichoeleweka we Mzee.
Angalia hata wakati wa Magufuli, hayo majina matatu au manne alikuwa anayataja mwanzoni, ila pale anaporudia kutaja alikuwa anatumia jina moja Rais Dr. Magufuli, the same kwa samia mwanzoni anaandika hivo hivo majina matatu ila anapokuja kurudia ndio anatamka Rais Samia. Sasa siioni tofauti, so kama ni makosa hapo tukubaliane lakini hayajaanzia Rais Mpya Kama inavyotaka kuwaaminisha watu
 
Hakuna kisichoeleweka we Mzee.
Angalia hata wakati wa Magufuli, hayo majina matatu au manne alikuwa anayataja mwanzoni, ila pale anaporudia kutaja alikuwa anatumia jina moja Rais Dr. Magufuli, the same kwa samia mwanzoni anaandika hivo hivo majina matatu ila anapokuja kurudia ndio anatamka Rais Samia. Sasa siioni tofauti, so kama ni makosa hapo tukubaliane lakini hayajaanzia Rais Mpya Kama inavyotaka kuwaaminisha watu
Ana wenge na mchecheto huyu! I wish mama aendelee kuwabana fedha zijenge nchi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wassalam Wakuu,

Ndugu yetu Gerson Msigwa na timu yake nzima ya kurugenzi ya Habari ya IKULU naona wanashindwa kutoa heshima inayostahili kwa Mama wa Shoka Mh. Rais wa JMT, Mh. SAMIA HASSAN SULUHU. Sasa sijui anafanya makusudi au bado ana majonzi ya kuondoka kwa aliyekuwa Rais wa 5.

Nimeona mara kadhaa tangu kuapishwa kwake wiki iliyopita mpaka jana baada ya Shughuli za Mazishi anafanya makossa yale yale kwa kushindwa kumpa sifa stahiki Rais wa SITA wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mara nyingi amekuwa akiandika “Rais, Mheshiwa SAMIA”. Hii sio sawa kabisa kwa mtazamo wangu kwa Kiongozi wa Nchi kuitwa kwa jina lake la kwanza tu. Kuna kitu kinapungua kwenye kutamka hivyo.

Kwa karibu miaka SITA sasa sijawahi kuona press/Taarifa ya Ikulu iliyomhusisha Rais, Dr. John Pombe Magufuli ikiandikwa “Rais, Mh. Dr. JOHN”. Nakumbuka wakati mwingine aliandika mpaka majina yake manne na hata yale ambayo hayapo kwenye Cheti au yanayotambulika kiserikali. Alikuwa anaandika Dr. John Joseph Pombe Magufuli, lakini Mtu huyu huyu ambaye ni Mkurugenzi wa Mawasailiano ya RAIS Ikulu, anashindwa kuandika Rais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa SAMIA HASSAN SULUHU. Si sawa.

WITO WANGU; Ni wakati sasa wa kumpumzisha ndg yetu huyu ambaye ameshindwa kuheshimu mamlaka ya Nchi kwa Kushindwa kuandika majina yake matatu na sasa ikimpendeza Rais wa JMT, Mh. Samia Suluhu Hassan kumteua Mtu mwingine na ikipendeza Zaidi, napendekeza awe mwanamke.

Sabato njema!
Naona mkuu umeamua kumsagia kunguni kabisa bwana Gerson Msigwa! Ila kama ni kweli umeona hayo atakuwa amejitafakari na kuona kibarua kinaenda kuota nyasi! Naamini Rais wa JMT Mh. Samia Suluhu Hassan anaenda kumteua yule aliyekuwa anazunguka naye kwenye kampeni! Kufa kufaana!
 
Wassalam Wakuu,

Ndugu yetu Gerson Msigwa na timu yake nzima ya kurugenzi ya Habari ya IKULU naona wanashindwa kutoa heshima inayostahili kwa Mama wa Shoka Mh. Rais wa JMT, Mh. SAMIA HASSAN SULUHU. Sasa sijui anafanya makusudi au bado ana majonzi ya kuondoka kwa aliyekuwa Rais wa 5.

Nimeona mara kadhaa tangu kuapishwa kwake wiki iliyopita mpaka jana baada ya Shughuli za Mazishi anafanya makossa yale yale kwa kushindwa kumpa sifa stahiki Rais wa SITA wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mara nyingi amekuwa akiandika “Rais, Mheshiwa SAMIA”. Hii sio sawa kabisa kwa mtazamo wangu kwa Kiongozi wa Nchi kuitwa kwa jina lake la kwanza tu. Kuna kitu kinapungua kwenye kutamka hivyo.

Kwa karibu miaka SITA sasa sijawahi kuona press/Taarifa ya Ikulu iliyomhusisha Rais, Dr. John Pombe Magufuli ikiandikwa “Rais, Mh. Dr. JOHN”. Nakumbuka wakati mwingine aliandika mpaka majina yake manne na hata yale ambayo hayapo kwenye Cheti au yanayotambulika kiserikali. Alikuwa anaandika Dr. John Joseph Pombe Magufuli, lakini Mtu huyu huyu ambaye ni Mkurugenzi wa Mawasailiano ya RAIS Ikulu, anashindwa kuandika Rais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa SAMIA HASSAN SULUHU. Si sawa.

WITO WANGU; Ni wakati sasa wa kumpumzisha ndg yetu huyu ambaye ameshindwa kuheshimu mamlaka ya Nchi kwa Kushindwa kuandika majina yake matatu na sasa ikimpendeza Rais wa JMT, Mh. Samia Suluhu Hassan kumteua Mtu mwingine na ikipendeza Zaidi, napendekeza awe mwanamke.

Sabato njema!
Hii ilitarajiwa...waganga njaa na watu wa .majungu kazini...kwa hiyo yupo mtu unayetaka apate nafasi hiyo...dah...
 
Hakuna kisichoeleweka we Mzee.
Angalia hata wakati wa Magufuli, hayo majina matatu au manne alikuwa anayataja mwanzoni, ila pale anaporudia kutaja alikuwa anatumia jina moja Rais Dr. Magufuli, the same kwa samia mwanzoni anaandika hivo hivo majina matatu ila anapokuja kurudia ndio anatamka Rais Samia. Sasa siioni tofauti, so kama ni makosa hapo tukubaliane lakini hayajaanzia Rais Mpya Kama inavyotaka kuwaaminisha watu
Daaah mbona kwenye post number 1, nimesema kabisa sijawahi press ya Ikulu ikimtambulisha aliyekuwa Rais wa 5 kwa jina la Dr. John!
Mbona nimeandika Kiswahili kabisa, nini ambacho hakieleweki?

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Hii ilitarajiwa...waganga njaa na watu wa .majungu kazini...kwa hiyo yupo mtu unayetaka apate nafasi hiyo...dah...
Kwani kuna Ubaya gani? Si walikuwepo watu kabla ya Msigwa?

Mtu anashindwa kuheshimu Amiri jeshi Mkuu kwa kumuita kama anavyoimuita mwanae halafu lipite hivi hivi.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom