peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Berthaneema Mlay alisema Milembe aliuawa kwa kukatwa mapanga sehemu mbalimbali za mwili wake na watu wasiojulikana.
Huyu mama Mkoa wa Geita umemshinda 100%.
RPC MKOA WA GEITA Ali kufa , alistaafu, alifukuzwa au ni mtoro kazini?
Kila siku kuna mauaji Geita.
Huyu mama Mkoa wa Geita umemshinda 100%.
RPC MKOA WA GEITA Ali kufa , alistaafu, alifukuzwa au ni mtoro kazini?
Kila siku kuna mauaji Geita.