Kwako IGP: Mkoa wa Geita mauaji ni mengi, kaimu RPC anaripoti matukio ya mauaji, RPC wa mkoa wa Geita yuko wapi?

Kwako IGP: Mkoa wa Geita mauaji ni mengi, kaimu RPC anaripoti matukio ya mauaji, RPC wa mkoa wa Geita yuko wapi?

Hii Nchi imeshawashinda CCM sisi CHADEMA tukishida Uchaguzi tutalivunja Jeshi la Polisi na kulisuka upya ili liwe na weledi.

Kuliko sasa hivi huwezi kutofautisha kati ya Polisi na Interahamwe wa UVCCM.

RIP Mawazo.
 
Hizi akili huwa mnatoa wapi?

Hivi mfano mauaji ya mume na mkewe unataka polisi washinde vyumbani kwetu kutulinda mchana na usiku?

Infact mauaji 80% ni kwa kutumia visu na mapanga ambayo yanauzwa kama zana za kazi, sasa polisi watajuaje kama flani ana mgogoro na mkewe na kapanga kumuua leo?

Mostly, Mauaji 90% ni Personal conflicts na sio utekaji au unyang'anyi.

Emu njoo na Suggestion, wacha kulaumu tu.
 
Hii Nchi imeshawashinda CCM sisi CHADEMA tukishida Uchaguzi tutalivunja Jeshi la Polisi na kulisuka upya ili liwe na weledi.

Kuliko sasa hivi huwezi kutofautisha kati ya Polisi na Interahamwe wa UVCCM.

RIP Mawazo.
Hao polisi wa Chadema mtawatoa mwezini?eti tutalivunja!

Maneno mengi!Alafu utawajiri wakina nani?unaweza kufukuza polisi wote alafu then uajiri wengine?

Yaani mawazo ya humu ndani utadhani watu wamelewa

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Hizi akili huwa mnatoa wapi?

Hivi mfano mauaji ya mume na mkewe unataka polisi washinde vyumbani kwetu kutulinda mchana na usiku?

Infact mauaji 80% ni kwa kutumia visu na mapanga ambayo yanauzwa kama zana za kazi, sasa polisi watajuaje kama flani ana mgogoro na mkewe na kapanga kumuua leo?

Mostly, Mauaji 90% ni Personal conflicts na sio utekaji au unyang'anyi.

Emu njoo na Suggestion, wacha kulaumu tu.
Hawana la maana kazi kulaumu!Jamii Forum fanyeni vetting ya aina ya watu wa kuwa humu otherwise mtandao huu umepoteza sana credibit.

Moderators wapo kibao wameajiriwa pale nyuma ya ofisi yenu jamii forum Nyuma ya Lugano Golf Club lkn mpaka matusi yamo humu!

Mnaregulate nini?

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Yani hata nijengewe Palace siwezi ishi Geita
Wewe ni mwanaume au kavulana?
Wanaume tunaishi hadi hapa Mogadishu bila wasiwasi,wewe hapo Geita tu unaogopa?
Katiba mpya utaweza kuipigania kweli?
 
Hizi akili huwa mnatoa wapi?

Hivi mfano mauaji ya mume na mkewe unataka polisi washinde vyumbani kwetu kutulinda mchana na usiku?

Infact mauaji 80% ni kwa kutumia visu na mapanga ambayo yanauzwa kama zana za kazi, sasa polisi watajuaje kama flani ana mgogoro na mkewe na kapanga kumuua leo?

Mostly, Mauaji 90% ni Personal conflicts na sio utekaji au unyang'anyi.
Asalaam
Emu njoo na Suggestion, wacha kulaumu tu.
Noooo mkuu pls, police Geita kama rate yao to arrest suspects ingekuwa kubwa na conviction rate yao ingekuwa nzuri mahakama, tatizo hili lingeisha au kupungua sana, sasa kuna killers wengi they just walk away with murder kwa sababu police ni useless pale Geita, mkoa una traffic officer's wengi mno kuliko police ulinzi, Geita need more boots on the ground sip blah blah
 
KAIMU RPC mkoa Geita tabia yake anafika kwenye tukio baada ya mauaji kutokea.

Tulizoea polisi kufika kwenyetukio, tukio likiendelea Ili kuokoa wananchi na mali zao.
Mauaji kama yanatokana na imani za kishirikina ni jamii yote kuelimishwa na kuelimishana
 
Noooo mkuu pls, police Geita kama rate yao to arrest suspects ingekuwa kubwa na conviction rate yao ingekuwa nzuri mahakama, tatizo hili lingeisha au kupungua sana, sasa kuna killers wengi they just walk away with murder kwa sababu police ni useless pale Geita, mkoa una traffic officer's wengi mno kuliko police ulinzi, Geita need more boots on the ground sip blah blah
Sawa wazo zuri, lakini jiulize kidogo kwamba kwanini USA pamoja na kuwa na Security ya hali ya juu ikiwamo na CCTV kila barabara lakini kila leo tunasikia mauaji ya kupigwa Risasi Raia. Unadhani kwanini Mauaji hayakomi USA?
 
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Berthaneema Mlay alisema Milembe aliuawa kwa kukatwa mapanga sehemu mbalimbali za mwili wake na watu wasiojulikana.

Huyu mama Mkoa wa Geita umemshinda 100%.

RPC MKOA WA GEITA Ali kufa , alistaafu, alifukuzwa au ni mtoro kazini?

Kila siku kuna mauaji Geita.
Sema afande Berthaneema alichoshindwa. Kiseme. Vinginevyo ni majungu!


Jesus is Lord!
 
Kamati ya ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Geita wanaishi mkoa wa Mwanza wote .
Matukio ya kutokea Geita wao wanakula bata Mwanza.

Hii nchi inauma sana.
Sio kweli ....Geita kuna shida madeni mengi wachimbaji wadogo wengi sana matambiko ya madini mengi sanaaa....vifo vingi ushorikina
 
Hizi akili huwa mnatoa wapi?

Hivi mfano mauaji ya mume na mkewe unataka polisi washinde vyumbani kwetu kutulinda mchana na usiku?

Infact mauaji 80% ni kwa kutumia visu na mapanga ambayo yanauzwa kama zana za kazi, sasa polisi watajuaje kama flani ana mgogoro na mkewe na kapanga kumuua leo?

Mostly, Mauaji 90% ni Personal conflicts na sio utekaji au unyang'anyi.

Emu njoo na Suggestion, wacha kulaumu tu.
Geita wa badilike kama unaishi na mtu anayekutishia maisha karipoti polisi hata kama ni mme au mke au rafiki wa karibu Ili kukomesha mauaji, kingine geita imejaa wahamiaji wa mikoa mingine hasa waliokimbia makwao Kwa makosa mbalimbali waliyoyatenda katika jamii zao hivyo geita wanajificha Kwa maana ya kwenda machimboni,na wakifika huko wanabadilisha majina Yao halisi, Geita iwe Kanda maalumu, kingine ushirikina wa machimboni nacho ni chanzo Cha mauaji Geita,pia kudhulumu watu,Hawa watu wa madini kudhulumu wewe hawaonagi shida kwao,zaidi ya hapo Geita wanapesa za madini Sasa kukuchululia mke au Bwana,au mpenzi wako Kwao sio tatizo kabisa hivyo kisasi ni lazima kwo.

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
 
Waziri na Naibu wake naona wanataka au wanamlazimisha Mama Samia ashike kalamu yake nyekundu
 
Back
Top Bottom