Judge Mutungi atwambie ikiwa compaign za Urais zimeanza,Ndio shida ya CCM wao siku zote wanawaza CHAGUZI ila MATATiZO ya wananchi kama
1.Mgao mkali wa UMEME
2.Ukosefu wa Maji licha ya kuwa na vyanzo lukuki vya MAJI
3.Huduma duni kabisa za Usafiri jijini Dar
4.Migogoro ya kila siku kati ya Wakulima na Wafugaji ,..HAYAWAHUSU ila kutwa ni kuwaza KUPORA chaguzi..
Hawa watu pasipo watz kuamka,TUMEKWISHA
Ukweli nao uwe na kiasi Mkuu. Tunasema kidogo kidogo. Hapo kwa "wapiga domo ........" umezidisha 🤣.Wala usijali huyo jokate yupo Kwa kazi maalum!
We hujui mgombea anapopiga kampeni mapema nachuja mapema!!?
Bora mtaka kiti angefanya 50/50 ingemsaidia lakini kuwaaminisha wtu mapema hivi ni kujiumiza na kujimaliza kisiasa!!
Wapiga domo Wote wa urais wa huyu mama ni Anti-samiah wote !
Source-trust me Brooo!
Jomba huyo Mutungi hapo alipo kateuliwa hiyo nafasi na mwenyekiti wa CCM ambaye ndo Rais.Acha hizo,
Umeambiwa na nani Judge Mutungi ni mwajiriwa wa CCCM Hadi ahofie kuipa onyo CCCM?
Uongo,Jomba huyo Mutungi hapo alipo kateuliwa hiyo nafasi na mwenyekiti wa CCM ambaye ndo Rais.
Kuwakumbusha CCCM kuacha kufanya compaign kabla ya muda Si kosa.Bado anapenda ugali wa meza kuu, usisababishe yakamkuta ya bwana "nduugaiii"
Ingekuwa Chadema imefanya hivi VIONGOZI wake wangekuwa MAGEREZAAmesikika Katibu mkuu UWT Ndugu Jokate Mwegelo akimuombea kura ya Urais mmoja wa "wanaosemekana" kutaka kugombea Urais 2025, kada huyo amesema hayo akiwa Mbinga Ruvuma, ingawa haijathibitika ametumwa aseme, au amejituma mwenyewe!
Tupe majibu stahiki ndugu mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi!!
Na ikiwa jambo hili halijaruhusiwa, jitutumue Uipe ONYO au karipio Kali CCM!!
Ni hayo tu.
Chanzo: Ayo Tv.
HahahaaAmesikika Katibu mkuu UWT Ndugu Jokate Mwegelo akimuombea kura ya Urais mmoja wa "wanaosemekana" kutaka kugombea Urais 2025, kada huyo amesema hayo akiwa Mbinga Ruvuma, ingawa haijathibitika ametumwa aseme, au amejituma mwenyewe!
Tupe majibu stahiki ndugu mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi!!
Na ikiwa jambo hili halijaruhusiwa, jitutumue Uipe ONYO au karipio Kali CCM!!
Ni hayo tu.
Chanzo: Ayo Tv.
Umefanya wajibu wako kama Raia MwemaKuwakumbusha CCCM kuacha kufanya compaign kabla ya muda Si kosa.
CHADEMA hawawezi kupandwa na homa ya uchaguzi Kwa level hiyo.Ingekuwa Chadema imefanya hivi VIONGOZI wake wangekuwa MAGEREZA
Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
Tena ugali mteremko bila mguvu nyingi .......muhimu udhulum haki za wengine tu. Mengine yanajipaBado anapenda ugali wa meza kuu, usisababishe yakamkuta ya bwana "nduugaiii"
Chadema ipande na homa?? Ni homa hii hii ya akina Makonda ya wiki moja?CHADEMA hawawezi kupandwa na homa ya uchaguzi Kwa level hiyo.
Acha ujanja wa mbuzi kujambia mdomo... ukweli hata Mutungi anaujua.Uongo,
Judge Mutungi ameteuliwa na Rais, hakuteuliwa na mwenyekiti wa CCM,
Ndomana mshahara wake hautoki Lumumba.
Aikemee CCCM bila uoga.
KATIBA haisemi hivyo,Unaye mu address hapo ni chichiem damu
Ova
Utaratibu huo umeruhusiwa na vikao vya chama Cha MAPINDUZI kuombeana kura kabla ya WAKATI?Kuna taasisi imetangaza uchaguzi? Halafu siasa sio hesabu
Nani sasa asiependa hayo maishaTena ugali mteremko bila mguvu nyingi .......muhimu udhulum haki za wengine tu. Mengine yanajipa
Sio kwa kunyonga haki za wengineNani sasa asiependa hayo maisha
Ukijikuta umenyooka kama rula siku zako zitahesabiwa kwa vidoleSio kwa kunyonga haki za wengine
Hawezi na hatakaa aweze. Hicho cheo Yuko kwa hisani ya mwenyekiti wa ccm.Unaamini Judge Mutungi hawezi kuipa onyo CCM?
Lakini analipwa Kwa Kodi za wananchi na nafasi yake IPO kikatiba!!Hawezi na hatakaa aweze. Hicho cheo Yuko kwa hisani ya mwenyekiti wa ccm.