Kwako Jaji Mutungi, Kampeni za Uchaguzi wa Urais 2025 zimeruhusiwa Rasmi?

Kwako Jaji Mutungi, Kampeni za Uchaguzi wa Urais 2025 zimeruhusiwa Rasmi?

Ndio shida ya CCM wao siku zote wanawaza CHAGUZI ila MATATiZO ya wananchi kama
1.Mgao mkali wa UMEME
2.Ukosefu wa Maji licha ya kuwa na vyanzo lukuki vya MAJI
3.Huduma duni kabisa za Usafiri jijini Dar
4.Migogoro ya kila siku kati ya Wakulima na Wafugaji ,..HAYAWAHUSU ila kutwa ni kuwaza KUPORA chaguzi..
Hawa watu pasipo watz kuamka,TUMEKWISHA
Judge Mutungi atwambie ikiwa compaign za Urais zimeanza,

Maana Mh Rungwe Kwa Mfano, naamini Hana habari juu ya kuanza compaign mapema!!
 
Wala usijali huyo jokate yupo Kwa kazi maalum!

We hujui mgombea anapopiga kampeni mapema nachuja mapema!!?

Bora mtaka kiti angefanya 50/50 ingemsaidia lakini kuwaaminisha wtu mapema hivi ni kujiumiza na kujimaliza kisiasa!!

Wapiga domo Wote wa urais wa huyu mama ni Anti-samiah wote !

Source-trust me Brooo!
Ukweli nao uwe na kiasi Mkuu. Tunasema kidogo kidogo. Hapo kwa "wapiga domo ........" umezidisha 🤣.
Ukiona mtu anatumia nguvu kubwa kuna kitu anaficha kwa kwenda extreme.
 
Jomba huyo Mutungi hapo alipo kateuliwa hiyo nafasi na mwenyekiti wa CCM ambaye ndo Rais.
Uongo,

Judge Mutungi ameteuliwa na Rais, hakuteuliwa na mwenyekiti wa CCM,

Ndomana mshahara wake hautoki Lumumba.

Aikemee CCCM bila uoga.
 
Amesikika Katibu mkuu UWT Ndugu Jokate Mwegelo akimuombea kura ya Urais mmoja wa "wanaosemekana" kutaka kugombea Urais 2025, kada huyo amesema hayo akiwa Mbinga Ruvuma, ingawa haijathibitika ametumwa aseme, au amejituma mwenyewe!

Tupe majibu stahiki ndugu mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi!!

Na ikiwa jambo hili halijaruhusiwa, jitutumue Uipe ONYO au karipio Kali CCM!!

Ni hayo tu.

Chanzo: Ayo Tv.
Ingekuwa Chadema imefanya hivi VIONGOZI wake wangekuwa MAGEREZA

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Amesikika Katibu mkuu UWT Ndugu Jokate Mwegelo akimuombea kura ya Urais mmoja wa "wanaosemekana" kutaka kugombea Urais 2025, kada huyo amesema hayo akiwa Mbinga Ruvuma, ingawa haijathibitika ametumwa aseme, au amejituma mwenyewe!

Tupe majibu stahiki ndugu mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi!!

Na ikiwa jambo hili halijaruhusiwa, jitutumue Uipe ONYO au karipio Kali CCM!!

Ni hayo tu.

Chanzo: Ayo Tv.
Hahahaa
 
Uongo,

Judge Mutungi ameteuliwa na Rais, hakuteuliwa na mwenyekiti wa CCM,

Ndomana mshahara wake hautoki Lumumba.

Aikemee CCCM bila uoga.
Acha ujanja wa mbuzi kujambia mdomo... ukweli hata Mutungi anaujua.
 
Back
Top Bottom