Kwako Makonda, RC Mpya wa Arusha: Kipaupembele chako kikuu kama RC kiwe ni kuboresha mazingira ya utalii bora

Kwako Makonda, RC Mpya wa Arusha: Kipaupembele chako kikuu kama RC kiwe ni kuboresha mazingira ya utalii bora

Makonda tayari CV yako ni nzuri iendeleze itakufaa mbele ya safari kwa vyeo ulivyopitia na ufanisi wako ila ongeza elimu kidogo Distant Education Masters.
 
Poleni Arusha, akufelishaye hakuchagulii mtihani....
Mvamizi aliyepingwa marufuku kuingia marekani kwa kudhulumu maisha na kutesa binadamu leo anapelekwa kusimamia utalii Jiji la utalii!!!
Hii nchi akili za viongozi ni za ajabu saana saaaanaaaa!!!
Eti kisa Lema,tunawaza uchaguzi kuliko maendeleo.
 
Kwako Mkuu wa Mkoa Arusha mteuliwa Ndg. Paul Makonda, ninakupongeza Kwa uteuzi wako ambao kimsingi umenipa furaha hususani Kwa kupelekwa mkoa ambao ni kitovu Kwa shughuli za utalii ndani ya nchi yetu.

Utalii ni Moja ya sekta tegemeo katika upatikanaji wa fedha za kigeni na upatikanaji wa ajira hivyo kama mazingira ya sekta hii yakiwa bora na ya kuhamasisha uchumi utakua sana.

Ndg. Makonda, ninafahamu uthubutu wako na uwezo wako kiuongozi unaweza kuwa ni motisha tosha ya kukuza utalii ndani ya Arusha. Kupitia mada yenye kichwa kinachosema Tumshauri Rais ateue vijana wasio na uzoefu lakini wana vipaji vya uongozi kwenye taasisi za Umma, hawa ni watu ' potential' sana niliwaelezea Kwa ufupi vijana wenye sifa kama zako ambao kwao matokeo ni jambo la msingi. Tunataka kuona matokeo kwenye sekta ya utalii hususani ndani ya Arusha kupitia wewe.

Kwa kuanza katika kukuza utalii na kuboresha mazingira ya utalii ndani Fanya yafuatayo:

Kwanza, anza Kwa kuonesha mfano. Wewe ni Moja ya watu ambao unafuatiliwa sana Kila siku kwenye vyombo vya habari ,mitandao ya kijamii na sehemu mbalimbali. Ukianza Kwa kuonesha mfano wa kutembelea vivutio vya utalii na kuposti wengi wanaokufatilia watahasika zaidi na zaidi na kutamani kujionea wenyewe.

Pili, una ushawishi mkubwa mpaka Kwa wasanii na waigizaji wakubwa tumia ushawishi ulionao kuwashawishi kufanya matamasha ya utalii ndani ya Arusha hususani Ngorongoro.

Tatu, vijana wa Arusha wametumbukia kwenye ulevi wa kupindukia, matumizi ya bhangi na uendeshaji wa hovyo wa vyombo vya moto hususani pikipiki, haya yote yanatengeneza hofu Kwa wageni kuzuru jiji la Arusha. Utalii unahitaji mazingira ya utulivu na amani ,tunaomba hili ukalitizame.

Nne, tumia Kila njia, mbinu na mkakati kusaidia kutangaza utalii ndani ya Arusha sio tu hapa nchini bali hata nje ya nchi. Ukifanikiwa kuutangaza utalii ndani ya Arusha ka kuboresha mazingira bora ya utalii ,watanzania watajivunia uwepo wako zaidi.

Tano, simama kama wakala wa utalii ndani ya Arusha.

NB: Usikubali kushiriki siasa za Lema maana ni za kitoto sana ,atataka kukutoa kwenye mstari.
Tunangoja beer za ofa
 
Kwako Mkuu wa Mkoa Arusha mteuliwa Ndg. Paul Makonda, ninakupongeza Kwa uteuzi wako ambao kimsingi umenipa furaha hususani Kwa kupelekwa mkoa ambao ni kitovu Kwa shughuli za utalii ndani ya nchi yetu.

Utalii ni Moja ya sekta tegemeo katika upatikanaji wa fedha za kigeni na upatikanaji wa ajira hivyo kama mazingira ya sekta hii yakiwa bora na ya kuhamasisha uchumi utakua sana.

Ndg. Makonda, ninafahamu uthubutu wako na uwezo wako kiuongozi unaweza kuwa ni motisha tosha ya kukuza utalii ndani ya Arusha. Kupitia mada yenye kichwa kinachosema Tumshauri Rais ateue vijana wasio na uzoefu lakini wana vipaji vya uongozi kwenye taasisi za Umma, hawa ni watu ' potential' sana niliwaelezea Kwa ufupi vijana wenye sifa kama zako ambao kwao matokeo ni jambo la msingi. Tunataka kuona matokeo kwenye sekta ya utalii hususani ndani ya Arusha kupitia wewe.

Kwa kuanza katika kukuza utalii na kuboresha mazingira ya utalii ndani Fanya yafuatayo:

Kwanza, anza Kwa kuonesha mfano. Wewe ni Moja ya watu ambao unafuatiliwa sana Kila siku kwenye vyombo vya habari ,mitandao ya kijamii na sehemu mbalimbali. Ukianza Kwa kuonesha mfano wa kutembelea vivutio vya utalii na kuposti wengi wanaokufatilia watahasika zaidi na zaidi na kutamani kujionea wenyewe.

Pili, una ushawishi mkubwa mpaka Kwa wasanii na waigizaji wakubwa tumia ushawishi ulionao kuwashawishi kufanya matamasha ya utalii ndani ya Arusha hususani Ngorongoro.

Tatu, vijana wa Arusha wametumbukia kwenye ulevi wa kupindukia, matumizi ya bhangi na uendeshaji wa hovyo wa vyombo vya moto hususani pikipiki, haya yote yanatengeneza hofu Kwa wageni kuzuru jiji la Arusha. Utalii unahitaji mazingira ya utulivu na amani ,tunaomba hili ukalitizame.

Nne, tumia Kila njia, mbinu na mkakati kusaidia kutangaza utalii ndani ya Arusha sio tu hapa nchini bali hata nje ya nchi. Ukifanikiwa kuutangaza utalii ndani ya Arusha ka kuboresha mazingira bora ya utalii ,watanzania watajivunia uwepo wako zaidi.

Tano, simama kama wakala wa utalii ndani ya Arusha.

NB: Usikubali kushiriki siasa za Lema maana ni za kitoto sana ,atataka kukutoa kwenye mstari.

Utalii unakuzwa na Mkuu wa Mkoa? Tanzania hii jaman, huu utalii unakuzwa na uwekezaji wa wa sekta binafsi, na kuharibiwa na wanasiasa.
 
Tabia ni kama ngozi awezi badirika uyo alichokifanya kwa GSM ndio anakuja wafanyia wafanya biashara wa arusha, hofu yangu tu wachaga si mafala nahofia mwamba kupigwa risasi hadharani kabisa watu wanaona na muaji akajiua kwa hasira na mauzi,
 
Back
Top Bottom