Kwako Mbunge Hamisi Mwinjuma (Mwana FA) kauli hii inaweza kukosesha Ubunge

Ni maneno mabaya kwa mwanasiasa mwenye kuhitaji kura kwa wapiga kura wake. Ye achangie tu huko ndiko anakojenga ushawishi
 
Kuna mambo Watanzania yanatuletea matatizo sana tena wakati mwingine huleta chuki baina ya ndugu,marafiki hata kwa majirani kwa sababu mtu analazimisha umchangie sherehe yake ya harusi na ukisema huna hela basi nongwa inaanzia hapo.
Watanzania tubadilike inakuwaje unataka uchangiwe kwenye starehe yako! Kuoa unaoa wewe,kubandua unaenda kubandua wewe halafu hela wakutolee watu wengine!
Namuunga mkono Mwana FA kwa 100%.
 
Mm sina demu napiga nyeto halafu nikuchangie wewe ili ukapge mbupu... Sifanyi hiyo biashara kichaa...
 
Kijamaa huwa kinajiona kagenius kumbe hamna kitu.
 
Mbona harusi ya Manara alichangia.
Usimwamini sana yule Mbondei. Ana tabia za uongo Fulani. Aliwahi kuimba kwenye suala la kuoa kuwa Bado yupo yupo sana na akamalizia "wakuoa nitakuwa Mimi bwana?" Kumbe ana Mke na anaendelea kuongeza uumbaji.

Hiyo ya harusi alisema kutafuta neno la kumuweka public tu!
 
Shida ya watanzania wengi wanapenda kupewa pewa sana ndio maana hilo swala la Mwana FA kutokuchangia linawasumbua akili
 
Jamaa yuko sawa sanaa. Na kutopiga kura kwa sababu ya kauli hii ni tatizo kwani huu mtazamo wake hauna uhusiano kabisa na utendaji wa kazi za Kibunge wala uwaziri.

Harusi siku hizi ni kama watu wanataka attention tu na kupata hela flani kwa wingi wafanye mambo ambayo sometimes hata kwa hela yao binafsi wasingeweza kufanya. Hii michango michango ni uzushi tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…