Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Min ...Mimi nafikiri chaguzi hizo zinafanyika random tu bila kuaangalia udini , ukianza kufanya chaguzi kwa kubalance mambo ya udini apo ndipo tatzo litakapo anzia .serikali haina dini mkuu.
Ikiwa serikali inahodhiwa 80% na waumini wa dini moja bado serikali hiyo itakuwa haina dini?