Abou Saydou
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 2,947
- 2,108
Huyo kijana mpuuzi sana. Alileta Uzi humu akiomba ugonjwa ufike Tanzania.
Kwahiyo unaamini ule Uzi wake ndio ulioleta corona?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo kijana mpuuzi sana. Alileta Uzi humu akiomba ugonjwa ufike Tanzania.
Wewe bado tumekuacha kwenye siasa za ccm na chadema mpaka afe nani ndiyo utashtuka,hali ni hatari ni hatari tusipo paza sauti tuta kufa tutaisha,ukweli utatuokoaHehe Chadema mnafurahisha kweli
Mara Hatutaki lockdown mara Tunataka lockdown
Ndio maana hakuna anayewasikiliza maana hamueleweki mnataka nini
Heheheheh umekunywa chai kijanaHakuna mtanzania yeyote timamu anayetaka lockdown, Watanzania wanataka uwajibikike kama Rais wao, Watanzania wanataka uwazi wa wagonjwa wangapi wanakufa na wangapi wanaumwa? Watanzania wanataka kujua pesa za misaada ziko wapi? Watanzania wanataka kujua vifaa vilivyonunuliwa viko wapi?
Watanzani labda ungewaambia kwanini umejificha? Watanzania wanataka kujua kwa nini madoctor wanakimbia wagonjwa ? Watanzania wana haki ya kujua yote hayo?
Kama tatizo hakuna tanganza kuanzia leo kazi zote ziendelee kama kawaida.
Fungua shule, Rudi Ikulu uchape kazi au jiuzulu watu wanakufa wanateseka hospitali bila huduma zozote wewe umejificha haileti picha nzuri.
Magufuli unatushangaza sana sisi ndugu zako nakuomba achia Ikulu kama hauwezi kusimama na watanzania kwenye majanga ya Kitaifa.
Ni njia gani zinazotumika kupambana na gonjwa hili mpaka visa vinapungua kwa kasi???Serkali ipo makini, visa vya corona vinapungua ukilinganisha na Nchi zinazotuzunguka
Hujui kitu!!! mbuzi wa magengeniRais wa ovyo kabisa.
Wewe bado tumekuacha kwenye siasa za ccm na chadema mpaka afe nani ndiyo utashtuka,hali ni hatari ni hatari tusipo paza sauti tuta kufa tutaisha,ukweli utatuokoa
DuhHehe Chadema mnafurahisha kweli
Mara Hatutaki lockdown mara Tunataka lockdown
Ndio maana hakuna anayewasikiliza maana hamueleweki mnataka nini
🖕Hehe Chadema mnafurahisha kweli
Mara Hatutaki lockdown mara Tunataka lockdown
Ndio maana hakuna anayewasikiliza maana hamueleweki mnataka nini
Wee mama naona kifafa chako cha mimba kimekupata tena.Hujui kitu!!! mbuzi wa magengeni
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Achana na huyo. Bila shaka ana uwendawazimu wa aina fulani. Tumia muda wako kuwajibu wenye akili.
Niliona mahali ulishauriwa kuwa unapokuta mijadala ya kutumia akili wewe ishia kusoma tuu lakini naona ushauri huo umeukataa. Shauri yako!Hehe Chadema mnafurahisha kweli
Mara Hatutaki lockdown mara Tunataka lockdown
Ndio maana hakuna anayewasikiliza maana hamueleweki mnataka nini
Wafanyao siasa kwenye magonjwa mbona wanajulikana!Amka kutoka usingizini. Ulikesha unaleta maombi janga hili liingie nchini. Sasa umefurahi? Bavicha mna utoto sana. Siasa mpaka kwenye magonjwa.
Naona CHADEMA inaishi ndani ya ubongo wako bila kulipa kodi!Hehe Chadema mnafurahisha kweli
Mara Hatutaki lockdown mara Tunataka lockdown
Ndio maana hakuna anayewasikiliza maana hamueleweki mnataka nini
Huyo kijana mpuuzi sana. Alileta Uzi humu akiomba ugonjwa ufike Tanzania.
Siku yaja upesi watasikilizwa tu, hakuna marefu yasiyo na nchaHehe Chadema mnafurahisha kweli
Mara Hatutaki lockdown mara Tunataka lockdown
Ndio maana hakuna anayewasikiliza maana hamueleweki mnataka nini