Voice of Tanzania
JF-Expert Member
- Sep 23, 2018
- 2,036
- 3,107
HahahaYaani vigezo vya kuomba kazi viongezwe salary ile ile
Maboresho haya yaanzie kwenye mshahara na mazingira ya ufundishaji na ujifunzaji
Ukiweza hilo ongeza vigezo hata kwenye harusi tunazochangia tumeomba wapunguze maia na marembo mengi waongeze nyama watu wanachangia ety
Sitaki kuzungumzia kabisa GPA lakini niseme kwamba wenye GPA za kawaida ndio wenye uwezo mzuri zaidi kuliko wenye kubwa kwa sababu wenye GPA kubwa wengi wametumia mbinumbinu kuzipata.Huez mjaji mtu ubora wake kwa mtian wa siku moja kwa vitu vya miaka tano nne na tatu alotumia kusoma, Hii si njia bora kwann usiseme watumie GPA?
Ingekuwa ni hivyo basi kusingekuwa na haja ya interview kufanyika na badala yake watu waombe HR meneja ajichagulie anayetaka maisha yasonge mbele.Jambo limgine chuo ndio chenye dhamana ya kutambua ubora ndio mana alifaulu na kupewa cheti cha taaluma husika manaake anafaa kufanya kazi husika
Usichotaka kukikubali ni kuwa mtu aliyehitimu chuoni ana uwezo wa kufanya kazi katika fani yake!! Mtihani wa ziada ni kuongeza tu gharama isiyokuwa ya lazima!! Na usumbufu usiokuwa wa lazima!! Hongera Tamisemi kwa kuliona hilo!! Miaka yote waalimu na madaktari hawafanyiwi usaili!! Walishahitimu vyuoni na wameitioa viindi vya mafunzo kwa vitendo!!Mhe.Rais wa JMT,
Mhe.Waziri wa TAMISEMI
Nawapongeza kwa jitihada zenu katika kutengeneza na kutoa fursa za ajira nyingi sana katika kada ya ualimu na Afya. Ni ishara njema katika kupunguza tatizo la ajira nchini.
Mhe. Waziri wa TAMISEMI, maoni na mapendekezo haya ni kwa ajili ya ofisi yako ikiwa kama ofisi inayoratibu mchakato wa ajira za ualimu na Afya zilizotangazwa hivi karibuni. Maoni yangu yatasimamia katika mchakato wa kuomba mpaka kupangiwa vituo.
Ni ukweli usiopingika ,usaili au mtihani ni moja ya njia nzuri ya kupata watu walio bora na usaili ni moja ya mchakato muhimu katika ajira.
Hali imekuwa tofauti kwa ajira za TAMISEMI, labda pengine kutokana na wingi wa wanaoomba au kuwapunguzia gharama waombaji ,usaili au mitihani huwa sioni ikifanyika. Je, mna uhakika gani mliyepatia ajira ni bora kuliko mliyemuacha?
Utaratibu huu wa kuchuja na Kuwapatia ajira bila kuwepo usaili au mitihani lazima utaingiwa na dosari za upendeleo na kupatikana kwa watu wasio na sifa na wenye sifa kuachwa.
Ni vema utaratibu ukabadilishwa ili kutoa fursa sawa kwa waombaji na uangaliwe utaratibu wa kuwafanyia walau "ONLINE APTITUDE TEST" waombaji utazamwe. Kila muombaji ashiriki kwenye test kwa walau hata ya somo moja la atakalofundisha.
Pia katika utaratibu huu wa ONLINE APTITUDE TEST sio lazima waombaji labda walioomba kufundisha' biology' wafanye test ya aina moja, ili kuepusha kupeana majibu au udanganyifu wanaweza kupewa test tofauti au kama ni test ya aina moja mpangilo wa maswali ubadilishwe baina ya waombaji.
Tutumie walau njia hii kuondoa upendeleo wa aina yoyote au lawama kwamba nilikosa huku nikiwa Nina sifa.
Matumaini maoni haya yatakuwa ni msaada katika upatikanaji wa watumishi bora na sahihi.
Ahsante.
Hakuna uendeleo!! Kigezo kinachotumika ni: Aliyehitimu mwanzo apatiwe ajira mwanzo!! Waliohitimu pamoja apatiwe ajira kwanza mwenye umri mkubwa!! Hii imekaa vizuri!!Sitaki kuzungumzia kabisa GPA lakini niseme kwamba wenye GPA za kawaida ndio wenye uwezo mzuri zaidi kuliko wenye kubwa kwa sababu wenye GPA kubwa wengi wametumia mbinumbinu kuzipata.
Nawakubali sana wazungu, kwenye Mashirika yao wakitafuta mtu GPA sio hata kigezo ila utapimwa kwa skills na competencies zako.
Umesema huwezi kumjaji mtu kwa mtihani wa siku moja, vipi huko ulipopita haikutumika mitihani tena isiyongua masaa 2 kukugredi? Kwa nini kwenye mchakato huu kisiwepo kigezo bora Cha mchujo badala ya upendeleo na kujuana kutapoweza kufanyika?
GPA za kuchonga ni nyingi sana!! Utaratibu wa sasa ni wa haki. Aliyehitimu mwanzo kwa masomo yanayofanana anapatiwa ajira kwanza!! Waliohitimu pamoja mwenye umri mkubwa anapatiwa ajira kwanza!! Wakigombea nafasi moja waliohitimu amoja na wanalingana miaka hapo ndipo GPA inaamua!! Hii imekaa vizuri sana. Hii ni foleni!Huez mjaji mtu ubora wake kwa mtian wa siku moja kwa vitu vya miaka tano nne na tatu alotumia kusoma, Hii si njia bora kwann usiseme watumie GPA?
Ukute na wewe umeomba hizi ajiraNi wazo zuri hila ni la ghali sanaaa japo ni kizuri ni ghalama lakini fikili cc wengine wa nanjilinji uku kupiga cm tu lazima upande gari uende tafuta mtandao mahala je hyo Online Aptitude Test Itakuwaje? Hapo sasa serikali kwanza itaanza na poject za kuboresha huduma za kimawasiliano kwanza nchi nzima ni ghalama zaidi ya hata wanavyofanya utumishi kukusanya watu dodoma
Ndio Kwan nimekatazwa nisiombeUkute na wewe umeomba hizi ajira
Dua lako limejibiwaMhe.Rais wa JMT,
Mhe.Waziri wa TAMISEMI
Nawapongeza kwa jitihada zenu katika kutengeneza na kutoa fursa za ajira nyingi sana katika kada ya ualimu na Afya. Ni ishara njema katika kupunguza tatizo la ajira nchini.
Mhe. Waziri wa TAMISEMI, maoni na mapendekezo haya ni kwa ajili ya ofisi yako ikiwa kama ofisi inayoratibu mchakato wa ajira za ualimu na Afya zilizotangazwa hivi karibuni. Maoni yangu yatasimamia katika mchakato wa kuomba mpaka kupangiwa vituo.
Ni ukweli usiopingika ,usaili au mtihani ni moja ya njia nzuri ya kupata watu walio bora na usaili ni moja ya mchakato muhimu katika ajira.
Hali imekuwa tofauti kwa ajira za TAMISEMI, labda pengine kutokana na wingi wa wanaoomba au kuwapunguzia gharama waombaji ,usaili au mitihani huwa sioni ikifanyika. Je, mna uhakika gani mliyepatia ajira ni bora kuliko mliyemuacha?
Utaratibu huu wa kuchuja na Kuwapatia ajira bila kuwepo usaili au mitihani lazima utaingiwa na dosari za upendeleo na kupatikana kwa watu wasio na sifa na wenye sifa kuachwa.
Ni vema utaratibu ukabadilishwa ili kutoa fursa sawa kwa waombaji na uangaliwe utaratibu wa kuwafanyia walau "ONLINE APTITUDE TEST" waombaji utazamwe. Kila muombaji ashiriki kwenye test kwa walau hata ya somo moja la atakalofundisha.
Pia katika utaratibu huu wa ONLINE APTITUDE TEST sio lazima waombaji labda walioomba kufundisha' biology' wafanye test ya aina moja, ili kuepusha kupeana majibu au udanganyifu wanaweza kupewa test tofauti au kama ni test ya aina moja mpangilo wa maswali ubadilishwe baina ya waombaji.
Tutumie walau njia hii kuondoa upendeleo wa aina yoyote au lawama kwamba nilikosa huku nikiwa Nina sifa.
Matumaini maoni haya yatakuwa ni msaada katika upatikanaji wa watumishi bora na sahihi.
Ahsante.
aunga mkono hojaMhe.Rais wa JMT,
Mhe.Waziri wa TAMISEMI
Nawapongeza kwa jitihada zenu katika kutengeneza na kutoa fursa za ajira nyingi sana katika kada ya ualimu na Afya. Ni ishara njema katika kupunguza tatizo la ajira nchini.
Mhe. Waziri wa TAMISEMI, maoni na mapendekezo haya ni kwa ajili ya ofisi yako ikiwa kama ofisi inayoratibu mchakato wa ajira za ualimu na Afya zilizotangazwa hivi karibuni. Maoni yangu yatasimamia katika mchakato wa kuomba mpaka kupangiwa vituo.
Ni ukweli usiopingika ,usaili au mtihani ni moja ya njia nzuri ya kupata watu walio bora na usaili ni moja ya mchakato muhimu katika ajira.
Hali imekuwa tofauti kwa ajira za TAMISEMI, labda pengine kutokana na wingi wa wanaoomba au kuwapunguzia gharama waombaji ,usaili au mitihani huwa sioni ikifanyika. Je, mna uhakika gani mliyepatia ajira ni bora kuliko mliyemuacha?
Utaratibu huu wa kuchuja na Kuwapatia ajira bila kuwepo usaili au mitihani lazima utaingiwa na dosari za upendeleo na kupatikana kwa watu wasio na sifa na wenye sifa kuachwa.
Ni vema utaratibu ukabadilishwa ili kutoa fursa sawa kwa waombaji na uangaliwe utaratibu wa kuwafanyia walau "ONLINE APTITUDE TEST" waombaji utazamwe. Kila muombaji ashiriki kwenye test kwa walau hata ya somo moja la atakalofundisha.
Pia katika utaratibu huu wa ONLINE APTITUDE TEST sio lazima waombaji labda walioomba kufundisha' biology' wafanye test ya aina moja, ili kuepusha kupeana majibu au udanganyifu wanaweza kupewa test tofauti au kama ni test ya aina moja mpangilo wa maswali ubadilishwe baina ya waombaji.
Tutumie walau njia hii kuondoa upendeleo wa aina yoyote au lawama kwamba nilikosa huku nikiwa Nina sifa.
Matumaini maoni haya yatakuwa ni msaada katika upatikanaji wa watumishi bora na sahihi.
Ahsante.