Kwako waziri wa TAMISEMI, angalieni na namna ya kuwachuja wanaoomba kazi za ualimu walau hata kwa "Online aptitude test"

Ni wazo zuri hila ni la ghali sanaaa japo ni kizuri ni ghalama lakini fikili cc wengine wa nanjilinji uku kupiga cm tu lazima upande gari uende tafuta mtandao mahala je hyo Online Aptitude Test Itakuwaje? Hapo sasa serikali kwanza itaanza na poject za kuboresha huduma za kimawasiliano kwanza nchi nzima ni ghalama zaidi ya hata wanavyofanya utumishi kukusanya watu dodoma
 
Huez mjaji mtu ubora wake kwa mtian wa siku moja kwa vitu vya miaka tano nne na tatu alotumia kusoma, Hii si njia bora kwann usiseme watumie GPA?
 
Jambo limgine chuo ndio chenye dhamana ya kutambua ubora ndio mana alifaulu na kupewa cheti cha taaluma husika manaake anafaa kufanya kazi husika
 
Hahaha
 
Huez mjaji mtu ubora wake kwa mtian wa siku moja kwa vitu vya miaka tano nne na tatu alotumia kusoma, Hii si njia bora kwann usiseme watumie GPA?
Sitaki kuzungumzia kabisa GPA lakini niseme kwamba wenye GPA za kawaida ndio wenye uwezo mzuri zaidi kuliko wenye kubwa kwa sababu wenye GPA kubwa wengi wametumia mbinumbinu kuzipata.

Nawakubali sana wazungu, kwenye Mashirika yao wakitafuta mtu GPA sio hata kigezo ila utapimwa kwa skills na competencies zako.

Umesema huwezi kumjaji mtu kwa mtihani wa siku moja, vipi huko ulipopita haikutumika mitihani tena isiyongua masaa 2 kukugredi? Kwa nini kwenye mchakato huu kisiwepo kigezo bora Cha mchujo badala ya upendeleo na kujuana kutapoweza kufanyika?
 
Jambo limgine chuo ndio chenye dhamana ya kutambua ubora ndio mana alifaulu na kupewa cheti cha taaluma husika manaake anafaa kufanya kazi husika
Ingekuwa ni hivyo basi kusingekuwa na haja ya interview kufanyika na badala yake watu waombe HR meneja ajichagulie anayetaka maisha yasonge mbele.

Tusikubali tu kwamba Jambo I zuri kwa sababu una maslahi nalo ,angalia kwa picha kubwa zaidi. Ebu fikiria, una GPA nzuri sana Tena sana na uzoefu wa kutosha ,umeomba kazi vigezo vyote vya kuitwa kwenye usaili unavyo tena na zaidi lakini mchakato wa usaili haukuwepo na ukaja kusikia nafasi ilipata mtu na mbaya zaidi unaambiwa jina lililetwa mezani moja tu. Nataka utumie picha hii kuangalia kusudi la mada hii, Je utajisikiaje?
 
Usichotaka kukikubali ni kuwa mtu aliyehitimu chuoni ana uwezo wa kufanya kazi katika fani yake!! Mtihani wa ziada ni kuongeza tu gharama isiyokuwa ya lazima!! Na usumbufu usiokuwa wa lazima!! Hongera Tamisemi kwa kuliona hilo!! Miaka yote waalimu na madaktari hawafanyiwi usaili!! Walishahitimu vyuoni na wameitioa viindi vya mafunzo kwa vitendo!!
 
Hakuna uendeleo!! Kigezo kinachotumika ni: Aliyehitimu mwanzo apatiwe ajira mwanzo!! Waliohitimu pamoja apatiwe ajira kwanza mwenye umri mkubwa!! Hii imekaa vizuri!!
 
Huez mjaji mtu ubora wake kwa mtian wa siku moja kwa vitu vya miaka tano nne na tatu alotumia kusoma, Hii si njia bora kwann usiseme watumie GPA?
GPA za kuchonga ni nyingi sana!! Utaratibu wa sasa ni wa haki. Aliyehitimu mwanzo kwa masomo yanayofanana anapatiwa ajira kwanza!! Waliohitimu pamoja mwenye umri mkubwa anapatiwa ajira kwanza!! Wakigombea nafasi moja waliohitimu amoja na wanalingana miaka hapo ndipo GPA inaamua!! Hii imekaa vizuri sana. Hii ni foleni!
 
Ukute na wewe umeomba hizi ajira
 
Nitumie uzi kuipongeza Serikali kuonesha kujali na kuwa wasikivu kwa maoni yatolewayo. Kupitia Rasimu ya muswada wa Elimu suala la usaili kwa walimu limeangaliwa kwa jicho la kipekee kabisa.

Nikiwa kama mtanzania, nafarajika kusikia na kuona habari hizi njema kabisa na ni matumaini yangu mpango huu utazalisha walimu walio competent na wenye uwezo na kadiri Mungu atakavyotujalia tutaona matokeo na matunda yake.

Ahsante
 
Jamaa ulikuwa na wazo zuri sana ,we ni futurist ombi lako naona sa hivi limefanyiwa kazi Kuna watu wenye IQ ndogo walikuwa Wana Pinga ushauri wako
 
Dua lako limejibiwa
 
Ahsante mama, Rais Samia kwa kusikiliza ushauri huu. Mungu akuweke na utakumbukwa kama kiongozi Bora wa Taifa hili. Mimi nakuita Magareth Thatcher mwanamapinduzi na mwanamabadiliko ya kweli
 
N
aunga mkono hoja
 
Waalimu sasa hv wanaita maji mma huko 😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…