BravoZulu
JF-Expert Member
- Sep 16, 2021
- 1,824
- 3,747
Kuna moja hapa imetoka form six ya kisabato inaleta stori za mpaka ndoa ndo ichakatwe dahDah, Mimi kiukweli nitaoa katoto ka kisabato kalikotulia kalikomaliiza form four.......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna moja hapa imetoka form six ya kisabato inaleta stori za mpaka ndoa ndo ichakatwe dahDah, Mimi kiukweli nitaoa katoto ka kisabato kalikotulia kalikomaliiza form four.......
Kaishakuona wewe ni POPOMA, kiazi kwake hupindui acha akupindue pindue.. Msilete uzungu uzungu kwa mijanamke haijielewi..
Treat mwanamke kwa vile anavyojileta kwako, akikuchukulia danga we mfanye malaya wako. Fanya 3 times yake.
Heyy!!! Man Down!Kwakweli kashaniacha zaid ya mara tatu sasa na makosa akiwa yeye ndie anaenikosea , juzi katoka kugongwa sijamwambia chochote nilikaa kimya naongea nae kama hakuna kimetokea kitu sasa leo kakorofishana na mchizi aliemgonga kisa mm nilikuwa nampitia
So alichofanya kunitumia hii sms nq mimi nilichofanya sikumjibu chochote zaidi ya kufuta kilakitu chake na kuendelea na maisha mengine. Kwakweli ningeeoa bomu japo inauma kuachwa 🥹View attachment 2311264
Kazaroho achana naye yupo mwingine mzuri zaidi yake mtayewezana.
Alitoka kwako kwa kuwa hakuwa wa kwako. Fanya maombi shirikisha waliokuzidi umri, angalia option ya kuoa kijijini/kwenu. Fuata moyo wako.
Kama haujawahi kupigwa na matukio ya mara kwa mara na vitu vizito (UVULANA) ni kweli kabisa, ila kwa waliopitia ugumu wa hapa na pale mara nyingi mioyo yao hufa ganzi kabisa na kuwa na roho ngumu kimaamuzi (UANAUME).Subiria hata ipite wiki- wewe utarudi tu-kuna mbususu akili inatamani kuziacha lakini mwili na roho vinakataa [emoji28][emoji28][emoji28]
Namba DZZ au sio.Mwamba kaachwa.....jikaze kiume usijibu hata hiyo msg, tafuta katoto kazuri katoto namba Dz kawe na trakko endelea na maisha achana na hiyo fisi.
Kama haujawahi kupigwa na matukio ya mara kwa mara na vitu vizito (UVULANA) ni kweli kabisa, ila kwa waliopitia ugumu wa hapa na pale mara nyingi mioyo yao hufa ganzi kabisa na kuwa na roho ngumu kimaamuzi (UANAUME).
Broh, kuna vitu havijakaa sawa kwenye maelezo yako. Demu alikuwa wako wewe au ulimkuta na jamaa mwingine then ukafosi kuingia?Kwakweli kashaniacha zaid ya mara tatu sasa na makosa akiwa yeye ndie anaenikosea , juzi katoka kugongwa sijamwambia chochote nilikaa kimya naongea nae kama hakuna kimetokea kitu sasa leo kakorofishana na mchizi aliemgonga kisa mm nilikuwa nampitia
So alichofanya kunitumia hii sms nq mimi nilichofanya sikumjibu chochote zaidi ya kufuta kilakitu chake na kuendelea na maisha mengine. Kwakweli ningeeoa bomu japo inauma kuachwa 🥹View attachment 2311264
Copy That!Delta 1, this is Alpha 1 reporting......
Female terrorist in sight.
Man down I repeat man down
Liverpool VPN do you copy?
Unaachwa mara tatu na wewe upo tu unamrudia. Yaani huyu mwanamke pamoja na wewe hauna msimamo. Kazini tu kwenyewe ukiacha kazi hakuna mwajiri ndio nitolee huwezi kirudi tena. Kwani hakuna wanawake wengine?Kwakweli kashaniacha zaid ya mara tatu sasa na makosa akiwa yeye ndie anaenikosea , juzi katoka kugongwa sijamwambia chochote nilikaa kimya naongea nae kama hakuna kimetokea kitu sasa leo kakorofishana na mchizi aliemgonga kisa mm nilikuwa nampitia
So alichofanya kunitumia hii sms nq mimi nilichofanya sikumjibu chochote zaidi ya kufuta kilakitu chake na kuendelea na maisha mengine. Kwakweli ningeeoa bomu japo inauma kuachwa 🥹View attachment 2311264
Mimi nikiachana na mtu siwezi kurudiana naye. Kuna makosa ambayo ukinifanyia nikajua, nakuacha. Usaliti na nikathibitisha na kukosa uaminifu kwenye suala la hela na asserts. Msaanii mmoja aliimba kwani kuachana sh.ngapi.Red light ilishawaka muda mrefu, ikikuonesha usitishe uhusiano naye. Ila bado ukaendelea kuwa naye, hapo kosa kubwa ni lako. Ukiona ameshakuacha mara moja maana amekuona hufai, hata akirudi kwako jua kilochomleta ni shida na si upendo wako. Shida zikiisha basi na wewe umuhimu wako umeisha. Ndiyo ulichofanyiwa wewe, akiachana na huyo atarudi tena kwako kama mwanzo tu kwasababu keshakuona bwege nazi.
Wakuu siku hizi tuishi kwa akili sana, heshima zetu zinaporomoka kisa hivi vitu
Huyu jamaa ndiyo kosa alilofanya kurudiana nayeMimi nikiachana na mtu siwezi kurudiana naye. Kuna makosa ambayo ukinifanyia nikajua, nakuacha. Usaliti na nikathibitisha na kukosa uaminifu kwenye suala la hela na asserts. Msaanii mmoja aliimba kwani kuachana sh.ngapi.
Ako kasabato kako kakikutana na wajanja wanakala tu simpoo yaniDah, Mimi kiukweli nitaoa katoto ka kisabato kalikotulia kalikomaliiza form four.......