Kwamba Tumefikia Mahala Mfanyabishara Anabembelezwa Kulipa Kodi?

Kwamba Tumefikia Mahala Mfanyabishara Anabembelezwa Kulipa Kodi?

Mkuu mimi nalipa kodi bila kulazimishwa walikua wananishangaa naenda Custom kulipia mzigo miaka hiyo bila kukwepa kwepa nanyooka Tunduma tena unakadiliwa kawaida tuu wakati ukikamatwa huko Mpemba rushwa wanataka kubwa kuliko kodi uliyokwepa nimewafundisha watu wengi kwenye hilo hata gari nazochukua SA sikwepi kodi nachukua nazoweza kulipa ingawaje kodi yake ni Mlima sana...mazingira ya Wafanyabiashara Tanzania sio rafiki wahuni ndio watoa maamuzi kwenye sekta ya kodi na ndio wanadidimiza maendeleo...
Kama hivyo ndivyo ,Hilo la kelele za utitiri wa Kodi linatoka wapi? Pili ulikuwa unalipa Kwa Kodi ndogo ila haiendani na thamani ya biashara yako maana mzigo mnaficha stoo za Tanzania au Zambia mnawapa watu wa baiskeli wanavusha nk

Hakuna mfanyabishara anaweza lipa Kodi hlisia.
 
Mkuu ni very unfortunate kwamba hii nchi watu hawataki kulipa kodi hasa wafanyabishara na wanasikilizwa.

Hii nchi itaendelea kua omba omba milele.
Harafu wanachekewa Kwa visingizio vya kipuuzi,ni mara mia hoja ingekuwa Kodi kubwa au nyingi Ili serikali iwe na taasisi chache au iziweke pamoja badala ya kusema eti mfanyabishara atalipa Kwa hiari,huu ni mzaha..

Trump ni Tajiri anakwepa Kodi sembuse maskini wa Tanzania Hawa?
 
Kama hivyo ndivyo ,Hilo la kelele za utitiri wa Kodi linatoka wapi? Pili ulikuwa unalipa Kwa Kodi ndogo ila haiendani na thamani ya biashara yako maana mzigo mnaficha stoo za Tanzania au Zambia mnawapa watu wa baiskeli wanavusha nk

Hakuna mfanyabishara anaweza lipa Kodi hlisia.
Utavusha kontena zima la Pombe kwa baiskeli tunapozungumzia mzigo sio vifurushi wewe Mtoto...
 
Ukiweza kufanya biashara Tanzania unaweza kufanya biashara hata Somalia maana biashara Tanzania ni Vita...
 
Utavusha kontena zima la Pombe kwa baiskeli tunapozungumzia mzigo sio vifurushi wewe Mtoto...
Kwani biashara ni pombe tuu? Kwanza Kwa kuondoa task force ndio kwanza kutakuwa na bargain nzuri kabisa kati ya mfanyabishara na Afisa wa TRA Kwa sababu hana tena sababu ya kukaza maana mtaenda kumchongea aonekane mbaya so utaulizwa unataka ulipe ngapi
 
Mfumo upi kwa mtizamo wako unamaana???
Kosoa kisha pendekeza possible solutions.
Huu wa Sasa waki diploy staff wa kutosha Hadi ngazi ya kata na kuimarisha ukaguzi hasa kwenye mipaka na kuwabana wanunuzi wa kawaida wenyewe watadai risiti Kwa lazima..

Binafsi kuanzia Sasa sitodai risiti na Mfanyabishara akinilazimisha lazima aandike thamani halisi..

Uliwahi kuona wapi migahawani wanatoa risiti licha ya kuwa na mashine za efd?
 
Hili Truck Zambia unalipia siku moja na kushusha Lusaka bila tatizo sasa njoo na mzigo huo huo Tanzania utaulizwa vibali balaa ili mradi watake rushwa tuu na wamejipanga kweli kutaja hizo usd dollar usipokua mtoa rushwa wanakutengenezea mazingira trip ingine...
 

Attachments

  • 20230427_124708.jpg
    20230427_124708.jpg
    760.1 KB · Views: 1
  • 20230427_124701.jpg
    20230427_124701.jpg
    996.6 KB · Views: 1
  • 20230427_122404.jpg
    20230427_122404.jpg
    1.3 MB · Views: 1
  • 20230427_091034.jpg
    20230427_091034.jpg
    686.6 KB · Views: 1
  • 20230427_124654.jpg
    20230427_124654.jpg
    1.1 MB · Views: 1
  • 20230427_122410.jpg
    20230427_122410.jpg
    1.1 MB · Views: 2
  • 20230427_110122.jpg
    20230427_110122.jpg
    893.7 KB · Views: 1
Kwani biashara ni pombe tuu? Kwanza Kwa kuondoa task force ndio kwanza kutakuwa na bargain nzuri kabisa kati ya mfanyabishara na Afisa wa TRA Kwa sababu hana tena sababu ya kukaza maana mtaenda kumchongea aonekane mbaya so utaulizwa unataka ulipe ngapi
Mimi nilikua napakia Pombe siwezi kuzungumzia ambayo nilikua sileti nimesema una utoto ndio maana unaongea chochote na huna exposure yeyote unachojua ni kuandika na kusoma...
 
Waziri Mkuu hakusema kulipa kodi ni hiari au wanabembeleza mfanyabiashara, acheni kumlisha maneno Waziri Mkuu, hakusema hivyo..

Kuhusu store, alisema lengo la kukagua store hizo ni nzuri, ila elimu ya kufanya hivyo wafanyabiashara hawakuambiwa, kwani kama ni mizigo halali, na imepitia TRA na imelipiwa kodi, hakuna haja ya kuogopa kukaguliwa store hizo, ila kama ni bidhaa ni za magendo, hapo ndio utakmatwa tu, au TRA watakupiga faini au hata kushikilia hiyo mizigo ya magendo, Waziri Mkuu alisema tar 17:05:2023 saa 3 asubuhi atakutana tena na viongozi wa umoja wa wafanyabishara Kkoo na TRA, ili awaeleze kiundani, nia hasa ya serikali, hizo store lazima zikaguliwe na kulipa kodi sio hiari.
 
Kwamba Tumefikia Mahala Mfanyabishara anabembelezwa kulipa Kodi na anaamua kulipa Kodi anayojigangia si ndio?

Kwamba mfanyabishara wa Tanzania atalipa Kodi bila task force eti maagizo si ndio?

Kwamba mfanyabishara ni ruksa kuficha bidhaa kwenye stoo bubu na kuziuza huko huko bila kulipa Kodi si ndio?

Tusidanganyane hapa hakuna mfanyabishara Yuko tayari kulipa Kodi Kwa hiari hata Mimi binafsi siwezi kulipa..

Kama ni hivyo basi sawa ngoja tuone mwisho wa siku itakavyokuwa..

n
Mkuu mimi nalipa kodi bila kulazimishwa walikua wananishangaa naenda Custom kulipia mzigo miaka hiyo bila kukwepa kwepa nanyooka Tunduma tena unakadiliwa kawaida tuu wakati ukikamatwa huko Mpemba rushwa wanataka kubwa kuliko kodi uliyokwepa nimewafundisha watu wengi kwenye hilo hata gari nazochukua SA sikwepi kodi nachukua nazoweza kulipa ingawaje kodi yake ni Mlima sana...mazingira ya Wafanyabiashara Tanzania sio rafiki wahuni ndio watoa maamuzi kwenye sekta ya kodi na ndio wanadidimiza maendeleo...
Swala siyo watu kukataa kodi, bali kutunga sheria isiyomlinda mlipa kodi na kumpa mwanya mdai kodi kutumia sheria kushinikiza rushwa.

Wafanya biashara wengi ni wadogo na wanachangamoto katika kutunza kumbukumbu. Hata ukiwa na kumbukumbu sahihi namna gani bado wanatabia ya kuzipinga hizi ili mradi tuu wakubane kukaribisha rushwa.

Hili swala la kutuma taarifa za mali kila mwezi ni ngumu na inatoa mwanya mkubwa kwa mdai kodi kukubana hata pasipo na sababu zozote.

Wewe nadhani ni mgeni na mazingira ya biashara/kodi in practice au umechukulia mfumo wa nchi ya dunia ya kwanza.
 
Kama Kodi ipi ambayo Haina mbele Wala nyuma? Mbona huzitaji? Kuna Kodi Mpya au zilikuwwpo miaka yote?
Mwisho Kodi kibao zimepunguzwa na kufutwa Sasa hizo Kodi zisizoeleweka mbona huzitaji?
Unataka kusema kariakaoo wote ni wajnga Hadi wafunge biashara.

Think twice
 
Back
Top Bottom