Murashani GALACTICO
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,511
- 5,390
Mkuu sijakuelewa emu andika kwa utulivu sijaipata hoja yako vizuriHuu wa Sasa waki diploy staff wa kutosha Hadi ngazi ya kata na kuimarisha ukaguzi hasa kwenye mipaka na kuwabana wanunuzi wa kawaida wenyewe watadai risiti Kwa lazima..
Binafsi kuanzia Sasa sitodai risiti na Mfanyabishara akinilazimisha lazima aandike thamani halisi..
Uliwahi kuona wapi migahawani wanatoa risiti licha ya kuwa na mashine za efd?
Ndo ulivyokaririshwa huko chuoni kwakoeeeAnaelipa ni consumer wewe mfanyabishara ni mkusanyaji tuu.
Nilifunga duka kariakoo yaani watoza ushuru wanataka rushwa kila mwezi leo wamekuja na hiki kesho na kile sasa hivi nauzia Lusaka hakuna tatizo nikipakia mzigo nikishusha sio kama huko unalipia mzigo unaposhusha TRA kibao wanataka rushwa pana Mkongo niliwahi muelekeza aje anunue Suti hapo si walikamata mzigo wake akipeleka Jangwani upelekwe Tunduma wazee waliupeleka mpaka yard wakisema kapewa risiti ya hela ndogo na duka halijui taarifa za kwenye risiti sio sahihi mkuu jamaa ilibidi atoe hela ya nauli ya mzigo analalamika mpaka kesho wakati SA SARS ndio walinzi wa wageni hawawezi kufanya huo ujinga hata iweje Tanzania TRA wanaua biashara kwa maujinga yao...n
Swala siyo watu kukataa kodi, bali kutunga sheria isiyomlinda mlipa kodi na kumpa mwanya mdai kodi kutumia sheria kushinikiza rushwa.
Wafanya biashara wengi ni wadogo na wanachangamoto katika kutunza kumbukumbu. Hata ukiwa na kumbukumbu sahihi namna gani bado wanatabia ya kuzipinga hizi ili mradi tuu wakubane kukaribisha rushwa.
Hili swala la kutuma taarifa za mali kila mwezi ni ngumu na inatoa mwanya mkubwa kwa mdai kodi kukubana hata pasipo na sababu zozote.
Wewe nadhani ni mgeni na mazingira ya biashara/kodi in practice au umechukulia mfumo wa nchi ya dunia ya kwanza.
Hapo bandarini bila enforcement nani atalipa? Kwani Kila mzigo unaingia kutoka bandarini? Mzigo unaozalishwa kiwandani au Kwa mtu binafsi itakuaje?
Task force inazuia na magendo Sasa ngoja tuone nani atazuia magendo huko mipakani nk.
Mazingira ya hii nchi ni magumu sana, yaani kodi zipo kumkomoa mwananchi na si kufanya awe na hali bora.Daah Bongo kiboko kodi la Chevrolet ya 2014 wanataka 40m tutaendelea kuendesha vibebi walker na kuvisifia tu na kikipata ajali ndogo tuu kinaondoka na watu...ndio maana wengi wanapenda kukwepa kodi hizo kodi zao sio rafiki kabisa..
Mzigo unaoshuka kutoka bandarini unalipwa kodi kisha kupelekwa godauni yanini tena kuufuata mzigo huo huko?Kwamba Tumefikia Mahala Mfanyabishara anabembelezwa kulipa Kodi na anaamua kulipa Kodi anayojigangia si ndio?
Kwamba mfanyabishara wa Tanzania atalipa Kodi bila task force eti maagizo si ndio?
Kwamba mfanyabishara ni ruksa kuficha bidhaa kwenye stoo bubu na kuziuza huko huko bila kulipa Kodi si ndio?
Tusidanganyane hapa hakuna mfanyabishara Yuko tayari kulipa Kodi Kwa hiari hata Mimi binafsi siwezi kulipa..
Kama ni hivyo basi sawa ngoja tuone mwisho wa siku itakavyokuwa..
Nasema hiviM
Mkuu sijakuelewa emu andika kwa utulivu sijaipata hoja yako vizuri
Mzigo unaozalishwa ndani ya Nchi inakuaje? Mfano mazao ya misitu Hayatendi bandarini hiyo enforcement mtafanyaje?Mzigo unaoshuka kutoka bandarini unalipwa kodi kisha kupelekwa godauni yanini tena kuufuata mzigo huo huko?
Taskforce inatumika kuhakikisha mfanyabishara anatoka risiti Ili kupima Ukiwa wa biashara yake kumbuka Hawa hawana taarifa za kifedha kama financial statements.Nafikiri kama mfanyabiashara ameshakadiriwa na mamlaka ya mapato,hakuna sababu ya kuwatumia task force kufuatilia tena kwa sababu hizi kodi zinalipwa kwa awamu nne katika kipindi cha mwaka mmoja, sheria ya kodi iweke wazi kama mtu ameshakadiriwa basi watumishi wa TRA wasiwasumbue na kukamata shughuli zao kwa Sababu wameishakadiriwa kiwango cha kodi watakacholipa kwa mwaka mzima.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Kodi yenyewe ndio ya kununulia V8? Nani atakuwa na ari ya kulipia bila shuruti? Vikosi ni vya rushwa na ubambikiaji Kodi zisizo na msingi.Kwamba Tumefikia Mahala Mfanyabishara anabembelezwa kulipa Kodi na anaamua kulipa Kodi anayojigangia si ndio?
Kwamba mfanyabishara wa Tanzania atalipa Kodi bila task force eti maagizo si ndio?
Kwamba mfanyabishara ni ruksa kuficha bidhaa kwenye stoo bubu na kuziuza huko huko bila kulipa Kodi si ndio?
Tusidanganyane hapa hakuna mfanyabishara Yuko tayari kulipa Kodi Kwa hiari hata Mimi binafsi siwezi kulipa..
Nilitegemea Serikali iimarishe kitengo Cha malalamiko na fidia Ili kama Kuna kukadiriwa Kodi isiyo sahihi mtu a file malalamiko yake na ikibainika kuwe na fidia nk..
Pia kero kubwa ambayo hata Mimi naiona kwenye biashara ni wingi wa utitiri wa taasisi za compliance na zote Zina masharti yake,Sasa nilitegemea kuwe na merging ya pesa inayohitajika Ili hizo taasisi za compliance zibakie kwenye ukaguzi sio mfanyabishara kulipa pesa Kila sehemu kama zimamoto,nemc,leseni, Halmashauri,TRA,TMDA,nk
Pesa ingejumuisha kwamba mtu anatakiwa kulipa kiasi Fulani na Kuna mchanganuo kama vile ulinunua mafuta Kuna mchanganuo wa Kodi na tozo..
Kama ni hivyo basi sawa ngoja tuone mwisho wa siku itakavyokuwa ila inashangaza kuvunja taskforce Sasa sijui hiyo enforcement itafanyikaje..
Hata ingekuwa ni ya kununulia wali wa Watoto wa shule hakuna mtu anapenda kulipa for willing.Kodi yenyewe ndio ya kununulia V8? Nani atakuwa na ari ya kulipia bila shuruti? Vikosi ni vya rushwa na ubambikiaji Kodi zisizo na msingi.
Wafanyabishara wanasema hawataki kulipa kodi kwa nguvu, wanataka wampewe uhuru wa kulipa kodi, wanasema EFD inaua biashara hawazitaki. Kesho utasikia EFD zinafutwa kariakoo.Harafu wanachekewa Kwa visingizio vya kipuuzi,ni mara mia hoja ingekuwa Kodi kubwa au nyingi Ili serikali iwe na taasisi chache au iziweke pamoja badala ya kusema eti mfanyabishara atalipa Kwa hiari,huu ni mzaha..
Trump ni Tajiri anakwepa Kodi sembuse maskini wa Tanzania Hawa?