Kwangu Mimi haya ndiyo Mafanikio Kuntu ya Rais Samia kwa hii miaka yake Miwili Madarakani

Kwangu Mimi haya ndiyo Mafanikio Kuntu ya Rais Samia kwa hii miaka yake Miwili Madarakani

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
1. Kiwango cha Ujinga ( Ungumbaru ) kwa Wananchi wa Taifa lake Kuongezeka.

2. Utamaduni wa Visasi na Chuki kwa Waliokuchukia na Usiowapenfa Kuongezeka.

3. Kiwango cha Elimu Kushuka na kuwa ICU huku Ufaulu wa Kisiasa kwa Wanafunzi Kuongezeka.

4. Kiwango cha Wanaume wengi kupenda kuwa kama Dada zao Kimwonekano na Kuwasaidia Kazi zao za Asili za Kibaiolojia ( Kimaumbile wanazozimudu ) Kuongezeka.

5. Idadi ya Wanafiki miongoni mwa Watanzania na Watendaji Kuongezeka.

6. Tenda za Miradi ya Kimkakati kupewa wale wasiokuwa Wachoyo wa kutoa 10% mpaka hata 50% kwa Watu wa Serikalini.

7. Idadi ya Majanga, Ajali, Magonjwa na Uchawi baina ya Watanzania Kuongezeka.
 
Si ya Samia tu, bali ni muendelezo wa utawala wa ccm tangu walipoamua umasikini, ujinga na maradhi kuwa rafiki wao wanapohitaji kura. Anayejiita kiongozi wa nchi anahakikisha umasikini unaendelea katika eneo kisa wamemchagua mtu wa chama mbadala awawakilishe!
 
1. Kiwango cha Ujinga ( Ungumbaru ) kwa Wananchi wa Taifa lake Kuongezeka.

2. Utamaduni wa Visasi na Chuki kwa Waliokuchukia na Usiowapenfa Kuongezeka.

3. Kiwango cha Elimu Kushuka na kuwa ICU huku Ufaulu wa Kisiasa kwa Wanafunzi Kuongezeka.

4. Kiwango cha Wanaume wengi kupenda kuwa kama Dada zao Kimwonekano na Kuwasaidia Kazi zao za Asili za Kibaiolojia ( Kimaumbile wanazozimudu ) Kuongezeka.

5. Idadi ya Wanafiki miongoni mwa Watanzania na Watendaji Kuongezeka.

6. Tenda za Miradi ya Kimkakati kupewa wale wasiokuwa Wachoyo wa kutoa 10% mpaka hata 50% kwa Watu wa Serikalini.

7. Idadi ya Majanga, Ajali, Magonjwa na Uchawi baina ya Watanzania Kuongezeka.
Kumbe eeh
 
Sukuma gang ni lini mtamove on na kukubali yule shetani wenu ametawaliwa kuzimu?
 
Hadi tunafika 2025 kuna hatari ya kukutana na wasiojua kusoma na kuandika wakiwa pale MLIMANI
 
1. Kiwango cha Ujinga ( Ungumbaru ) kwa Wananchi wa Taifa lake Kuongezeka.

2. Utamaduni wa Visasi na Chuki kwa Waliokuchukia na Usiowapenfa Kuongezeka.

3. Kiwango cha Elimu Kushuka na kuwa ICU huku Ufaulu wa Kisiasa kwa Wanafunzi Kuongezeka.

4. Kiwango cha Wanaume wengi kupenda kuwa kama Dada zao Kimwonekano na Kuwasaidia Kazi zao za Asili za Kibaiolojia ( Kimaumbile wanazozimudu ) Kuongezeka.

5. Idadi ya Wanafiki miongoni mwa Watanzania na Watendaji Kuongezeka.

6. Tenda za Miradi ya Kimkakati kupewa wale wasiokuwa Wachoyo wa kutoa 10% mpaka hata 50% kwa Watu wa Serikalini.

7. Idadi ya Majanga, Ajali, Magonjwa na Uchawi baina ya Watanzania Kuongezeka.
Umesahau CHADEMA Kuwa punda wa CCM
 
1. Kiwango cha Ujinga ( Ungumbaru ) kwa Wananchi wa Taifa lake Kuongezeka.

2. Utamaduni wa Visasi na Chuki kwa Waliokuchukia na Usiowapenfa Kuongezeka.

3. Kiwango cha Elimu Kushuka na kuwa ICU huku Ufaulu wa Kisiasa kwa Wanafunzi Kuongezeka.

4. Kiwango cha Wanaume wengi kupenda kuwa kama Dada zao Kimwonekano na Kuwasaidia Kazi zao za Asili za Kibaiolojia ( Kimaumbile wanazozimudu ) Kuongezeka.

5. Idadi ya Wanafiki miongoni mwa Watanzania na Watendaji Kuongezeka.

6. Tenda za Miradi ya Kimkakati kupewa wale wasiokuwa Wachoyo wa kutoa 10% mpaka hata 50% kwa Watu wa Serikalini.

7. Idadi ya Majanga, Ajali, Magonjwa na Uchawi baina ya Watanzania Kuongezeka.
Msimsingizie Samia...TAKA TAKA la KIJANI likitoka likitoka hapo nchi iatpiga hatua.
 
Back
Top Bottom