i hear you bro... and unfortunately, i must agree with youKatoa mtu mmoja lakini kajibiwa na a chorus of personality cult abayo ina ignore ukweli ninao expose.
Kuhusu kunyimana, mi sina fetish hiyo (kutaka watu kama yeye) kwa bahati nzuri au mbaya. Halafu niko Japenga.
Uki reduce kila kitu kiwe explained na carnal desires unatuonyesha jinsi wewe unavyofikiri kuliko anything else.
😛oa😛oa😛oa😛oaWakuu nawashukuru sana tena sana wote mliochangia sredi hii positively and negatively. Nichukue pia fursa hii kumshukuru pia mtoa mada kwa mtazamo wake mzuri kwangu ambao nakubaliana nao.Kwa hakika nina furaha ya aina yake ninapofunga mwaka huu ukiwa ni mwaka mmoja tu tangu niingie mjengoni ambako nimefanikiwa kuwa Na fans wengi Na wa Kada mbalimbali nje Na ndani ya Kilombero Na ndani Na nje ya CHADEMA.Ndani ya mwaka huu nimekuwa mjadala katika maeneo tofauti tofauti,mtaani,kwenye redio,kwenye blogs,magazetini,majumbani Na hata humu JF tena zaidi ya Mara mbili iwe kwa mazuri au kwa mabaya kwangu Mimi nimechukulia Kama nimafanikio ya kisiasa.Natambua Na ninaelewa kuwa Mimi ni mwanadamu Na sijakamilika Na haipo Siku ambapo nitakuwa nimekamilika hivyo suala la kukosea nisehemu ya maisha ya mwanadamu.Ninatambua pia kuwa sio rahisi kumfurahisha au kumridhisha kila mtu hivyo sioni ajabu ninaposemwa vibaya zamani nilikuwa nakasirika lakini kadiri Siku zinavyozidi kwenda nachukulia poa tu.Hakuna Mwanasiasa yeyote duniani aliyesifiwa au kukubaliwa Na kila mtu,HAYUPO!
Mwisho kusingiziwa pia nisehemu ya maisha ya Mwanasiasa!
ni kweli amepewa sifa zote hizo ni zake, ila akumbuke nidhamu yake iko chini kwani nikikumbuka Igunga aliwahi kumjibu majibu ya kunya Dr Slaa kwamba gari ni la ubunge wake na aliupata kwa jasho lake na kama ubunge ni rahisi hata dr angekuwa mbunge hivyo asione mtu akimfuatafuata kimsingi niliumia sana kwani Dr aliondoka kimya bila kutia neno. je hiyo ndiyo sababu iliyomfanya awe mwanamke mahiri kwanini Sii HALIMA MDEE aliyepambana kiume na tumekomaa nae kule igunga porini mwanzo mwisho hakuwahi kukimbilia mjini kama huyo mtema na kina Heche?
😛oa😛oa😛oa😛oa
Kumbe na wewe ni memba wa MMU?Babu,Miss You jamani!
I was very active by then,kwa sasa huwa nachungulia tu MMU.Nashukuru Mapungufu yangu nayafanyia Kazi Na ninamuomba MUNGU anisaidieKumbe na wewe ni memba wa MMU?
Umejitahidi kujitetea lakini cha muhimu yafanyie kazi mapungufu yako yaliyobainishwa.
Daah! Pole sana Da'Regia.
Pole ya nini tena NN?nipe hongera bana!
Wakuu nawashukuru sana tena sana wote mliochangia sredi hii positively and negatively. Nichukue pia fursa hii kumshukuru pia mtoa mada kwa mtazamo wake mzuri kwangu ambao nakubaliana nao.Kwa hakika nina furaha ya aina yake ninapofunga mwaka huu ukiwa ni mwaka mmoja tu tangu niingie mjengoni ambako nimefanikiwa kuwa Na fans wengi Na wa Kada mbalimbali nje Na ndani ya Kilombero Na ndani Na nje ya CHADEMA.Ndani ya mwaka huu nimekuwa mjadala katika maeneo tofauti tofauti,mtaani,kwenye redio,kwenye blogs,magazetini,majumbani Na hata humu JF tena zaidi ya Mara mbili iwe kwa mazuri au kwa mabaya kwangu Mimi nimechukulia Kama nimafanikio ya kisiasa.Natambua Na ninaelewa kuwa Mimi ni mwanadamu Na sijakamilika Na haipo Siku ambapo nitakuwa nimekamilika hivyo suala la kukosea nisehemu ya maisha ya mwanadamu.Ninatambua pia kuwa sio rahisi kumfurahisha au kumridhisha kila mtu hivyo sioni ajabu ninaposemwa vibaya zamani nilikuwa nakasirika lakini kadiri Siku zinavyozidi kwenda nachukulia poa tu.Hakuna Mwanasiasa yeyote duniani aliyesifiwa au kukubaliwa Na kila mtu,HAYUPO!
Mwisho kusingiziwa pia nisehemu ya maisha ya Mwanasiasa!
Dada yangu nakuomba uyafanyie kazi kweli,pia niseme angalau nimeona umejaribu kujibu hoja hizi kistaarabu na kwa utulivu.Nashukuru Mapungufu yangu nayafanyia Kazi Na ninamuomba MUNGU anisaidie
Dada yangu nakuomba uyafanyie kazi kweli,pia niseme angalau nimeona umejaribu kujibu hoja hizi kistaarabu na kwa utulivu.
Acha kukurupuka kujibu vitu fikiria mara mbili mbli na fanya utafiti,
Sisemi uwe kama Mdee lakini unaweza kujifunza kwake namna anvyo amsha hoja kwa umakini wake, tunapokosoa kuhusu wewe haina maana hatukupendi,hapana, ukiona hivyo ujue watu wanatarajia mazuri toka kwako lakini unawa let down.
Kikubwa jipange unapoitwa kwenye mahojiano, maswali bungeni nkm
Mwisho nakutakia kila laheri nikitaraji mabadiliko ya kweli ingawaje sikubaliani na viti maalum kitaifa, na kwasababu sina jinsi basi nategemea ufanisi toka kwako
Si ya haya mashambulizi ya waosha vinywa. Ila nadhani sasa utakuwa ushazoea na unawapotezea tu manake kuna wengine utadhani hadi usiku huwa wanakuota!
Jina lako likitajwa tu wao hao wanatoa povu!
Hongera.....Pole ya nini tena NN?nipe hongera bana!
Ha ha ha,Only83 bana unapenda kumisiwa eeh,lol.Nashukuru nimeshazoea,sura zile zile hoja zile zile.Mwakani watalia zaidi maana mambo ndo kwanza yanaanza..
Haaa!! Jamani dada Regia nimiss na mimi basi lol!! Babu peke yake? kwi kwi kwi kwi kwi!! hongera dada nilijua kuna magamba watachangia kwa hasira sana,maana wanajua unavyowacharaza kwenye siasa...well done!!
It goes both ways. Na nyinyi detractors wake mjifunze kukosoa kiungwana.
Asante sana Bala,nakutakia mwaka mpya mwema nawe pia.Bht hajambo?Hongera.....
Kila la heri katika mwaka mpya 2012, Mungu akutangulie na awe pamoja nawe katika kazi zako za kila siku za kuwawakilisha wananchi...
Bala.
Nimekupenda upya NNIt goes both ways. Na nyinyi detractors wake mjifunze kukosoa kiungwana.