Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
-
- #81
Sio kufeli peke yake, anaweza pia kufa. Akishindwa kuendelea na masomo (kufeli au kufa) unarudishiwa pesa zako au unafanya transfer kwa mwingine ambaye bado anasoma.Kwaio mwanangu akifeli?? Mana unataja mtiririko tu
Ninapenda sana ideas zako mkuuSio kufeli peke yake, anaweza pia kufa. Akishindwa kuendelea na masomo (kufeli au kufa) unarudishiwa pesa zako au unafanya transfer kwa mwingine ambaye bado anasoma.
Dogo huwa anajitahidi sana. Tatizo anaendekeza sana mademNinapenda sana ideas zako mkuu
Mademu atawawezaje wakati jamaa ni domo zege?Dogo huwa anajitahidi sana. Tatizo anaendekeza sana madem
Kama unampenda sana kwanini usimpe hiyo zawadi ya ushindi?Ninapenda sana ideas zako mkuu
Unataka ampe kitumbuaKama unampenda sana kwanini usimpe hiyo zawadi ya ushindi?
Acha kuwaza mambo mabaya muda wote bwasheeKwaio mwanangu akifeli?? Mana unataja mtiririko tu
Uongo huu sasaHapo unataka kuja kuwalaumu bure wakila pesa zako. Huduma za hivyo zipo, mabenki wanazo.
Ikifanywa na HESLB faida inaenda serikalini lakini ikifanywa na banks faida ni ya taasisi binafsi.Hapo unataka kuja kuwalaumu bure wakila pesa zako. Huduma za hivyo zipo, mabenki wanazo.
Ni wazo zuri lakini nadhani hilo wazo mzazi mmoja mmoja kwa nafasi yake alifanyie kazi, kwa nini tusihamasishe wazazi kufungua akaunti za malengo za watoto wao na kuweka utaratibu mzuri wa hizo fedha kwenye mabenki badala ya kutegemea bodi ya mikopoHabari zenu waungwana wa humu jamiiforums
Kwanini Bodi ya mikopo ya elimu ya juu (HESLB) isianzishe campaign ya kuhamasisha wazazi kuanza kuwalipia watoto wao pesa kidogokidogo katika accounts maalum ya bodi wangali wakiwa bado wanasoma elimu ya msingi (Darasa la Kwanza)?
Jenga picha mtoto anasoma darasa la kwanza kwa miaka saba (7) kisha baada ya kuhitimu anajiunga na kidato cha kwanza mpaka cha nne kwa miaka minne (4) ambacho kwa sehemu kubwa hapa Tanzania ndicho kiwango cha elimu ambacho wanafunzi anaruhusiwa kujiunga na chuo cha ufundi kama amekosa fursa ya kuendelea na Advanced Level.
MATHEMATICAL BREAK DOWN
==========
Idadi ya miezi ndani ya mwaka: 12
Idadi ya miaka atakayosoma mwanafunzi kabla ya kujiunga na elimu ya juu/ufundi: 11
Kiwango cha chini cha uchangiaji kwa kila mwezi: 8,000/=
Makusanyo ya mwaka mzima kwa mwanafunzi mmoja - 12 x 8,000 = 96,000
Makusanyo ya miaka 11 kwa mwanafunzi mmoja - 12 x 11 x 8,000 = 1,056,000
Kutokana na takwimu niliyoipata humu humu jamiiforums: "Wanafunzi 947,221 wa darasa la saba kutoka shule 17,051 za Tanzania bara, wanatarajia kufanya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi kesho Jumatano na keshokutwa Alhamisi Septemba 12, 2019"
Just assume kwamba wanafunzi walioanza la kwanza ndio haohao waliomaliza darasa la saba na hakuna aliyekufa wala kuacha shule na idadi kamili ni 947,221.
Makadirio ya makusanyo ya mwezi kwa wanafunzi wote wa darasa la kwanza - 8,000 x 947,221 = 7,577,768,000
Makadirio ya makusanyo ya mwaka mzima kwa wanafunzi wote wa darasa la kwanza - 8,000 x 12 x 947,221 = 90,933,216,000
Kwa makusanyo kama haya kwa mwezi kwa wanafunzi wote takribani shilingi 90,933,216,000 bodi ya mikopo wanaweza kuwekeza hii pesa katika fixed deposits kwenye banks za kibiashara pamoja na kununua "government securities" na kupata returns kubwa na za maana tu kila baada ya miezi sita au mwaka.
Kama familia ina wanafunzi wawili mmoja akifa pesa zinahamia kwenye account ya mdogo/kaka yake.
Ndugu zangu, mimi sio mtaalam sana wa hesabu na uchumi lakini bila shaka idea yangu mtakuwa mmeielewa. Ninawakaribisha kwa michango zaidi pamoja na kukosolewa (Constructive Criticism)
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Lengo langu mimi ni kwa bodi kukusanya pesa kisha ku-reinvest katika hizo banks au kwa kununua securities kama vile bonds na wao kupata fedha za kujiendesha.Ni wazo zuri lakini nadhani hilo wazo mzazi mmoja mmoja kwa nafasi yake alifanyie kazi, kwa nini tusihamasishe wazazi kufungua akaunti za malengo za watoto wao na kuweka utaratibu mzuri wa hizo fedha kwenye mabenki badala ya kutegemea bodi ya mikopo
Lipi la uongo?Uongo huu sasa
Nakuelewa mkuu, lakini track record ya haya mashirika ya umma si unaiona, leo wastaafu ambao practically speaking walikuwa "wanaweka" hela waje kutunzwa uzeeni wanasumbuliwa utafikiri wanafanyiwa hisani.Ikifanywa na HESLB faida inaenda serikalini lakini ikifanywa na banks faida ni ya taasisi binafsi.
Mimi sipo humu kushauri taasisi binafsi mimi ninaongelea mambo ya nchi yangu tu.
Sawa mkuu, I understand your concern.Nakuelewa mkuu, lakini track record ya haya mashirika ya umma si unaiona, leo wastaafu ambao practically speaking walikuwa "wanaweka" hela waje kutunzwa uzeeni wanasumbuliwa utafikiri wanafanyiwa hisani.
Nilikuwa nakutania tu wee jamaa. Hujui mzaha?Lipi la uongo?
Madam watu wanajenga ukuta wa mlinzi kwa 170mil, acha masihara wewe 🤣🤣🤣Nilikuwa nakutania tu wee jamaa. Hujui mzaha?
Unaleta mzaha JF? Utatongozwa huku sio FacebookNilikuwa nakutania tu wee jamaa. Hujui mzaha?
Mwanamke kutongozwa kawaida tena saaaaaanaUnaleta mzaha JF? Utatongozwa huku sio Facebook
Inasikitisha sana kama hizo habari ni kweli lakiniMadam watu wanajenga ukuta wa mlinzi kwa 170mil, acha masihara wewe 🤣🤣🤣