Kwani Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) haiwezi kuwa na accounts za malengo kwa wanafunzi wa darasa la kwanza?

Kwaio mwanangu akifeli?? Mana unataja mtiririko tu
Sio kufeli peke yake, anaweza pia kufa. Akishindwa kuendelea na masomo (kufeli au kufa) unarudishiwa pesa zako au unafanya transfer kwa mwingine ambaye bado anasoma.
 
Hapo unataka kuja kuwalaumu bure wakila pesa zako. Huduma za hivyo zipo, mabenki wanazo.
Ikifanywa na HESLB faida inaenda serikalini lakini ikifanywa na banks faida ni ya taasisi binafsi.

Mimi sipo humu kushauri taasisi binafsi mimi ninaongelea mambo ya nchi yangu tu.
 
Ni wazo zuri lakini nadhani hilo wazo mzazi mmoja mmoja kwa nafasi yake alifanyie kazi, kwa nini tusihamasishe wazazi kufungua akaunti za malengo za watoto wao na kuweka utaratibu mzuri wa hizo fedha kwenye mabenki badala ya kutegemea bodi ya mikopo
 
Ni wazo zuri lakini nadhani hilo wazo mzazi mmoja mmoja kwa nafasi yake alifanyie kazi, kwa nini tusihamasishe wazazi kufungua akaunti za malengo za watoto wao na kuweka utaratibu mzuri wa hizo fedha kwenye mabenki badala ya kutegemea bodi ya mikopo
Lengo langu mimi ni kwa bodi kukusanya pesa kisha ku-reinvest katika hizo banks au kwa kununua securities kama vile bonds na wao kupata fedha za kujiendesha.
 
Ikifanywa na HESLB faida inaenda serikalini lakini ikifanywa na banks faida ni ya taasisi binafsi.

Mimi sipo humu kushauri taasisi binafsi mimi ninaongelea mambo ya nchi yangu tu.
Nakuelewa mkuu, lakini track record ya haya mashirika ya umma si unaiona, leo wastaafu ambao practically speaking walikuwa "wanaweka" hela waje kutunzwa uzeeni wanasumbuliwa utafikiri wanafanyiwa hisani.
 
Nakuelewa mkuu, lakini track record ya haya mashirika ya umma si unaiona, leo wastaafu ambao practically speaking walikuwa "wanaweka" hela waje kutunzwa uzeeni wanasumbuliwa utafikiri wanafanyiwa hisani.
Sawa mkuu, I understand your concern.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…