Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
- #21
Mkuu, hii MALENGO ACCOUNT ninayo muda mrefu sanaWakati unasubiria majibu fungua MALENGO ACCOUNT
NIMEMALIZA!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, hii MALENGO ACCOUNT ninayo muda mrefu sanaWakati unasubiria majibu fungua MALENGO ACCOUNT
NIMEMALIZA!!!
Daaah aisee inasikitisha sana mkuu...Hata NSSF, NHIF kuna document lakini bado pesa zinapigwa na ikifika wakati wa uhitaji wa pesa hizo unakuta hamna kitu. Hatuna mifumo na sheria nzuri za kutunza pesa kama hizo; wakati mwingine wakuu wa nchi wanajifanya kukozikopa hali hawarudishi, wengine wanabeba tu kama za kwao. Naamina unakumbuka sakata la waziri fulani kujichotea mamilioni NSSF na wakati mwingine wahuni hao hao wanachota hadi hazina au benki kuu.
Mkuu, life is full of uncertainties lakini bado watu wanafanya makubwa wakijua wataishi mpaka miaka 90. Ukiwaza sana kufa kufa utakuwa haufanyi maendeleo mkuuSasa kwa sababu za hapo juu unawekeza wakati huna uhakika huko mbele kuna nini?
Kwanini wanufaika wasiende mahakamani?Kwa haya yanayotokea sishauri kabisa...kama unakopesha kwa hela ya kodi yako bado unapigwa penalt ,value retantion fee unategemea nn?
Unaweza weka na bado wakakuletea mambo ya admistration fee na value retantion fee
Fixed deposits pamoja na government (BOT) securitiesNa kikubwa zaidi hawana biashara ya nzuri na ya kuzalisha hiyo pesa maana kuiweka tu nako ni hasara tupu.
Kama pesa hakuna kwa mtaani kujiajiri napo hakuna maana pia. Just imagine umesomea "Welding and Fabrications" (Fundi mageti na milango) alafu unakuja mtaani na hakuna mtu anayejenga nyumba? Hata kama wanaojenga ni wachache lakini kumbuka huo ujuzi hauna wewe peke yako. Kazi ni za kugombania.Mimi naona tu sasa hivi bodi ya mkopo ijielekeze zaidi kusaidia vijana kuwasomesha kwenye vyuo vya ufundi maana kule malipo ni kidogo then hao vijana wapewe mikopo nafuu ya kuanza miradi then wao wakitaka kujiendeleza vyuo vikuu wajisomeshe maana tayari washapewa msingi wa kujiajiri.
Kama umasikini ndio hoja ya msingi, mbona elimu ya juu sio bure? Alafu kumbuka kuna wazazi wanasomesha watoto kwenye private schools na bado watoto hao hao wanakuja kuomba mikopo ya elimu wanapohitimu kidato cha sita.Kama ungekuwa unaelewa elimu ya msingi ilifanywa bure kwa sababu ya umaskini uliotopea usingifikiri 8000 kwa mtoto mmoja kwa mwezi ni pesa ndogo kwa mafukara.
Hata hizo kazi za kujiajiri kwa sasa uhitaji ni mdogo sana kwa maana waliokuwa wanakula wali mara tano kwa week sasa wakaula mara tatu au mbili tu kwa maana hawana tena pesa kama zamani.Sioni sababu ya kuendelea kuteketeza pesa kuwasomesha watu ili kupata kazi za ofisini wakati hata uhitaji haupo
Kama umasikini ndio hoja ya msingi, mbona elimu ya juu sio bure? Alafu kumbuka kuna wazazi wanasomesha watoto kwenye private schools na bado watoto hao hao wanakuja kuomba mikopo ya elimu wanapohitimu kidato cha sita.
Vp kwa zile familia zenye uwezo wa kati wa kifedha/ambazo sio fukara zinazoweza kumudu hiyo 8,000 kwa mwezi?Kama ungekuwa unaelewa elimu ya msingi ilifanywa bure kwa sababu ya umaskini uliotopea usingifikiri 8000 kwa mtoto mmoja kwa mwezi ni pesa ndogo kwa mafukara.
Asilimia ndogo sanaAsilimia ngapi ya wanafunzi wanofika elimu ya juu wanaweza kusoma bila mikopo, kutembeza bakuli au kudanga?
Kwani ni wapi nimesema hiyo HESLEB yako badala ya HESLB ihangaike na watu wanaosomesha watoto wao shule binafsi?Kwa nini HESLEB ihangaike na watu wanaosomesha watoto wao shule binafsi?
Unampa mkopo mtoto kutoka katika familia masikini, atakuja kuulipa kwa pesa ipi? Ndio maana nimesisitiza suala la account ya malengoKama ni mkopo na sio msaada kuna shida gani mtu yeyote akiomba?
Mkuu, hauoni kama wakiongeza tena bei za vocha na sukari watakuwa wanamkandamiza tena masikini kwa maana hatoweza kumudu gharama ya bidhaa hizo za msingi?...Kama lengo ni kusomesha watoto wa maskini, kwanini wasiongeze asilimia flani kidogo kwenye bei za vocha, cement, sukari etc.. ili hicho kinachopatikana kisaidiane na kinachorudishwa na walionufaika ili wengine wapate?
Mkuu, na ndio maana nikataja hizo bidhaa za msingi ili kila mtu achangie, nikiwa na maana hiyo rate ya kuchangia itakua as minimal as possiblea.. itakua ngumu mwanzoni( kama ilivyokua imeongezwa ile % ya rea kwenye malipo ya TANESCO) lakini baada ya muda watu watazoeaMkuu, hauoni kama wakiongeza tena bei za vocha na sukari watakuwa wanamkandamiza tena masikini kwa maana hatoweza kumudu gharama ya bidhaa hizo za msingi?...
Mkuu, masikini sisi tuna changamoto nyingi sana kuanzia kumudu gharama za elimu, afya, maji safi, etc.Mkuu, na ndio maana nikataja hizo bidhaa za msingi ili kila mtu achangie, nikiwa na maana hiyo rate ya kuchangia itakua as minimal as possiblea.. itakua ngumu mwanzoni( kama ilivyokua imeongezwa ile % ya rea kwenye malipo ya TANESCO) lakini baada ya muda watu watazoea