Kwanini lilete distraction kwani Askofu hawezi kuwa na facts?!Naam,
Na kwa kuzingatia hili, u Askofu wa mtu ni irrelevant katika suala la sheria kwenye nchi secular.
Zaidi, ni suala litakaloleta distraction za udini.
Kwa nini hili linakuwa gumu kueleweka?
Ndiyo mtuletee udini?We nesi mkunga endelea kuzalisha kwenye siasa ma masilahi ya kitaifa inaonekea uelewa wako ni mdogo
Kelele za chura tu hizo.Semeni yote mtakayosema, kama malalamiko yenu yanaweza kujibu hoja za kesho kwenye mkutano karibuni, huu ujinga wa kuhesabu wangapi wa dini gani na wangapi wa dini ipi ni upuuzi tusiotakiwa kuupa nafasi kama taifa.
Haiwezekani mjinga atuingize mtegoni kama taifa vizazi vyetu vyote, halafu badala ya kuambiwa ukweli tuanze kupoteza muda kutazamana dini zetu, hao mashekhe kama wanaijua haki na kuitambua thamani yake, wakaribie kwenye mkutano, hayupo aliyewakataza..
Lakini tusichezeane kwenye suala la kulinda rasilimali zetu, kwa ajili yetu na vizazi vyetu, huyo Thadei Ole Mushi ni mpuuzi asiye na akili.
Kelele za chura tu hizoRasilimali za nchi haziwezi kuachwa zichezewe na mjinga kisha tunyamaze kwa kivuli cha dini, wote wanaomuunga mkono Samia kwenye hili ni wasaliti, hawatasubiriwa, lazima tusonge mbele.
Utachoka tu labda kama huna kazi za kufanya...Hakuna kulala wala kubembeleza wafuasi wa shetani kwenye hili, lazima apigwe mawe
Hii sio bahati mbaya.Hakuna aliyejichanganya.
Dr. Slaa katoa mwaliko kwa viongozi wote wa dini zote, asasi za kiraia nk..ambao hawajakwenda ni kwa mapenzi yao, hawezi kuwabeba mgongoni, haki ipo Temeke, waifuate kama wanaiamini na kuitetea.
Pia, Adv. Madeleka hajajichanganya popote, ametaka suala la mkataba wa hovyo wa bandari lisihusishwe na dini, simply kwasababu kwenye ule mkataba hakuna kipengele cha dini pale, ni sheria pekee, hivyo lijadiliwe kisheria.
Lakini akamtaja Mungu akijua fika, hao waliosaini ule mkataba wa hovyo unaoliangamzia taifa, wana dini zao, ndio maana akamtaja Mungu, kwamba kama wangekuwa wanamuogopa Mungu wanayemuomba kwa imani zao, basi wasingetuingiza kwenye mkataba wa hovyo kama ule, ameeleweka.
Having said that, kila kitu kipo kwenye mstari, hakuna yeyote aliyekosea popote, kazi ibaki moja tu kesho Temeke.
Bado wanabisha!Taasisi yenye watu makini na wenye kusudi la kushika dollar hawawezi kupuuza angalizo hili nyeti lisiloonekana kirahisi. Italifanyia kazi japo sio Lazima iwe kesho au keshokutwa ili kuleta umoja imara na kuepusha minong'ono
Mwanzoni nilidhani wanaopinga uwekezaji bandarini wana hoja ya maana ya kusikilizwa na kufanyiwa kazi.KWANI CHADEMA WAMEITA KONGAMANO LA INJILI?
Na Thadei Ole Mushi.
Kosa la Kifuufundi hili Chadema wamelifanya.
1. Sakata la Bandari toka awali lilianza kuhusishwa na imani za Kidini.
2. Mkutano wa Keshokutwa wa Chadema wazungumzaji wanne kati ya 13 ni viongozi wa dini ya Kikristu.
4. Wengine Tisa waliobakia pia ni wa madhehebu ya Kikristu.
5. Katika Sayansi ya Siasa hapa Chadema Wamenesa bila kujua.
6. Inductive na Deductive appoach zote kwa pamoja zinaruhusu watu wa-Draw conclusion kuwa Chadema na Ukristu ni vitu vibavyokwenda Sambamba.
7. Nilitamani wangerekebisha hili Kosa kwa kuwa Chadema tunaitegemea kama Chama Mbadala wa CCM. Siku CCM ikichoka kuendesha nchi Chadema ichukue Nchi.
8. Nafikiri hawa Maaskofu na Mapadre na Wachungaji ni vizuri zaidi wangekuwa wanatolea misimamo yao kwenye mimbari ya kanisa na sio kwenye majukwaa ya Kisiasa.
9. Cardinali pengo aliwahi kutuasa tusichanganye Siasa na Dini ni hatari.
10. Fanyeni Mpango leo na Kesho mchanganye wazungumzaji ili kuleta umoja wa Kitaifa. Huu ni mkutano wa kisiasa sio mkutano wa maombi.
Ukweli lazima usemwe tu chadema na udini ni pete na kidole. Kuanzia leo narudisha kadi ya chadema naenda CCM!
Kwa Tanzania hii hao waandike maumivu tu.Huu ndio ukweli.
Wapuuzi kama huyo Mwabukusi wanasambaza chuki na inaweza kuwaumiza wao wenyewe.Mbona mama yenu alianza kusema kuwa tunamuonea kwasababu yeye ni muislamu
Umekosea.wanakuja kama Watanzania wa kawaida na si kama viongozi wa dini. Kuwa kiongozi wa dini haikunyimi kuzungumzia mustakabali wa nchi yako kama mzalendo wa kawaida.KWANI CHADEMA WAMEITA KONGAMANO LA INJILI?
Na Thadei Ole Mushi.
Kosa la Kifuufundi hili Chadema wamelifanya.
1. Sakata la Bandari toka awali lilianza kuhusishwa na imani za Kidini.
2. Mkutano wa Keshokutwa wa Chadema wazungumzaji wanne kati ya 13 ni viongozi wa dini ya Kikristu.
4. Wengine Tisa waliobakia pia ni wa madhehebu ya Kikristu.
5. Katika Sayansi ya Siasa hapa Chadema Wamenesa bila kujua.
6. Inductive na Deductive appoach zote kwa pamoja zinaruhusu watu wa-Draw conclusion kuwa Chadema na Ukristu ni vitu vibavyokwenda Sambamba.
7. Nilitamani wangerekebisha hili Kosa kwa kuwa Chadema tunaitegemea kama Chama Mbadala wa CCM. Siku CCM ikichoka kuendesha nchi Chadema ichukue Nchi.
8. Nafikiri hawa Maaskofu na Mapadre na Wachungaji ni vizuri zaidi wangekuwa wanatolea misimamo yao kwenye mimbari ya kanisa na sio kwenye majukwaa ya Kisiasa.
9. Cardinali pengo aliwahi kutuasa tusichanganye Siasa na Dini ni hatari.
10. Fanyeni Mpango leo na Kesho mchanganye wazungumzaji ili kuleta umoja wa Kitaifa. Huu ni mkutano wa kisiasa sio mkutano wa maombi.
Ukweli lazima usemwe tu chadema na udini ni pete na kidole. Kuanzia leo narudisha kadi ya chadema naenda CCM!
Mwanaharakati umeshindwa kuusoma mchezo unaoendelea. Hunchingson kampuni ya Korea imekaa hapo bandarini miaka 22 hata siku moja hakujawahi kusikika hisia za kuupinga uwekezaji wake.Wewe ndo umelitafakari kidini!
Mhimu ni;
Kinakachowapeleka hapo wazungumzaji na jambo linalowakusanya, siyo jambo la kisiasa
Ni jambo la utata na hatima ya nchi yetu
Na si kweli kwamba wazungumzaji hao ni wanachadema wote
Wengine ni mabalozi serikali ya ccm na ambao hata leo wana kadi za ccm
Na isitoshe, Bandari zetu siyo za Chadema wala chama chako ni za Tanganyika
Hivyo, unapaswa hata wewe kuwaunga mkono wananchi hao wenye kada zote nchini
Waambie walioandaa hilo kongamano waachane na kujificha nyuma ya bandari na suala zima la DPW kupenyeza ajenda zao mbaya dhidi ya urais wa Samia.Wakristo wakiamua kumuunga kila kiongozi mkono mkristo hata km anaboronga km waislam wanavyofanya mjue ndio itakuwa mwisho wa TANGANYIKA
Waislam acheni kuweka dini kwenye maslahi ya Taifa kiongozi apimwe kwa uwezo wake sio mnatumia mgongo wa dini kumfichia uhaini
Walikuwa wapi kuongelea masuala ya siasa miaka ile wakati bandari ikiwa chini ya TICTS?.Umekosea.wanakuja kama Watanzania wa kawaida na si kama viongozi wa dini. Kuwa kiongozi wa dini haikunyimi kuzungumzia mustakabali wa nchi yako kama mzalendo wa kawaida.
Kwani Mkataba wa bandari ni wa dini ya kiislam. Maana viongozi wa dini pekee wanaoutetea ni kutoka dini ya kiislamKWANI CHADEMA WAMEITA KONGAMANO LA INJILI?
Na Thadei Ole Mushi.
Kosa la Kifuufundi hili Chadema wamelifanya.
1. Sakata la Bandari toka awali lilianza kuhusishwa na imani za Kidini.
2. Mkutano wa Keshokutwa wa Chadema wazungumzaji wanne kati ya 13 ni viongozi wa dini ya Kikristu.
4. Wengine Tisa waliobakia pia ni wa madhehebu ya Kikristu.
5. Katika Sayansi ya Siasa hapa Chadema Wamenesa bila kujua.
6. Inductive na Deductive appoach zote kwa pamoja zinaruhusu watu wa-Draw conclusion kuwa Chadema na Ukristu ni vitu vibavyokwenda Sambamba.
7. Nilitamani wangerekebisha hili Kosa kwa kuwa Chadema tunaitegemea kama Chama Mbadala wa CCM. Siku CCM ikichoka kuendesha nchi Chadema ichukue Nchi.
8. Nafikiri hawa Maaskofu na Mapadre na Wachungaji ni vizuri zaidi wangekuwa wanatolea misimamo yao kwenye mimbari ya kanisa na sio kwenye majukwaa ya Kisiasa.
9. Cardinali pengo aliwahi kutuasa tusichanganye Siasa na Dini ni hatari.
10. Fanyeni Mpango leo na Kesho mchanganye wazungumzaji ili kuleta umoja wa Kitaifa. Huu ni mkutano wa kisiasa sio mkutano wa maombi.
Ukweli lazima usemwe tu chadema na udini ni pete na kidole. Kuanzia leo narudisha kadi ya chadema naenda CCM!
Hivyo vipengele vya mkataba vimeshafafanuliwa kwa kirefu kwenye mikutano kadhaa ya hadhara. Wanatumia jukwaa la kisiasa kuja na ajenda za udini. Mfano wa fikra zao ni Askofu Maximilian na mahabiri yake yanayojaa ubaguzi.Labda nikuulize dada yangu Muisilamu mwenzangu,hivi watu wanapinga kubinafsisha bandari au wanapinga baadhi ya vipengere vya ubinafsishaji? Tuanze hapo
Ole Thadei ni mpuuzi pia ana viashiria vya upumbavuKWANI CHADEMA WAMEITA KONGAMANO LA INJILI?
Na Thadei Ole Mushi.
Kosa la Kifuufundi hili Chadema wamelifanya.
1. Sakata la Bandari toka awali lilianza kuhusishwa na imani za Kidini.
2. Mkutano wa Keshokutwa wa Chadema wazungumzaji wanne kati ya 13 ni viongozi wa dini ya Kikristu.
4. Wengine Tisa waliobakia pia ni wa madhehebu ya Kikristu.
5. Katika Sayansi ya Siasa hapa Chadema Wamenesa bila kujua.
6. Inductive na Deductive appoach zote kwa pamoja zinaruhusu watu wa-Draw conclusion kuwa Chadema na Ukristu ni vitu vibavyokwenda Sambamba.
7. Nilitamani wangerekebisha hili Kosa kwa kuwa Chadema tunaitegemea kama Chama Mbadala wa CCM. Siku CCM ikichoka kuendesha nchi Chadema ichukue Nchi.
8. Nafikiri hawa Maaskofu na Mapadre na Wachungaji ni vizuri zaidi wangekuwa wanatolea misimamo yao kwenye mimbari ya kanisa na sio kwenye majukwaa ya Kisiasa.
9. Cardinali pengo aliwahi kutuasa tusichanganye Siasa na Dini ni hatari.
10. Fanyeni Mpango leo na Kesho mchanganye wazungumzaji ili kuleta umoja wa Kitaifa. Huu ni mkutano wa kisiasa sio mkutano wa maombi.
Ukweli lazima usemwe tu chadema na udini ni pete na kidole. Kuanzia leo narudisha kadi ya chadema naenda CCM!
Unaweza kuhandle ugomvi na waislam kiongozi wangu?Kwani Mkataba wa bandari ni wa dini ya kiislam. Maana viongozi wa dini pekee wanaoutetea ni kutoka dini ya kiislam
Kama mmeamua kutumia ujinga kama silaha bora kiumane tu. Analeta mambo ya kingese huyu Ole Mushi.
Ok mkataba utakuwa wa mda gani?Hivyo vipengele vya mkataba vimeshafafanuliwa kwa kirefu kwenye mikutano kadhaa ya hadhara. Wanatumia jukwaa la kisiasa kuja na ajenda za udini. Mfano wa fikra zao ni Askofu Maximilian na mahabiri yake yanayojaa ubaguzi.