Ofa? hebu rudia tena huku ukilitafakari neno lenyewe, OFA tena ya pombe?😂
Kama ni mwanamke tu niliyenaye ye apewe tu hizo ofa, ila kama ni mke there's no such a room unless iwe ni kutoka kwa watu nisiowatilia mashaka (ndugu wa karibu wa damu ninaowatambua), na isiwe pombe au lasivyo niwepo pia.
Lakini pia kama ofa imetolewa kwa group including my wife siwezi kumind as long as the one offering is known na sina mashaka nae, ikiwa selective lazima ni judge.
NB: MKE WAKO ANAPEWAJE OFA NA WATU USIOWAJUA KISHA UTULIE? Labda kama ulikuwa unazungumzia Malaya nitaungana na wewe. Tafuta hela umpe anachotaka aache kudowea.