Kwani lazima kuoana?

Kwani lazima kuoana?

Ni tafakuri jadidi katika mkutadha huu, je wadau nyakati hizi tulizo nazo kuna haja ya kuoana? Ikiwa tendo la kuzaa na kuijaza dunia tuliloagizwa na maulana tunalitimiza kikamilifu nje ya utaratibu huu wa kuoana na imefikia mahala hata wengine hatutaki tena kujaza dunia tuna abort au kuua vi offspring vyetu kinyume na mpango wa mola!
Mimi naona mpaka hapo kuoana ni uchoyo tu wa kutaka mtu mmoja kushikilia mwenzie na kuwanyima fursa wengine kuongeza dunia hapohapo!
Mnasemaje wadau?
 
Mhh, you are going against civilization!!! Marriage is more than kuongeza dunia!! Married couples share so many things, apart from sex! So your idea ni watu kwua free range kama kuku?????? Hata kwenye old age... watu waliishi wawili wawili na believe it or not, kuishi wawili wawili kunapunguza so many barbaric behavior. Tukifanya kama unavyo suggest wewe, dunia itakwua na chaos, wanawake ndio wtakuwa victims, kwa kuwa watakuwa wanabakwa kila kukicha>>>>>>>
 
Kuoana ni kanuni asilia. Na ndoa haikulenga kuzaa tu km ww na wengne mnavyofikiri.Kama unataka kujua Mungu atalipokeaje wazo lako kasome biblia mwanzo 6:1 nk uone kilichotokea
 
Mhh, you are going against civilization!!! Marriage is more than kuongeza dunia!! Married couples share so many things, apart from sex! So your idea ni watu kwua free range kama kuku?????? Hata kwenye old age... watu waliishi wawili wawili na believe it or not, kuishi wawili wawili kunapunguza so many barbaric behavior. Tukifanya kama unavyo suggest wewe, dunia itakwua na chaos, wanawake ndio wtakuwa victims, kwa kuwa watakuwa wanabakwa kila kukicha>>>>>>>

Mdau mmoja katuma post kwamba babake wa age ya 70 kabaka housegirl na mama yao anataka kimka after being couple for a century!! unasemaje hapo??
 
Kuoana ni kanuni asilia. Na ndoa haikulenga kuzaa tu km ww na wengne mnavyofikiri.Kama unataka kujua Mungu atalipokeaje wazo lako kasome biblia mwanzo 6:1 nk uone kilichotokea

Mungu alimtengenezea Adamu Kiburudisho yaani Hawa lakini baada ya kuona si ishu kuburudika tu akawapa assignment ya kuzaana na kuijaza dunia sasa huoni kama hilo linatimia out of wedlock siku hizi?
 
mhh, you are going against civilization!!! Marriage is more than kuongeza dunia!! Married couples share so many things, apart from sex! So your idea ni watu kwua free range kama kuku?????? Hata kwenye old age... Watu waliishi wawili wawili na believe it or not, kuishi wawili wawili kunapunguza so many barbaric behavior. Tukifanya kama unavyo suggest wewe, dunia itakwua na chaos, wanawake ndio wtakuwa victims, kwa kuwa watakuwa wanabakwa kila kukicha>>>>>>>

naunga mkono hoja 100%,
asante sana.

hata sijui mwanzisha thread kawaza nini mpaka afikie hatua,
ya kutoa mapendekezo yake ya namna hiyo.
japo sikubaliani naye kwa 1000% lakin bado naheshimu mtazamo wake,
kwasababu naamini lazima kuna sababu iliyomfanye akate tamaa ya ndoa kiasi hicho.
 
You are right kuoana ni selfishness tu ya mwanadamu.
 
Ni tafakuri jadidi katika mkutadha huu, je wadau nyakati hizi tulizo nazo kuna haja ya kuoana? Ikiwa tendo la kuzaa na kuijaza dunia tuliloagizwa na maulana tunalitimiza kikamilifu nje ya utaratibu huu wa kuoana na imefikia mahala hata wengine hatutaki tena kujaza dunia tuna abort au kuua vi offspring vyetu kinyume na mpango wa mola!
Mimi naona mpaka hapo kuoana ni uchoyo tu wa kutaka mtu mmoja kushikilia mwenzie na kuwanyima fursa wengine kuongeza dunia hapohapo!
Mnasemaje wadau?


Eti umesemaje hapo??? Unamaanisha unataka kila mtu awe na wake wengi au?? Kama sijakupata vile.....

Wewe ndo unaonyesha ni mbinafsi sijui ni mwanamke au mwanaume utasemaje wengine wanawanyima wenzao fursa?? Hebu hebu ngoja nijipange kwanza nitarudi kha!!!!
 
Atakaye kuzini na azini sana! kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe mkuu na VVU juu
 
Eti umesemaje hapo??? Unamaanisha unataka kila mtu awe na wake wengi au?? Kama sijakupata vile.....

Wewe ndo unaonyesha ni mbinafsi sijui ni mwanamke au mwanaume utasemaje wengine wanawanyima wenzao fursa?? Hebu hebu ngoja nijipange kwanza nitarudi kha!!!!
shem usisahau kurudi na mwiko,Mulamu atakukoma leo!
 
Mulama kuoana sio ubinafsi. Alafu jua kwamba Mungu aliwapa wanandoa majukumu 2 la kuzaa na pili kutawala. Mtawala lazima aweze kujitawala. Asa ww hutaki kujitawala unataka kuzaa tu kama kuku
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
shem usisahau kurudi na mwiko,Mulamu atakukoma leo!

Ha ha ha ha Mulama anachekesha kweli eti kuzaa wengine wanazibiana kwani nani kamzuia kuzaa watu wengine kujitoa shoo.

Halafu huyu anaonyesha ni mbinafsi hiyo sentensi yake eti wengine wanazibia kwani kama yeye anaona anazibiwa si achape lapa tu kwani nani anamzibia. Ngoja kwanza nisome PM nitarudi
 
Ni tafakuri jadidi katika mkutadha huu, je wadau nyakati hizi tulizo nazo kuna haja ya kuoana? Ikiwa tendo la kuzaa na kuijaza dunia tuliloagizwa na maulana tunalitimiza kikamilifu nje ya utaratibu huu wa kuoana na imefikia mahala hata wengine hatutaki tena kujaza dunia tuna abort au kuua vi offspring vyetu kinyume na mpango wa mola!
Mimi naona mpaka hapo kuoana ni uchoyo tu wa kutaka mtu mmoja kushikilia mwenzie na kuwanyima fursa wengine kuongeza dunia hapohapo!
Mnasemaje wadau?

Mulama kuoana sio ubinafsi. Alafu jua kwamba Mungu aliwapa wanandoa majukumu 2 la kuzaa na pili kutawala. Mtawala lazima aweze kujitawala. Asa ww hutaki kujitawala unataka kuzaa tu kama kuku

Tena kuku wale wa kienyeji anazaa kila siku tu ha ha ha ha kazi kweli kweli zaa mwaya ujaze ulimwengu
 
tena sijui huyu jamaa anajua km kuna Mungu maana kauli yake ina ukakasi. Pia hajui km kuzaa hakutokani na matakwa ya mtu ndo maana kuna watu wana miaka na hawana mtoto
 
tena sijui huyu jamaa anajua km kuna Mungu maana kauli yake ina ukakasi. Pia hajui km kuzaa hakutokani na matakwa ya mtu ndo maana kuna watu wana miaka na hawana mtoto
<br />
<br />
Alivo hata siledi lenyewe kalikimbia hawezi rudi na ubinafsi wake
 
Eti umesemaje hapo??? Unamaanisha unataka kila mtu awe na wake wengi au?? Kama sijakupata vile.....

Wewe ndo unaonyesha ni mbinafsi sijui ni mwanamke au mwanaume utasemaje wengine ru wawanawanyima wenzao fursa?? Hebu hebu ngoja nijipange kwanza nitarudi kha!!!!
Hapa sijaongelea jinsia fulani nimeongelea mwanadamu kwa ujumla kuwa kuoana ni uchoyo wa kunyimana fulsa na uhuru wa kila mtu kufanya matakwa yake ya kimwili. Umenipata?
 
Mulama kuoana sio ubinafsi. Alafu jua kwamba Mungu aliwapa wanandoa majukumu 2 la kuzaa na pili kutawala. Mtawala lazima aweze kujitawala. Asa ww hutaki kujitawala unataka kuzaa tu kama kuku

Bado hakuna mantiki kwani kutawala au kujitawala lazima uwe umeoa au kuolewa?!
 
Back
Top Bottom