Kwani lazima kuoana?

Kwani lazima kuoana?

Hapa sijaongelea jinsia fulani nimeongelea mwanadamu kwa ujumla kuwa kuoana ni uchoyo wa kunyimana fulsa na uhuru wa kila mtu kufanya matakwa yake ya kimwili. Umenipata?
<br />
<br />
Sasa wewe km unataka uhuru usioe/usiolewe sory sijajua jinsia yako
 
Ha ha ha ha Mulama anachekesha kweli eti kuzaa wengine wanazibiana kwani nani kamzuia kuzaa watu wengine kujitoa shoo.

Halafu huyu anaonyesha ni mbinafsi hiyo sentensi yake eti wengine wanazibia kwani kama yeye anaona anazibiwa si achape lapa tu kwani nani anamzibia. Ngoja kwanza nisome PM nitarudi


Nimesema maana ya kuoana ni kuzaa hakuna ndoa itakuwa na amani bila kuwa na watoto huu ndio ukweli. Sasa kama tunazaa na kujaza dunia bila hata ya kuwa na ndoa kuna haja gani ya kushikiliana kwa kinachoitwa ndoa?! na kama kweli ndoa ni muhimu mbona mnapooana mnatolokana kwenda kwenye small houses?!
 
Hapa sijaongelea jinsia fulani nimeongelea mwanadamu kwa ujumla kuwa kuoana ni uchoyo wa kunyimana fulsa na uhuru wa kila mtu kufanya matakwa yake ya kimwili. Umenipata?
<br />
<br />
Bishanga na wewe mnafanana sana sijui km kachangia hapa nyie wote wabinafsi mno
 
Nimesema maana ya kuoana ni kuzaa hakuna ndoa itakuwa na amani bila kuwa na watoto huu ndio ukweli. Sasa kama tunazaa na kujaza dunia bila hata ya kuwa na ndoa kuna haja gani ya kushikiliana kwa kinachoitwa ndoa?! na kama kweli ndoa ni muhimu mbona mnapooana mnatolokana kwenda kwenye small houses?!
<br />
<br />
Wewe nitakufanyia kazi small house? We bado mtoto Muhosni another watoto show iz around the corner ha ha ha vichekesho kweli
 
Hamna kuzibiana hapo ni mipango miji tu mkuu, wewe kama hujisikii kuoa usioe unaweza ishi kwa amani kabisa ila kuna wasiwasi hao watoto utakaowajaza katika dunia hii kukosa malezi bora unajua mkioana na kuishi pamoja mnashirikiana kuwapa watoto misingi bora ya maisha
 
<br />
<br />
Alivo hata siledi lenyewe kalikimbia hawezi rudi na ubinafsi wake

Bado nipo sana tu nilikuwa nachambua michango yenu kwenye mada hii lakini wote naona kama mnakwepa mantiki ya mada, mnaongelea ubinafsi na kuzaa kama kuku mnasahau anayezaa kama kuku na kuujaza ulimwengu ndio anatimiza matakwa ya muumba wake!

Kwa hiyo tukubaliane kuwa misingi ya ndoa inafanyika nje ya ndoa na ndani ya ndoa mnafanya kitu gani? au nibadilishe swali je nini malengo ya ndoa? tujibu bila kuzunguka tafadhari.
 
<br />
<br />
Sasa wewe km unataka uhuru usioe/usiolewe sory sijajua jinsia yako

Dena hii ni jazba sio jibu suala ni je kuna haja ya kuoana ikiwa tumeshatimiza amri ya Muumba kuzaa tuongezeke? na ni wapi kwenye vitabu vya dini tumeagizwa kuoana ( Acha habari za Paulo kwa Wakolintho) manake anasema kama yeye si agizo la muumba! (Kwa Wakristo)
 
Bado nipo sana tu nilikuwa nachambua michango yenu kwenye mada hii lakini wote naona kama mnakwepa mantiki ya mada, mnaongelea ubinafsi na kuzaa kama kuku mnasahau anayezaa kama kuku na kuujaza ulimwengu ndio anatimiza matakwa ya muumba wake!<br />
<br />
Kwa hiyo tukubaliane kuwa misingi ya ndoa inafanyika nje ya ndoa na ndani ya ndoa mnafanya kitu gani? au nibadilishe swali je nini malengo ya ndoa? tujibu bila kuzunguka tafadhari.
<br />
<br />
Mpendwa where ar you! My fellow mchunguzi? kindly do the needfull via mobile ina nilimit mno
 
Dena hii ni jazba sio jibu suala ni je kuna haja ya kuoana ikiwa tumeshatimiza amri ya Muumba kuzaa tuongezeke? na ni wapi kwenye vitabu vya dini tumeagizwa kuoana ( Acha habari za Paulo kwa Wakolintho) manake anasema kama yeye si agizo la muumba! (Kwa Wakristo)
<br />
<br />
Usianze kuingiza mambo ya mistari ya biblia kwenye mada kindly soma JF Rules poa ukitaka haya nenda jukwaa la dini right?
 
Hamna kuzibiana hapo ni mipango miji tu mkuu, wewe kama hujisikii kuoa usioe unaweza ishi kwa amani kabisa ila kuna wasiwasi hao watoto utakaowajaza katika dunia hii kukosa malezi bora unajua mkioana na kuishi pamoja mnashirikiana kuwapa watoto misingi bora ya maisha

Kulea watoto si shida na wala mujarabu wake si ndoa kwani kuna single parent wengi wanaotokana na ndoa zilizovunjika na hawa hawaitwi yatima bali wanaitwa wanalelewa na mzazi mmoja
 
Dena hii ni jazba sio jibu suala ni je kuna haja ya kuoana ikiwa tumeshatimiza amri ya Muumba kuzaa tuongezeke? na ni wapi kwenye vitabu vya dini tumeagizwa kuoana ( Acha habari za Paulo kwa Wakolintho) manake anasema kama yeye si agizo la muumba! (Kwa Wakristo)
<br />
<br />
Kama hutaki kuoa/kuolewa na usifanye hivyo kuumiza mwenzi wako right?
 
<br />
<br />
Wewe nitakufanyia kazi small house? We bado mtoto Muhosni another watoto show iz around the corner ha ha ha vichekesho kweli

Dena una hasira kweli!! jibu suala bana tueimishane hapa hakuna utoto hii ni mada nzito inahitaji mawazo ya kiuana zuoni kabisa!
 
Hamna kuzibiana hapo ni mipango miji tu mkuu, wewe kama hujisikii kuoa usioe unaweza ishi kwa amani kabisa ila kuna wasiwasi hao watoto utakaowajaza katika dunia hii kukosa malezi bora unajua mkioana na kuishi pamoja mnashirikiana kuwapa watoto misingi bora ya maisha
<br />
<br />
Gaga huyu niwakumtafutia Mpendwa kama Murefu tulivomfanya we ngoja
 
<br />
<br />
Kama hutaki kuoa/kuolewa na usifanye hivyo kuumiza mwenzi wako right?

Bado si ufumbuzi hapa umenijibu kama mimi sio kwa faida ya wana jf wote nimefanya kautafiti kidogo kabla ya kuleta sledi hii ndio maana naona bado majibu hayanishawishi pengine nami niweze kuingia kundini tusaidiane kueleweshana mantiki ya kuoana kwa nyakati za sasa.
 
Tatizo lako umetoa mada ya kutaka kushawishi watu wakubaliane na mtazamo wako. Sasa naona watu wamegoma kuunga mkono hoja. Kwa kuwa kuwa bachelor sio kinyume cha sheria, wewe endelea ila acha kuwarubuni watu wengine wawe wafuai wako!

Ndoa zina matatizo yake lakini nani ambaye amekaa single up to 50 years and he/she real enjoys every second of his/her life. Aje hapa atoe ushuhuda. Maana ni risk kufuata njia ambayo ni unknown.
 
<br />
<br />
Usianze kuingiza mambo ya mistari ya biblia kwenye mada kindly soma JF Rules poa ukitaka haya nenda jukwaa la dini right?

Ndio maana sijanukuu kitabu nimenukuu maneno yanaweza kuwa yametamkwa na Paulo jilani yangu si lazima huyo unayemfikiria wewe. ( Hivi Dena Amsi ndio moderator???)
 
Dena una hasira kweli!! jibu suala bana tueimishane hapa hakuna utoto hii ni mada nzito inahitaji mawazo ya kiuana zuoni kabisa!
<br />
<br />
Unajua wewe umenimalizia charge yangu sina umeme. Sawa let me come down zaa/zalisha na uolewe/uoe umefurahi
 
Tatizo lako umetoa mada ya kutaka kushawishi watu wakubaliane na mtazamo wako. Sasa naona watu wamegoma kuunga mkono hoja. Kwa kuwa kuwa bachelor sio kinyume cha sheria, wewe endelea ila acha kuwarubuni watu wengine wawe wafuai wako!<br />
<br />
Ndoa zina matatizo yake lakini nani ambaye amekaa single up to 50 years and he/she real enjoys every second of his/her life. Aje hapa atoe ushuhuda. Maana ni risk kufuata njia ambayo ni unknown.
<br />
<br />
Nilishakwambia usikae mbali bana mapointi km hayanayakosa mno roho inauma good lady
 
Ndio maana sijanukuu kitabu nimenukuu maneno yanaweza kuwa yametamkwa na Paulo jilani yangu si lazima huyo unayemfikiria wewe. ( Hivi Dena Amsi ndio moderator???)
<br />
<br />
Mod?! Huna habari ngoja invisible atatoa majibu
 
Tatizo lako umetoa mada ya kutaka kushawishi watu wakubaliane na mtazamo wako. Sasa naona watu wamegoma kuunga mkono hoja. Kwa kuwa kuwa bachelor sio kinyume cha sheria, wewe endelea ila acha kuwarubuni watu wengine wawe wafuai wako!

Ndoa zina matatizo yake lakini nani ambaye amekaa single up to 50 years and he/she real enjoys every second of his/her life. Aje hapa atoe ushuhuda. Maana ni risk kufuata njia ambayo ni unknown.

Kwanza sijashawishi mimi nimetaka kuelimishwa tu lakini naona bado sijapata majibu yakunielimisha, Pili Juzi nchini uingeleza mama mmoja kwa jina la Winter Pincot amesherehekea miaka 80 ya u virginity anasema hajawahi kufanya tendo hilo kwakuwa alikuwa anachukia usumbufu wake sasa huyo hatuwezi kwenda zaidi kumuuliza alifunga ndoa wapi kwakuwa hata tendo la ndoa hajawi kulifanya maishani!
 
Back
Top Bottom