Sio lazima
SijaolewaWewe hujaoa?
Sijaolewa
Sijaolewa
Hahaha, nshaambiwa Kongosho hueleweki jinsia gani. Sitaki kuingia kwenye matatizo
By s.fm
inawezekana ndoa iliwekwa ili kupunguza uasherati...je, tunaweza kujiuliza nini kingine kiliwekwa ili kupunguza wizi,mauaji,kusema uongo n.k (maana hizi pia ni dhambi) kwa hiyo mi naona kwa wale wanaoamini ndoa ni kama wajibu au utaratibu fulani. lakini tukumbuke ndoa huambatana na mapenzi, sasa je ni yupi uliyempenda na akakupenda?
Mwanaumewewe mwanaume au mwanamke? nataka nikupe vigezo