Kwani lazima kuoana?

Kwani lazima kuoana?

 
Last edited by a moderator:
Labda ndugu yuko sahihi
vpy mbona mnangaka au kunamguso nini..?
Mawazo yam2hueshmiwa jaribun kumwlewa kwnza..
 
ring.jpg

يا الله تجعلني فرحة لزوجتي، وجعل قرة عيني

oh God make me delight to my wife, and make apple of my eyes:A S shade:
 
Mkiitafuta point kwenye bandiko lake mtaipata.
Wana ndoa wengi ni wanafiki, na kiapo kile kimepoteza maana kwani watu wanayatamka yale maneno as formalities tu ni wachache sana wanaomaanisha.

Ingawa sikubaliani na the way alivyoiweka na solution yake lkn nakubaliana na unafiki wa wanamdoa.

Check mabandiko ya kutafuta wenzi, watalaka wamo wa kutosha; hiki ni moja ya viashiria kuwa "mpaka kifo kiwatenganishe" ni ngumu.
 
Ulitaka kusemaje? Sijakuelewa! By the way usiporidhika na ulicho nacho tegemea kuanza ku2mia ARV's mda sio mrefu!
 
Mkiitafuta point kwenye bandiko lake mtaipata.
Wana ndoa wengi ni wanafiki, na kiapo kile kimepoteza maana kwani watu wanayatamka yale maneno as formalities tu ni wachache sana wanaomaanisha.

Ingawa sikubaliani na the way alivyoiweka na solution yake lkn nakubaliana na unafiki wa wanamdoa.

Check mabandiko ya kutafuta wenzi, watalaka wamo wa kutosha; hiki ni moja ya viashiria kuwa "mpaka kifo kiwatenganishe" ni ngumu.

point ipo ila alivyopresent mada yake hapana! Ameandika kama mtu aliyekua desperate sana! Hiyo solution yake ni majanga!
 
I wish I wish .. .. Machizi yakiwa yana sign in Jf.. Mods wawe wanasikia harufu/au waone ishara lolz.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Ekchware, maelezo yako ni sahihi kabisa na ni ya kifalsafa. Ila maelezo hayo yapo nje kabisa na mpango wa Yehova Mungu. Ndoa sio taasisi ya starehe muda wote, starehe ni % ndogo sana! Ndio maana ikaitwa PINGU za maisha. Na wanaofungishwa ndoa hula kiapo cha UVUMILIVU.
 
Ukitumia kitu kimoja kila
siku kwa muda mrefu kinakinai kama ni chakula ama kinachoka kama ni
kifaa ama kitu kingine chochote. Na mkioana ni hivohivo. Kila siku
demu/man yule yule na style zilezile lazima utamchoka na kuhitaji kupata
kitu kipya. Ndiyo mwanzo wa kutoka nje ya ndoa. Manake kwa akina dada
unakuta hata matiti yamelala kama ndala baada ya kuzalishwa, na zile
sehemu nyeti hata hazivutii tena. Mwanaume naye ndo kama bongo lala ktk
kuitumia bakora yake basi ndiyo hivyo hivyo kila siku maisha yake yote.
Nani kasema? Vinginevyo unaidhulumu nafsi yako ewe ndugu. unaweza kuwa
umeolewa ama kuoa mpenzi mwenye kikwapa, inamaana wewe uwe ni wa
kunukishwa kikwapa maisha yako yote? Acha uzembe, ili uishi maisha
marefu lazima uwe una-enjoy sex. Tembezeni huduma na mpate kubadilishana
uzoefu. Karibu kwa mchango wako mwanaJF.

Disgusting
 
Msimnange sana....!

Nchi za magharibi mwa afrca.....wana usemi usemao...(one hole kill penis)..!

....yani ukiwa unafanya na mwanamke huyo huyo kwa muda mrefu,uwezo wako wewe mwanaume wa ku'do unajikuta unapungua to the extent unaweza ukadhani una matatizo. The moment ukaenda chobingo (haijalishi huko chobingo ni pazuri au sio), ukirudi kwa mtu wako wa siku zote akili inajijenga ni kitu kingine kipya kabisa, hamu na uwezo vinaongezeka.

Msemo huu ni kwaajili ya wanaume, sijui kama ni kwa wanawake pia!
 
tatizo lako unajua kuoa au kuolewa ni tendo la ndoa tu... hujui vingine vinavyopatikana ndani ya ndoa.... omba ushauri...
 
Ukitumia kitu kimoja kila siku kwa muda mrefu kinakinai kama ni chakula ama kinachoka kama ni kifaa ama kitu kingine chochote. Na mkioana ni hivohivo. Kila siku demu/man yule yule na style zilezile lazima utamchoka na kuhitaji kupata kitu kipya. Ndiyo mwanzo wa kutoka nje ya ndoa. Manake kwa akina dada unakuta hata matiti yamelala kama ndala baada ya kuzalishwa, na zile sehemu nyeti hata hazivutii tena. Mwanaume naye ndo kama bongo lala ktk kuitumia bakora yake basi ndiyo hivyo hivyo kila siku maisha yake yote. Nani kasema? Vinginevyo unaidhulumu nafsi yako ewe ndugu. unaweza kuwa umeolewa ama kuoa mpenzi mwenye kikwapa, inamaana wewe uwe ni wa kunukishwa kikwapa maisha yako yote? Acha uzembe, ili uishi maisha marefu lazima uwe una-enjoy sex. Tembezeni huduma na mpate kubadilishana uzoefu. Karibu kwa mchango wako mwanaJF.

Siuoni huo unafiki unaouzungumzia wewe. Mtu hapendwi kwa maumbile yake bali hulka yake, tabia yake, bashasha zake na mapenzi yake.

Niko ndani ya ndoa na huu ni mwaka wa kumi sasa. Si unafiki. Mke wangu namwona mpyaaaa kama ndio kwanza tunaanzana. Sasa kama wewe ushamchoka mwenzio, hakika hujui kupenda. Kwa hiyo azeekaye asipendwe?
 
Back
Top Bottom