mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,718
- 7,784
[emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34] funga kinywa chakoSasa mie makonda uniulize hilo swali?? Kama hutaki acha huyu ndio Rais bada ya Samia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34] funga kinywa chakoSasa mie makonda uniulize hilo swali?? Kama hutaki acha huyu ndio Rais bada ya Samia
Blood Diamond 2Kiukweli sijawahi kuona mtu anayetaka kuombewa na kila dhehebu, huyu ni wa kwanza , yaani ukivaa msalaba au Baraghashia , au ukishika Tasbih au Rozali basi atakuvamia umuombee!
Kwanini anataka aombewe na kila mtu , alitenda Makosa gani? Je ni mzima au amepata matatizo ya Ubongo , hivi hawa wanadamu anaotaka wamuombee wenyewe ni waadilifu kiasi gani?
Kwa Mujibu wa Maandiko Matakatifu , Njia pekee ya kusamehewa na Mungu ni kukiri makosa hadharani na kuwaomba radhi kwa mdomo wako wote uliowakosea , vinginevyo ni sawa kutwanga maji kwenye kinu .
Angalizo kwa viongozi wa dini , na angalizo hili mlizingatie , si kila mtu ni wa kukaribishwa mazabauni , mkiendelea hivi mtakumbana na adhabu ya Mungu waziwazi.
Hata sisi waumini wenu hatutakubali mtudhalilishe kwa kuwakumbatia wachafu na wauaji , TUTAWAONDOA KWENYE HIVYO VYEO KAMA ILIVYOWAHI KUTOKEA HAPO AWALI , JIHESHIMUNI
View attachment 2831702View attachment 2831703
We kweli sambulugu! Anamzidi nani kama sio nyie manungayembe huko chama chakavu?Vilaza mnafarijiana! Makonda anawazidi na ataendelea kuwatesa sana!
Hujui eeh? Basi kula nondo hizoKwani chadema bado ipo hai kweli?[emoji3064]
Hujui eeh? Basi kula hizo za jana tuu;Kwani chadema bado ipo hai kweli?[emoji3064]
Hili no bandiko Bora Kwa mwaka huu, hongera sana Ur real think tankerKiukweli sijawahi kuona mtu anayetaka kuombewa na kila dhehebu, huyu ni wa kwanza , yaani ukivaa msalaba au Baraghashia , au ukishika Tasbih au Rozali basi atakuvamia umuombee!
Kwanini anataka aombewe na kila mtu , alitenda Makosa gani? Je ni mzima au amepata matatizo ya Ubongo , hivi hawa wanadamu anaotaka wamuombee wenyewe ni waadilifu kiasi gani?
Kwa Mujibu wa Maandiko Matakatifu , Njia pekee ya kusamehewa na Mungu ni kukiri makosa hadharani na kuwaomba radhi kwa mdomo wako wote uliowakosea , vinginevyo ni sawa kutwanga maji kwenye kinu .
Angalizo kwa viongozi wa dini , na angalizo hili mlizingatie , si kila mtu ni wa kukaribishwa mazabauni , mkiendelea hivi mtakumbana na adhabu ya Mungu waziwazi.
Hata sisi waumini wenu hatutakubali mtudhalilishe kwa kuwakumbatia wachafu na wauaji , TUTAWAONDOA KWENYE HIVYO VYEO KAMA ILIVYOWAHI KUTOKEA HAPO AWALI , JIHESHIMUNI
View attachment 2831702View attachment 2831703
AmenHili no bandiko Bora Kwa mwaka huu, hongera sana Ur real think tanker
Rais Ajae ni Makonda upende usipendee nia namadhumuni awe kama magufuli[emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34] funga kinywa chako
Hii post isipuuzweDamu za watu zinamlilia.
Chongolo hakufaa kuwa KM wa ccm kutokana na utendaji wake huko alikotoka, hata hivyo sababu zinazosemekana zimemuondoa ni hizo hizo za kutokuwa muadilifu ambazo Makonda kipenzi cha SAMIA zinamuandama!! Double standard application kwa Viongozi kutaiangusha nchi hii kama haijaanguka already.Tulia bwana. Muache Kiongozi wetu shupavu apate upako wa viongozi wetu wa dini. Anajitafuta baraka zaidi na zaidi. Kwa maombezi yao, uKatibu Mkuu anao.
Kiukweli sijawahi kuona mtu anayetaka kuombewa na kila dhehebu, huyu ni wa kwanza , yaani ukivaa msalaba au Baraghashia , au ukishika Tasbih au Rozali basi atakuvamia umuombee!
Kwanini anataka aombewe na kila mtu , alitenda Makosa gani? Je ni mzima au amepata matatizo ya Ubongo , hivi hawa wanadamu anaotaka wamuombee wenyewe ni waadilifu kiasi gani?
Kwa Mujibu wa Maandiko Matakatifu , Njia pekee ya kusamehewa na Mungu ni kukiri makosa hadharani na kuwaomba radhi kwa mdomo wako wote uliowakosea , vinginevyo ni sawa kutwanga maji kwenye kinu .
Angalizo kwa viongozi wa dini , na angalizo hili mlizingatie , si kila mtu ni wa kukaribishwa mazabauni , mkiendelea hivi mtakumbana na adhabu ya Mungu waziwazi.
Hata sisi waumini wenu hatutakubali mtudhalilishe kwa kuwakumbatia wachafu na wauaji , TUTAWAONDOA KWENYE HIVYO VYEO KAMA ILIVYOWAHI KUTOKEA HAPO AWALI , JIHESHIMUNI
View attachment 2831702View attachment 2831703
Hapo alidanganywa,Ujitani hapajawahi kuwepo hayo majitu aliyovishwa.Chifu km Chifu Manyama shusha Ng'ombe tule ManyamaView attachment 2831719
Huyo aliyetajirika akiwa Mkuu wa mkoa tu !??Rais Ajae ni Makonda upende usipendee nia namadhumuni awe kama magufuli
Jpm ?huyo mzee amechafuka wapi acha kujiona unajua maisha yakujiona wenzako ni wehu acha masifa yatakuponza utanikumbuka . Tusiseme kwani wewe nani sindo nyie mlisema hapata tokea rais mwanamke samia huyu hapa na sasa hama nchi kwa maana makonda ndio rahisi sio napenda ni sina jinsi maana ukiangalia safari hii ni mkristo atashika nchi sio mwislam angekuwa jpm yupo angemaliza 2025 halafu aingie samia sasa samia yupo madarakani na wanamchagua mkristo ambayeniHuyo aliyetajirika akiwa Mkuu wa mkoa tu !??
Je akiwa Waziri ??!!
Je akiwa makamu tu ??!!
Bado hatujafika huko
Msimchafue JPM pliz
Ni wenge tu damu za kina Ben saanane zinamuandamaKiukweli sijawahi kuona mtu anayetaka kuombewa na kila dhehebu, huyu ni wa kwanza , yaani ukivaa msalaba au Baraghashia , au ukishika Tasbih au Rozali basi atakuvamia umuombee!
Kwanini anataka aombewe na kila mtu , alitenda Makosa gani? Je ni mzima au amepata matatizo ya Ubongo , hivi hawa wanadamu anaotaka wamuombee wenyewe ni waadilifu kiasi gani?
Kwa Mujibu wa Maandiko Matakatifu , Njia pekee ya kusamehewa na Mungu ni kukiri makosa hadharani na kuwaomba radhi kwa mdomo wako wote uliowakosea , vinginevyo ni sawa kutwanga maji kwenye kinu .
Angalizo kwa viongozi wa dini , na angalizo hili mlizingatie , si kila mtu ni wa kukaribishwa mazabauni , mkiendelea hivi mtakumbana na adhabu ya Mungu waziwazi.
Hata sisi waumini wenu hatutakubali mtudhalilishe kwa kuwakumbatia wachafu na wauaji , TUTAWAONDOA KWENYE HIVYO VYEO KAMA ILIVYOWAHI KUTOKEA HAPO AWALI , JIHESHIMUNI
View attachment 2831702View attachment 2831703
Ushamba ni kama pumb Kila uendapo uko naloAnapenda mno kiki na camera hajabadilika