Kwani Makonda alitenda dhambi ngapi? Mbona anataka kuombewa na kila mtu?

He is Guilty in his Heart
 
Anatafuta uungwaji mkono. Anajua sehemu kubwa ya jamii ilishamkataa sasa anatafuta namna ya kurudi. Hayo maombi ni gia tu anajua watanzania ukiwatajia mambo ya Imani wengi watakuamini.
 
Damu za watu zinamuandama
 
Hakuna upako bila kufanya toba ya kweli. Na toba ya kweli, kwanza ni kuwapigia magoti uliowadhulumu, ndipo uende nyumbani mwa bwana kuupata utakaso. Vinginevyo, anavyozidi kuwafool viongozi wa dini, anazidi kuchota laana badala ya baraka.
Nyiewatu mnaejifanya watakatifu ndio mawakala wa shetani in advance!.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…