Kwani ''Mama'' amemalizana na sisi tuliokuwa tunaitwa ''sukuma gang''; Je, kwa sasa ni zamu ya waliokuwa wanafurahia na kufanya sherehe!

Acha nilie kidogo kupunguza maumivu. Enzi za mwendazake 5000 ilinunua unit 41.3. Leo napata unit 21 tu.

Magufuli kwanini umekufa?
 
 
Mimi siwezi kumkumbuka magufuli kwa roho yake mbaya huyo mama hata aboronge vipi hatofikia nusu ya magu
 

Wewe ni mpuuzi sana, nakuona kila siku unamtukana Magufuli na wasukuma hata na ID yako ya zamani (Bams).

Magufuli alikubalika na wengi kwa kazi zake, maskini, makabila yote, watu wote.

Mwambie Mama yako afanye kazi kubwa kuliko Magufuli, atapendwa na wengi.

Wewe mpuuzi unaweza kushinda uchaguzi wowote bila hao unaowatukana kila siku.
 
Kwa kifupi, jamaa alikubalika na watu WAJINGA na WAPUMBAVU TU.
 
Ila Magufuli aliwadanganya sana nyie wapambe wake , yaani aliwaaminisha kwamba katiba si lolote na mkaamini , ilibaki kidogo sana muanze kumuabudu kuliko Mungu
 
Kwa kifupi, jamaa alikubalika na watu WAJINGA na WAPUMBAVU TU.

Nyie wenye akili mnashindwa kutupa Maji, umeme, kuthibiti mfumuko wa bei, mbolea, vifaa vya ujenzi, wapi mmefanikiwa hata kidogo tu.

Maisha ya watu wa kawaida yamekuwa magumu sana.

Pumbavu sana wewe na genge lako.
 
Nyie wenye akili mnashindwa kutupa Maji, umeme, kuthibiti mfumuko wa bei.

Maisha ya watu wa kawaida yamekuwa magumu sana.

Pumbavu sana wewe na genge lako.
Genge gani tenaa!? Mimi ni C H A D E M A . mlitaka nchi ya kijani. Haya sasa, mmepewa na magugu maji..
 
Unapigania nini? Maisha mazuri, sera rafiki kusaidia Watanzania wengi, wote au genge dogo.
Sorry Brother! Najua sisi sote ni Watanzania[emoji1241] lengo letu ni moja.. Naweza kuhisi maumivu unayopitia. Ila yote heri, Tanzania [emoji1241] itakuja kuwa nchi tunayoitaka.
 
Sorry Brother! Najua sisi sote ni Watanzania[emoji1241] lengo letu ni moja.. Naweza kuhisi maumivu unayopitia. Ila yote heri, Tanzania [emoji1241] itakuja kuwa nchi tunayoitaka.

Maumivu yangu ni kwa Watanzania wengi. Maisha yao, kuwasaidia wainuke, wasimame.

Nchi iwe na sera, uongozi, utawala, mazingira, yatakao saidia wengi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…