Kwani ''Mama'' amemalizana na sisi tuliokuwa tunaitwa ''sukuma gang''; Je, kwa sasa ni zamu ya waliokuwa wanafurahia na kufanya sherehe!

Maumivu yangu ni kwa Watanzania wengi. Maisha yao, kuwasaidia wainuke, wasimame.

Nchi iwe na sera, uongozi, utawala, mazingira, yatakao saidia wengi.
Aisee umeongea point tupu tena constructively
 
Wikipedia ? .... You are indeed a clown
 
Jamani ujasiri tu hautoshi kwenye utawala bora
 

Kaka Aisee nimecheka sanaaa
Eti jina La Sukuma gang likome...[emoji1][emoji1][emoji1][emoji851][emoji23]
Umenikumbusha Supika alivyosemaga Mwenzako kama halitaki jina Kwanini Uendee Kumuita...Nadhani alikuwa akimwanbia cAG..[emoji41][emoji23]
 
Yaani wewe ni kati ya waliokuwa wanamuabudu Jiwe , sijui hali yako kwa sasa ikoje wallah tena !!
 
Pamoja na kuitwa "Sukuma gang" sisi ndio wengi, uchaguzi wa haki wa kidemokrasia nchi ni yetu. Alitupigania wote ila tu watu wazuri hawaishi mda mrefu.
 
🥶🥶
 
Laa 'Ilaaha 'Illa Allaahu Wahdahu La Shareeka Lahu, Lahul Mulku Wa Lahul Hamdu Yuhyi Wa Yumeet Wahuwa A'la Kulli Shay'iin Qadeer.
 
Kwa kuogopa kulia tena, sisi tulioitwa sukuma gang hatucheki wala kukejeli bali tunaangalia mchezo unavyochezwa!
Shida ni kwamba, walifikiri sisi ni bendera kufuata upepo. Hawakujua Juu ya Magufuli ulikuwa ni Utambuzi uliovuka upeo wao wafuata upepo.
Acha tuwaachie uwanja waliouzoea tuwe watazamaji, na Tutaona mengi bado.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…