Ibambasi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2007
- 9,296
- 4,697
Na kweli. Tunaona na tunashuhudiaMama hana shida kazi inaendelea....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kweli. Tunaona na tunashuhudiaMama hana shida kazi inaendelea....
Tatizo chuki zao kwa Rais Magufuli zilikuwa zimeziba fahamu zao za uelewa kuhusu sehemu yao kisiasa!Walikua wanasema mama anaupiga mwingi😂😂. Siku hizi sijui mpira umetoboka ama umepasuka, sisikii tena habari za kuupiga mwingi, ama ni half time?
Manung'uniko na ubambakiaji wa kesi vyote hivi vikizidi hasira ya Mungu itawaka, kuna mambo huwa nayafukiria sipati jibu hadi leo 😔Mimi ninaungalia huu mchezo wa kulia kupokezana unavyochezwa mpaka mwisho wake!
Unapepesa macho kiongozi sema wazi kabisa aliyekua anaongoza kuwazodoa hao sukuma gang ni bwana Mbowe, yaani huko aliko kwa kuwa ni gaidi itafaa sana awe analala na minyororo miguuni na mikononi gaidi ni hatari sana. Wawe wanamuamsha na viboko kila asubuhi.
Sitaki kutumia maneno ambayo yataonekana ninamcheka na kumkejeli!Unapepesa macho kiongozi sema wazi kabisa aliyekua anaongoza kuwazodoa hao sukuma gang ni bwana Mbowe, yaani huko aliko kwa kuwa ni gaidi itafaa sana awe analala na minyororo miguuni na mikononi gaidi ni hatari sana. Wawe wanamuamsha na viboko kila asubuhi.
Kabisa mkuu!Mpaka sasa tuko kwenye raha ya ajabu kwa Mungu kutuondolea yule dhalimu bila damu kumwagika. Wapinzani hawajawahi kula raha nchi hii, labda wale wapinzani wapenzi wa ccm. Hivyo kwetu anayofanya huyu mama wa kambo ni marudio tu. Japo mama wa kambo hata aige vipi, hawezi kummkutia dhalimu kwa uhayawani. Kwahiyo sukuma Gang mtapata tabu sana maana Mungu wenu alipanga kufia madarakani, na nyie muendelee kula upepo mwanana.
Mimi nimebaki ninaungalia huu mchezo wa kisiasa mpaka mwisho!Ukinywa bia na kulewa huwezi mkumbuka Samia au Magufuli
Ahaaa pombe mbaya
kula maisha na kula bata
Wamepotea na hawajulikana kwa sasa wamejificha wapi kisiasa!Akina Mshana Jr ndo walikuwa front line proponents wa kutangaza sukuma gang, sasa hivi ndio wanalia kilio cha mbwa, mdomo juu na kumwita mama dikteta!
Kabisa mkuu!
Yule dhalimu wako mungu wako kakuondolea na sasa hivi mko vizuri!
Mnapumua, democrasia ipo tele, mama anawakomesha mataga na sukuma gang!
Mi 10 tena kwa mama
Sisi sio wasukuma bali ni sukuma gang! tutamiss vipi kitu ambacho hatukukianzisha sisi? Nadhani wanatumiss ni wale waliokuwa wanatuita MATAGA na Sukuma gang!Wasukuma mmemiss kutajwa tajwa sio??!!
Aaah maza anaupiga mwingi kamanda hadi gaidi mwenyewe alikiri.......kwani anko Magu alipewa hizi sifa na gaidi😁😁Mpaka sasa tuko kwenye raha ya ajabu kwa Mungu kutuondolea yule dhalimu bila damu kumwagika. Wapinzani hawajawahi kula raha nchi hii, labda wale wapinzani wapenzi wa ccm. Hivyo kwetu anayofanya huyu mama wa kambo ni marudio tu. Japo mama wa kambo hata aige vipi, hawezi kummkutia dhalimu kwa uhayawani. Kwahiyo sukuma Gang mtapata tabu sana maana Mungu wenu alipanga kufia madarakani, na nyie muendelee kula upepo mwanana.
Kwanini mungu wako hakuonesha ufundi kwa kuiondoa ccm?
Sisi tunaungalia huu mchezo kwa mbali!CHADEMA Walifikiri Rais ni "dhaifu" atafanya chochote wanachotaka wakimshinikiza... ila sukuma gengi bado mpo mama hajawasahau anawalia timing tu🤣
The future is unpredictable, very unpredictable.Mimi ninaungalia huu mchezo wa kulia kupokezana unavyochezwa mpaka mwisho wake!
Yaani unasema mko kwenye raha halafu hapohapo unadai hamjawahi kuwa kwenye raha! Contradictory statement!Mpaka sasa tuko kwenye raha ya ajabu kwa Mungu kutuondolea yule dhalimu bila damu kumwagika. Wapinzani hawajawahi kula raha nchi hii, labda wale wapinzani wapenzi wa ccm. Hivyo kwetu anayofanya huyu mama wa kambo ni marudio tu. Japo mama wa kambo hata aige vipi, hawezi kummkutia dhalimu kwa uhayawani. Kwahiyo sukuma Gang mtapata tabu sana maana Mungu wenu alipanga kufia madarakani, na nyie muendelee kula upepo mwanana.
Yaani miezi minne ameanza kummiss? Mbona mapema sana![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wana bavicha wananena kwa lugha!
Lisu ameanza kummiss Magu
Inashangaza Sana[emoji1787]Walokuwa wanaita wenzao Sukuma Gang sasa ndo wanamwita Samia dikteta!
Who didn’t see that coming?