Kwani ni lazima kwa kila anayetaka kuiba amponde kwanza Hayati Magufuli!!? Si muibe tuu

Kwani ni lazima kwa kila anayetaka kuiba amponde kwanza Hayati Magufuli!!? Si muibe tuu

Paulsylvester

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2021
Posts
1,464
Reaction score
3,379
Kumponda JPM ndio njia pekee ya majizi yote sasa kuitumia ili kuhalalisha wizi na ufisadi!

Bahati mbaya kabisa, yanalazimisha nchi na wananchi iwasikilize na kuwaunga mkono kwenye biti zao za uwongo za kuhalalisha uwizi na ufisadi, mamaah! Waliowengi wako upande wa wasiompenda JPM R.I.P

Enyi mafisadi mliopiga b61 kulipana posho, mnadhani kwamba muda huu mfupi tumemsahau kabisa JPM Kwa alivyonyofoa nyofoa cheni yenu ya majambazi ya nchi hii na kuwatupa nje?

Mliutumia vema msamiati wa nchi yetu ni masikini mkafauru, mkawa mnagawana tu kila kilichokuwa kikipatikana wengine MNA Mali nyingi nje kuliko mlizonazo nchini utazani ni wazaliwa wa huko na msjue hammunufaishi mtanzania yoyote isipokuwa ni huko, Mali za watanzania mnahamisha tuu, mnawaachia nini vitukuu vyenu!

JPM akakaanusha Kwa nguvu zote kuwa Tanzania, sio masikini isipokuwa wananchi wake ndio masikini, na alivalia njuga hilo ili kutumia vema rasilimali zetu ili kuondoa umasikini wa mwananchi mmojammoja na ingawa hakufikia, lakini mwelekeo wake tuliuona Kwa macho yetu

Miradi mikubwa yenye lengo ya kupunguza ukali wa maisha akaianzisha, na kila mtu akaduwaa, na hata nyinyi mafisadi mliduwaa kwamba inawezekanaje miradi mingi mikubwa kujengwa tena Kwa mkupuo?

Sasa mmeanza tena kutuhadaa eti hatuwezi kujitegemea, na kila kazi iliyofanywa na serikali awamu ya tano ni batiri na hasara

Mnatuonaje? Mnatuonaje? Kwamba ni nyiny tuu mlio na akili wengine ni zero??

Nuwashauri, mnaweza kuiba tuu bila kuzodoa kazi nzuri za JPM, kwani, shule mlizopita, ndio hizohizo tulizopita, tofauti ni kwamba, nyie mpo hapo juu kuukubali ukweli kwamba, kila jambo linawakati wake, na wakati wa wengine kuwepo hapo utawadia na nyie mkiwa na wakati mwingine kabisa
 
Kumponda JPM ndio njia pekee ya majizi yote sasa kuitumia ili kuhalalisha wizi na ufisadi!

Bahati mbaya kabisa, mnalazimisha nchi iwasikilize na kuwaunga mkono kwenye biti zenu za uwongo!

Enyi mafisadi mliopiga b600 kulipana posho, mnadhani kwamba muda huu mfupi tumsahau kabisa JPM Kwa alivyounyofoa nyofoa cheni yenu ya majambazi ya nchi hii!

Mliutumia vema msamiati wa nchi yetu ni masikini mkafauru mkawa mnagawana tu kila kilichokuwa kikipatikana,

JPM alikanusha Kwa nguvu zote kuwa Tanzania sio masikini isipokuwa wananchi wake ndio masikini, na alivalia njuga hilo ili kutumia vema rasilimali zetu ili kuondoa umasikini wa mwananchi mmojammoja na ingawa hakufikia, lakini mwelekeo wake tuliuona Kwa macho yetu

Miradi mikubwa yenye lengo ya kupunguza ukali wa maisha akaianzisha, na kila mtu akaduwaa, na hata nyinyi mafisadi mliduwaa kwamba inawezekanaje miradi mingi mikubwa kujengwa tena Kwa mkupuo?

Sasa mmeanza tena kutuhadaa eti hatuwezi kujitegemea, na kila kazi iliyofanywa na serikali awamu ya tano ni batiri na hasara

Mnatuonaje? Mnatuonaje? Kwamba ni nyiny tuu mlio na akili wengine ni zero??

Nuwashauri, mnaweza kuiba tuu bila kuzodoa kazi nzuri za JPM, kwani, shule mlizopita, ndio hizohizo tulizopita, tofauti ni kwamba, nyie mpo hapo juu kuukubali ukweli kwamba, kila jambo linawakati wake, na wakati wa wengine kuwepo hapo utawadia na nyie mkiwa na wakati mwingine kabisa
Kwani nzee ya biti za uongo hakusikilizwa ndugu mwana umoja party?
 
Hadi panya rodi wame funguliwa nchi...🤣
Ila royo tua naona imenoga...😂
Latra wametangaza rasmi kupanda bei za nauli...😓
Ghafla Rostam ameanza kuambatana na mama...🙄
Ila siku zinaenda kasi sana R.i.P Pombe
 
Hadi panya rodi wame funguliwa nchi...🤣
Ila royo tua naona imenoga...😂
Latra wametangaza rasmi kupanda bei za nauli...😓
Ila siku zinaenda kasi sana R.i.P Pombe
Inasikitisha sana!

Na hapo watasema eti JPM alituhadaa hakukuwa na usalama enzi zake, panya road walikuwepo ila hakukuwa na uwazi, wandishi wa habari hawakuruhusiwa kuripot tarifa hizi!
 
Inasikitisha sana!

Na hapo watasema eti JPM alituhadaa hakukuwa na usalama enzi zake, panya road walikuwepo ila hakukuwa na uwazi, wandishi wa habari hawakuruhusiwa kuripot tarifa hizi!
Amini utakavyo amini ila uhuru wa habari ni zaidi ya silaha ya nuclear,ikitumika vizuri ni neema,ikumiwa vibaya ni hasara/maangamizi
 
Kumponda JPM ndio njia pekee ya majizi yote sasa kuitumia ili kuhalalisha wizi na ufisadi!

Bahati mbaya kabisa, mnalazimisha nchi iwasikilize na kuwaunga mkono kwenye biti zenu za uwongo!

Enyi mafisadi mliopiga b600 kulipana posho, mnadhani kwamba muda huu mfupi tumsahau kabisa JPM Kwa alivyounyofoa nyofoa cheni yenu ya majambazi ya nchi hii!

Mliutumia vema msamiati wa nchi yetu ni masikini mkafauru mkawa mnagawana tu kila kilichokuwa kikipatikana,

JPM alikanusha Kwa nguvu zote kuwa Tanzania sio masikini isipokuwa wananchi wake ndio masikini, na alivalia njuga hilo ili kutumia vema rasilimali zetu ili kuondoa umasikini wa mwananchi mmojammoja na ingawa hakufikia, lakini mwelekeo wake tuliuona Kwa macho yetu

Miradi mikubwa yenye lengo ya kupunguza ukali wa maisha akaianzisha, na kila mtu akaduwaa, na hata nyinyi mafisadi mliduwaa kwamba inawezekanaje miradi mingi mikubwa kujengwa tena Kwa mkupuo?

Sasa mmeanza tena kutuhadaa eti hatuwezi kujitegemea, na kila kazi iliyofanywa na serikali awamu ya tano ni batiri na hasara

Mnatuonaje? Mnatuonaje? Kwamba ni nyiny tuu mlio na akili wengine ni zero??

Nuwashauri, mnaweza kuiba tuu bila kuzodoa kazi nzuri za JPM, kwani, shule mlizopita, ndio hizohizo tulizopita, tofauti ni kwamba, nyie mpo hapo juu kuukubali ukweli kwamba, kila jambo linawakati wake, na wakati wa wengine kuwepo hapo utawadia na nyie mkiwa na wakati mwingine kabisa
Bado muda mchache KUTAPAMBAZUKA, Nuru itan'gaa tena angani. Tabasamu litarudi tena usoni.
 
Yani nyie ni bahati mbaya kwenu kuwa mmefeli kabla ya kuanza na kinacho wafelisha ni kuamini uongo mwingi wa babu yenu.
Tulia kijana, wewe jitahidi kuwa msafi tuu, hutaguswa usiogope
 
Ata yeye kipindi anaiba aliponda wenzake wacha majizi wagombane japo jizi ningine liko chini futi 6
 
2025 yatafanyika maajabu mapya kabisa kuwahi kutokea katika Nchi hii.
Hatuwezi kuendelea kulea majizi, hiyo haiwezekani.
Naamini bila shaka kwamba, Mungu alikuwa na maksudi yake kutuletea JPM ili atufungue macho na kutuonesha njia.
Ni Mungu huyo huyo atakayeuteketeza mfumo wa kifisadi katika Nchi hii.
RIP, BABA YETU MPENDWA, JPM.
 
2025 yatafanyika maajabu mapya kabisa kuwahi kutokea katika Nchi hii.
Hatuwezi kuendelea kulea majizi, hiyo haiwezekani.
Naamini bila shaka kwamba, Mungu alikuwa na maksudi yake kutuletea JPM ili atufungue macho na kutuonesha njia.
Ni Mungu huyo huyo atakayeuteketeza mfumo wa kifisadi katika Nchi hii.
RIP, BABA YETU MPENDWA, JPM.
Barikiwa sana aisee
 
Back
Top Bottom