OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti yanasema kwenye madini JPM alivuruga sana!Ngoja mafisadi yaje.
Yangu macho.
Mkuu vipi🤣🤣🤣🤣
Mama anaupiga mwingi. Huyu ndio Chui Jike/ chief Hangaya.Hadi panya rodi wame funguliwa nchi...[emoji1787]
Ila royo tua naona imenoga...[emoji23]
Latra wametangaza rasmi kupanda bei za nauli...[emoji29]
Ila siku zinaenda kasi sana R.i.P Pombe
Utaachaje kushangaa wakati ulikuwa umebebelea MAVYETI FEKI?Uwa na nashangaa watu wanavyomsifu huyu Jpm.?
Sasa mbona jpm ndo alikuwa mwizi kuliko hao unawahisiKumponda JPM ndio njia pekee ya majizi yote sasa kuitumia ili kuhalalisha wizi na ufisadi!
Bahati mbaya kabisa, yanalazimisha nchi na wananchi iwasikilize na kuwaunga mkono kwenye biti zao za uwongo za kuhalalisha uwizi na ufisadi, mamaah! Waliowengi wako upande wa wasiompenda JPM R.I.P
Enyi mafisadi mliopiga b600 kulipana posho, mnadhani kwamba muda huu mfupi tumsahau kabisa JPM Kwa alivyonyofoa nyofoa cheni yenu ya majambazi ya nchi hii na kuwatupa nje?
Mliutumia vema msamiati wa nchi yetu ni masikini mkafauru, mkawa mnagawana tu kila kilichokuwa kikipatikana wengine MNA Mali nyingi nje kuliko mlizonazo nchini utazani ni wazaliwa wa huko na msjue hammunufaishi mtanzania yoyote isipokuwa ni huko, Mali za watanzania mnahamisha tuu, mnawaachia nini vitukuu vyenu!
JPM akakaanusha Kwa nguvu zote kuwa Tanzania, sio masikini isipokuwa wananchi wake ndio masikini, na alivalia njuga hilo ili kutumia vema rasilimali zetu ili kuondoa umasikini wa mwananchi mmojammoja na ingawa hakufikia, lakini mwelekeo wake tuliuona Kwa macho yetu
Miradi mikubwa yenye lengo ya kupunguza ukali wa maisha akaianzisha, na kila mtu akaduwaa, na hata nyinyi mafisadi mliduwaa kwamba inawezekanaje miradi mingi mikubwa kujengwa tena Kwa mkupuo?
Sasa mmeanza tena kutuhadaa eti hatuwezi kujitegemea, na kila kazi iliyofanywa na serikali awamu ya tano ni batiri na hasara
Mnatuonaje? Mnatuonaje? Kwamba ni nyiny tuu mlio na akili wengine ni zero??
Nuwashauri, mnaweza kuiba tuu bila kuzodoa kazi nzuri za JPM, kwani, shule mlizopita, ndio hizohizo tulizopita, tofauti ni kwamba, nyie mpo hapo juu kuukubali ukweli kwamba, kila jambo linawakati wake, na wakati wa wengine kuwepo hapo utawadia na nyie mkiwa na wakati mwingine kabisa
We unafikiri kila Mtu anaabudu Binadamu sio?Utaachaje kushangaa wakati ulikuwa umebebelea MAVYETI FEKI?
Utashangaa sana. Wenzio tulibukua hatuna hofu.
Ni kweli.Inasikitisha sana!
Na hapo watasema eti JPM alituhadaa hakukuwa na usalama enzi zake, panya road walikuwepo ila hakukuwa na uwazi, wandishi wa habari hawakuruhusiwa kuripot tarifa hizi!
Mafisadi wametamalaki kwa sasa. Katiba mpya ndio suluhuKumponda JPM ndio njia pekee ya majizi yote sasa kuitumia ili kuhalalisha wizi na ufisadi!
Bahati mbaya kabisa, yanalazimisha nchi na wananchi iwasikilize na kuwaunga mkono kwenye biti zao za uwongo za kuhalalisha uwizi na ufisadi, mamaah! Waliowengi wako upande wa wasiompenda JPM R.I.P
Enyi mafisadi mliopiga b600 kulipana posho, mnadhani kwamba muda huu mfupi tumsahau kabisa JPM Kwa alivyonyofoa nyofoa cheni yenu ya majambazi ya nchi hii na kuwatupa nje?
Mliutumia vema msamiati wa nchi yetu ni masikini mkafauru, mkawa mnagawana tu kila kilichokuwa kikipatikana wengine MNA Mali nyingi nje kuliko mlizonazo nchini utazani ni wazaliwa wa huko na msjue hammunufaishi mtanzania yoyote isipokuwa ni huko, Mali za watanzania mnahamisha tuu, mnawaachia nini vitukuu vyenu!
JPM akakaanusha Kwa nguvu zote kuwa Tanzania, sio masikini isipokuwa wananchi wake ndio masikini, na alivalia njuga hilo ili kutumia vema rasilimali zetu ili kuondoa umasikini wa mwananchi mmojammoja na ingawa hakufikia, lakini mwelekeo wake tuliuona Kwa macho yetu
Miradi mikubwa yenye lengo ya kupunguza ukali wa maisha akaianzisha, na kila mtu akaduwaa, na hata nyinyi mafisadi mliduwaa kwamba inawezekanaje miradi mingi mikubwa kujengwa tena Kwa mkupuo?
Sasa mmeanza tena kutuhadaa eti hatuwezi kujitegemea, na kila kazi iliyofanywa na serikali awamu ya tano ni batiri na hasara
Mnatuonaje? Mnatuonaje? Kwamba ni nyiny tuu mlio na akili wengine ni zero??
Nuwashauri, mnaweza kuiba tuu bila kuzodoa kazi nzuri za JPM, kwani, shule mlizopita, ndio hizohizo tulizopita, tofauti ni kwamba, nyie mpo hapo juu kuukubali ukweli kwamba, kila jambo linawakati wake, na wakati wa wengine kuwepo hapo utawadia na nyie mkiwa na wakati mwingine kabisa
Wewe fala wa JF kaa kimya unadhania kila hoja ni kupost upuuzi?We unafikiri kila Mtu anaabudu Binadamu sio?
Naungana na wewe mkuuMafisadi wametamalaki kwa sasa. Katiba mpya ndio suluhu
Nyie mmezoea vya bure mashetani wakubwaWewe fala wa JF kaa kimya unadhania kila hoja ni kupost upuuzi?
Kaiba nini na kapeleka wapiSasa mbona jpm ndo alikuwa mwizi kuliko hao unawahisi
Nyie SUKUMA Gang Ni wajinga mnadandia hoja tuMafisadi wametamalaki kwa sasa. Katiba mpya ndio suluhu
Aliiba Tl 1.5 CAG aoitoa ripotiKaiba nini na kapeleka wapi
Kwani wengine waliiba Nini na walipeleka wapiKaiba nini na kapeleka wapi
Utajiju na mavyeti yako feki.We unafikiri kila Mtu anaabudu Binadamu sio?
unachekesha sana, who is JPM? Nyie wote awamu 5 na 6 mnashindana kuiba tu,wote weziMkuu vipi