hamumwa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2022
- 754
- 664
Pambio hizo alikuibia nnSasa mbona jpm ndo alikuwa mwizi kuliko hao unawahisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pambio hizo alikuibia nnSasa mbona jpm ndo alikuwa mwizi kuliko hao unawahisi
Sukuma GANG hatutawaacha nyie viroboto tutaendelea kuwapelekea moto tuNyie SUKUMA Gang Ni wajinga mnadandia hoja tu
Kapeleka wapi we kiroboto usiejielewaAliiba Tl 1.5 CAG aoitoa ripoti
Hukusikia Richmond pamoja escrow kuwa hela zilichotwa hadi kwenye sandarusKwani wengine waliiba Nini na walipeleka wapi
Ivi walisema hao mabwana zako ni wezi ni serikali au ni wananchi kupitia bunge kiroboto kuwa na akili hata kidogoUnawasingizia tu. Kama wengekuwa wezi wangekuw jela mpaka Sasa. Hata wale aliowasingizia jpm wote wametoka kwa kukosa ushahidi. Mfano rugemalila na seth.
Shida yenu mliaminishwa uongo kuwa kila tajiri ni mwizi na kumchukia tajiri eti huo ndo uzalendo.
Ukweli majangili yote yamerudi kaziniWaache tu 2024 majibu watayaona.
2025 mbali mno
Jpm alimfukuza CAG baada niambiwa katiba 1.5 trilKumponda JPM ndio njia pekee ya majizi yote sasa kuitumia ili kuhalalisha wizi na ufisadi!
Bahati mbaya kabisa, yanalazimisha nchi na wananchi iwasikilize na kuwaunga mkono kwenye biti zao za uwongo za kuhalalisha uwizi na ufisadi, mamaah! Waliowengi wako upande wa wasiompenda JPM R.I.P
Enyi mafisadi mliopiga b61 kulipana posho, mnadhani kwamba muda huu mfupi tumemsahau kabisa JPM Kwa alivyonyofoa nyofoa cheni yenu ya majambazi ya nchi hii na kuwatupa nje?
Mliutumia vema msamiati wa nchi yetu ni masikini mkafauru, mkawa mnagawana tu kila kilichokuwa kikipatikana wengine MNA Mali nyingi nje kuliko mlizonazo nchini utazani ni wazaliwa wa huko na msjue hammunufaishi mtanzania yoyote isipokuwa ni huko, Mali za watanzania mnahamisha tuu, mnawaachia nini vitukuu vyenu!
JPM akakaanusha Kwa nguvu zote kuwa Tanzania, sio masikini isipokuwa wananchi wake ndio masikini, na alivalia njuga hilo ili kutumia vema rasilimali zetu ili kuondoa umasikini wa mwananchi mmojammoja na ingawa hakufikia, lakini mwelekeo wake tuliuona Kwa macho yetu
Miradi mikubwa yenye lengo ya kupunguza ukali wa maisha akaianzisha, na kila mtu akaduwaa, na hata nyinyi mafisadi mliduwaa kwamba inawezekanaje miradi mingi mikubwa kujengwa tena Kwa mkupuo?
Sasa mmeanza tena kutuhadaa eti hatuwezi kujitegemea, na kila kazi iliyofanywa na serikali awamu ya tano ni batiri na hasara
Mnatuonaje? Mnatuonaje? Kwamba ni nyiny tuu mlio na akili wengine ni zero??
Nuwashauri, mnaweza kuiba tuu bila kuzodoa kazi nzuri za JPM, kwani, shule mlizopita, ndio hizohizo tulizopita, tofauti ni kwamba, nyie mpo hapo juu kuukubali ukweli kwamba, kila jambo linawakati wake, na wakati wa wengine kuwepo hapo utawadia na nyie mkiwa na wakati mwingine kabisa
Hii nchi inabahati ya kuwa na viongozi wa hovyo snHukusikia Richmond pamoja escrow kuwa hela zilichotwa hadi kwenye sandarus
Sahivi watu wanaiba waziwazi bila kificho2025 yatafanyika maajabu mapya kabisa kuwahi kutokea katika Nchi hii.
Hatuwezi kuendelea kulea majizi, hiyo haiwezekani.
Naamini bila shaka kwamba, Mungu alikuwa na maksudi yake kutuletea JPM ili atufungue macho na kutuonesha njia.
Ni Mungu huyo huyo atakayeuteketeza mfumo wa kifisadi katika Nchi hii.
RIP, BABA YETU MPENDWA, JPM.
Halafu pesa mpaka Sasa wamezipeleka wapi. Jpm alikuwaanajichotea tu. Kama hujua za hawa wa escrow zilipo ndovyo hivyohivyo hujua za jpm zilipoHukusikia Richmond pamoja escrow kuwa hela zilichotwa hadi kwenye sandarus
Kumponda JPM ndio njia pekee ya majizi yote sasa kuitumia ili kuhalalisha wizi na ufisadi!
Bahati mbaya kabisa, yanalazimisha nchi na wananchi iwasikilize na kuwaunga mkono kwenye biti zao za uwongo za kuhalalisha uwizi na ufisadi, mamaah! Waliowengi wako upande wa wasiompenda JPM R.I.P
Enyi mafisadi mliopiga b61 kulipana posho, mnadhani kwamba muda huu mfupi tumemsahau kabisa JPM Kwa alivyonyofoa nyofoa cheni yenu ya majambazi ya nchi hii na kuwatupa nje?
Mliutumia vema msamiati wa nchi yetu ni masikini mkafauru, mkawa mnagawana tu kila kilichokuwa kikipatikana wengine MNA Mali nyingi nje kuliko mlizonazo nchini utazani ni wazaliwa wa huko na msjue hammunufaishi mtanzania yoyote isipokuwa ni huko, Mali za watanzania mnahamisha tuu, mnawaachia nini vitukuu vyenu!
JPM akakaanusha Kwa nguvu zote kuwa Tanzania, sio masikini isipokuwa wananchi wake ndio masikini, na alivalia njuga hilo ili kutumia vema rasilimali zetu ili kuondoa umasikini wa mwananchi mmojammoja na ingawa hakufikia, lakini mwelekeo wake tuliuona Kwa macho yetu
Miradi mikubwa yenye lengo ya kupunguza ukali wa maisha akaianzisha, na kila mtu akaduwaa, na hata nyinyi mafisadi mliduwaa kwamba inawezekanaje miradi mingi mikubwa kujengwa tena Kwa mkupuo?
Sasa mmeanza tena kutuhadaa eti hatuwezi kujitegemea, na kila kazi iliyofanywa na serikali awamu ya tano ni batiri na hasara
Mnatuonaje? Mnatuonaje? Kwamba ni nyiny tuu mlio na akili wengine ni zero??
Nuwashauri, mnaweza kuiba tuu bila kuzodoa kazi nzuri za JPM, kwani, shule mlizopita, ndio hizohizo tulizopita, tofauti ni kwamba, nyie mpo hapo juu kuukubali ukweli kwamba, kila jambo linawakati wake, na wakati wa wengine kuwepo hapo utawadia na nyie mkiwa na wakati mwingine kabisa
Kama mpaka 2015 bado macho yko yalikuwa yamefunga, basi mpaka sasa ww ni kipofu bali umeshiba propaganda za Magufuli.2025 yatafanyika maajabu mapya kabisa kuwahi kutokea katika Nchi hii.
Hatuwezi kuendelea kulea majizi, hiyo haiwezekani.
Naamini bila shaka kwamba, Mungu alikuwa na maksudi yake kutuletea JPM ili atufungue macho na kutuonesha njia.
Ni Mungu huyo huyo atakayeuteketeza mfumo wa kifisadi katika Nchi hii.
RIP, BABA YETU MPENDWA, JPM.