Kwani ni lazima kwa kila anayetaka kuiba amponde kwanza Hayati Magufuli!!? Si muibe tuu

Kwani ni lazima kwa kila anayetaka kuiba amponde kwanza Hayati Magufuli!!? Si muibe tuu

Unawasingizia tu. Kama wengekuwa wezi wangekuw jela mpaka Sasa. Hata wale aliowasingizia jpm wote wametoka kwa kukosa ushahidi. Mfano rugemalila na seth.

Shida yenu mliaminishwa uongo kuwa kila tajiri ni mwizi na kumchukia tajiri eti huo ndo uzalendo.
Ivi walisema hao mabwana zako ni wezi ni serikali au ni wananchi kupitia bunge kiroboto kuwa na akili hata kidogo
 
Kumponda JPM ndio njia pekee ya majizi yote sasa kuitumia ili kuhalalisha wizi na ufisadi!

Bahati mbaya kabisa, yanalazimisha nchi na wananchi iwasikilize na kuwaunga mkono kwenye biti zao za uwongo za kuhalalisha uwizi na ufisadi, mamaah! Waliowengi wako upande wa wasiompenda JPM R.I.P

Enyi mafisadi mliopiga b61 kulipana posho, mnadhani kwamba muda huu mfupi tumemsahau kabisa JPM Kwa alivyonyofoa nyofoa cheni yenu ya majambazi ya nchi hii na kuwatupa nje?

Mliutumia vema msamiati wa nchi yetu ni masikini mkafauru, mkawa mnagawana tu kila kilichokuwa kikipatikana wengine MNA Mali nyingi nje kuliko mlizonazo nchini utazani ni wazaliwa wa huko na msjue hammunufaishi mtanzania yoyote isipokuwa ni huko, Mali za watanzania mnahamisha tuu, mnawaachia nini vitukuu vyenu!

JPM akakaanusha Kwa nguvu zote kuwa Tanzania, sio masikini isipokuwa wananchi wake ndio masikini, na alivalia njuga hilo ili kutumia vema rasilimali zetu ili kuondoa umasikini wa mwananchi mmojammoja na ingawa hakufikia, lakini mwelekeo wake tuliuona Kwa macho yetu

Miradi mikubwa yenye lengo ya kupunguza ukali wa maisha akaianzisha, na kila mtu akaduwaa, na hata nyinyi mafisadi mliduwaa kwamba inawezekanaje miradi mingi mikubwa kujengwa tena Kwa mkupuo?

Sasa mmeanza tena kutuhadaa eti hatuwezi kujitegemea, na kila kazi iliyofanywa na serikali awamu ya tano ni batiri na hasara

Mnatuonaje? Mnatuonaje? Kwamba ni nyiny tuu mlio na akili wengine ni zero??

Nuwashauri, mnaweza kuiba tuu bila kuzodoa kazi nzuri za JPM, kwani, shule mlizopita, ndio hizohizo tulizopita, tofauti ni kwamba, nyie mpo hapo juu kuukubali ukweli kwamba, kila jambo linawakati wake, na wakati wa wengine kuwepo hapo utawadia na nyie mkiwa na wakati mwingine kabisa
Jpm alimfukuza CAG baada niambiwa katiba 1.5 tril
 
2025 yatafanyika maajabu mapya kabisa kuwahi kutokea katika Nchi hii.
Hatuwezi kuendelea kulea majizi, hiyo haiwezekani.
Naamini bila shaka kwamba, Mungu alikuwa na maksudi yake kutuletea JPM ili atufungue macho na kutuonesha njia.
Ni Mungu huyo huyo atakayeuteketeza mfumo wa kifisadi katika Nchi hii.
RIP, BABA YETU MPENDWA, JPM.
Sahivi watu wanaiba waziwazi bila kificho
 
2015 mpaka 2020 ni kwamba jizi kuu lilifanikisha kuzibiti wezi wadogo wadogo....
 
Hukusikia Richmond pamoja escrow kuwa hela zilichotwa hadi kwenye sandarus
Halafu pesa mpaka Sasa wamezipeleka wapi. Jpm alikuwaanajichotea tu. Kama hujua za hawa wa escrow zilipo ndovyo hivyohivyo hujua za jpm zilipo
 
Kumponda JPM ndio njia pekee ya majizi yote sasa kuitumia ili kuhalalisha wizi na ufisadi!

Bahati mbaya kabisa, yanalazimisha nchi na wananchi iwasikilize na kuwaunga mkono kwenye biti zao za uwongo za kuhalalisha uwizi na ufisadi, mamaah! Waliowengi wako upande wa wasiompenda JPM R.I.P

Enyi mafisadi mliopiga b61 kulipana posho, mnadhani kwamba muda huu mfupi tumemsahau kabisa JPM Kwa alivyonyofoa nyofoa cheni yenu ya majambazi ya nchi hii na kuwatupa nje?

Mliutumia vema msamiati wa nchi yetu ni masikini mkafauru, mkawa mnagawana tu kila kilichokuwa kikipatikana wengine MNA Mali nyingi nje kuliko mlizonazo nchini utazani ni wazaliwa wa huko na msjue hammunufaishi mtanzania yoyote isipokuwa ni huko, Mali za watanzania mnahamisha tuu, mnawaachia nini vitukuu vyenu!

JPM akakaanusha Kwa nguvu zote kuwa Tanzania, sio masikini isipokuwa wananchi wake ndio masikini, na alivalia njuga hilo ili kutumia vema rasilimali zetu ili kuondoa umasikini wa mwananchi mmojammoja na ingawa hakufikia, lakini mwelekeo wake tuliuona Kwa macho yetu

Miradi mikubwa yenye lengo ya kupunguza ukali wa maisha akaianzisha, na kila mtu akaduwaa, na hata nyinyi mafisadi mliduwaa kwamba inawezekanaje miradi mingi mikubwa kujengwa tena Kwa mkupuo?

Sasa mmeanza tena kutuhadaa eti hatuwezi kujitegemea, na kila kazi iliyofanywa na serikali awamu ya tano ni batiri na hasara

Mnatuonaje? Mnatuonaje? Kwamba ni nyiny tuu mlio na akili wengine ni zero??

Nuwashauri, mnaweza kuiba tuu bila kuzodoa kazi nzuri za JPM, kwani, shule mlizopita, ndio hizohizo tulizopita, tofauti ni kwamba, nyie mpo hapo juu kuukubali ukweli kwamba, kila jambo linawakati wake, na wakati wa wengine kuwepo hapo utawadia na nyie mkiwa na wakati mwingine kabisa

Shetani lazima akemewe popote pale.
 
2025 yatafanyika maajabu mapya kabisa kuwahi kutokea katika Nchi hii.
Hatuwezi kuendelea kulea majizi, hiyo haiwezekani.
Naamini bila shaka kwamba, Mungu alikuwa na maksudi yake kutuletea JPM ili atufungue macho na kutuonesha njia.
Ni Mungu huyo huyo atakayeuteketeza mfumo wa kifisadi katika Nchi hii.
RIP, BABA YETU MPENDWA, JPM.
Kama mpaka 2015 bado macho yko yalikuwa yamefunga, basi mpaka sasa ww ni kipofu bali umeshiba propaganda za Magufuli.
 
Back
Top Bottom