Kwani ni lazima kwa kila anayetaka kuiba amponde kwanza Hayati Magufuli!!? Si muibe tuu

Kwani ni lazima kwa kila anayetaka kuiba amponde kwanza Hayati Magufuli!!? Si muibe tuu

OBS wa 2021 na OBS wa 2022 wakikutana hapatakalika!

Screenshot from 2022-04-30 14-49-50.png




Screenshot from 2022-04-30 14-56-17.png
 
Basi kaa kimya Kwa sababu hujui
Unawasingizia tu. Kama wengekuwa wezi wangekuw jela mpaka Sasa. Hata wale aliowasingizia jpm wote wametoka kwa kukosa ushahidi. Mfano rugemalila na seth.

Shida yenu mliaminishwa uongo kuwa kila tajiri ni mwizi na kumchukia tajiri eti huo ndo uzalendo.
 
Unawasingizia tu. Kama wengekuwa wezi wangekuw jela mpaka Sasa. Hata wale aliowasingizia jpm wote wametoka kwa kukosa ushahidi. Mfano rugemalila na seth.

Shida yenu mliaminishwa uongo kuwa kila tajiri ni mwizi na kumchukia tajiri eti huo ndo uzalendo.
Mkuu, ukiacha ushabiki, hutamtetea Seth wala luge

Nchi ya wapenda fedha kuliko haki utaniambia nini mkuu
 
Amini utakavyo amini ila uhuru wa habari ni zaidi ya silaha ya nuclear,ikitumika vizuri ni neema,ikumiwa vibaya ni hasara/maangamizi
Kwa kweli ilikuwa hasara/maangamizi. Vyombo vya habari vikawa ni kwa ajili ya mapambio tu.
 
Ukweli unauma, kuna madhara makubwa kama utawaziba watu midomo.
 
Mara mseme madaraja mabovu..

Kumbe nia yenu ni kuiba, hamuwezi kuiba tuu bila kutumia njia ya kumponda huyu mwamba JPM?
 
Kumponda JPM ndio njia pekee ya majizi yote sasa kuitumia ili kuhalalisha wizi na ufisadi!

Bahati mbaya kabisa, yanalazimisha nchi na wananchi iwasikilize na kuwaunga mkono kwenye biti zao za uwongo za kuhalalisha uwizi na ufisadi, mamaah! Waliowengi wako upande wa wasiompenda JPM R.I.P

Enyi mafisadi mliopiga b61 kulipana posho, mnadhani kwamba muda huu mfupi tumemsahau kabisa JPM Kwa alivyonyofoa nyofoa cheni yenu ya majambazi ya nchi hii na kuwatupa nje?

Mliutumia vema msamiati wa nchi yetu ni masikini mkafauru, mkawa mnagawana tu kila kilichokuwa kikipatikana wengine MNA Mali nyingi nje kuliko mlizonazo nchini utazani ni wazaliwa wa huko na msjue hammunufaishi mtanzania yoyote isipokuwa ni huko, Mali za watanzania mnahamisha tuu, mnawaachia nini vitukuu vyenu!

JPM akakaanusha Kwa nguvu zote kuwa Tanzania, sio masikini isipokuwa wananchi wake ndio masikini, na alivalia njuga hilo ili kutumia vema rasilimali zetu ili kuondoa umasikini wa mwananchi mmojammoja na ingawa hakufikia, lakini mwelekeo wake tuliuona Kwa macho yetu

Miradi mikubwa yenye lengo ya kupunguza ukali wa maisha akaianzisha, na kila mtu akaduwaa, na hata nyinyi mafisadi mliduwaa kwamba inawezekanaje miradi mingi mikubwa kujengwa tena Kwa mkupuo?

Sasa mmeanza tena kutuhadaa eti hatuwezi kujitegemea, na kila kazi iliyofanywa na serikali awamu ya tano ni batiri na hasara

Mnatuonaje? Mnatuonaje? Kwamba ni nyiny tuu mlio na akili wengine ni zero??

Nuwashauri, mnaweza kuiba tuu bila kuzodoa kazi nzuri za JPM, kwani, shule mlizopita, ndio hizohizo tulizopita, tofauti ni kwamba, nyie mpo hapo juu kuukubali ukweli kwamba, kila jambo linawakati wake, na wakati wa wengine kuwepo hapo utawadia na nyie mkiwa na wakati mwingine kabisa
Afadhali hawa VIROBOTO wataelewa maana hii project inaendeshwa na bibi yao lakini itafeli maana sisi tuliojitolea kuzikwa pembeni ya kaburi la J.P.M hatutawaacha hawa vbwengo
 
Inasikitisha sana!

Na hapo watasema eti JPM alituhadaa hakukuwa na usalama enzi zake, panya road walikuwepo ila hakukuwa na uwazi, wandishi wa habari hawakuruhusiwa kuripot tarifa hizi!
Hahahaha viroboto watasema nn hapo hawana chochote
 
Mama anaupiga mwingi. Huyu ndio Chui Jike/ chief Hangaya.

Majizi yametamalaki mitaani chini ya uongozi shupavu na mahiri wa mama samia suluhu Hassan.

Wapi sukuma gang?

Anaupiga mwingi mpaka unatoboka.
Nimekuelewa mkuu chifu hangaya anaupiga mwingi hadi hamesahau mpira anaupeleka wapi hahaha
 
Back
Top Bottom