Ikulu kuna biashara gani mpaka mtu awekeze huko, na ni kwa minajili gani
,Mbona Nyerere hatumsemi?
Kuna tatitzo kwa mungu wenu chattle
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
,Mbona Nyerere hatumsemi?
Kuna tatitzo kwa mungu wenu chattle
Kwamba Nyerere hakusemwa na hasemwi? Umezaliwa lini?Mbona Nyerere hatumsemi?
Kuna tatitzo kwa mungu wenu chattle
Jpm kaiba sana SEMA wewe wewe hujui kitu kuhusu siasaUtajiju na mavyeti yako feki.
Na wewe nenda kaibe.Jpm kaiba sana SEMA wewe wewe hujui kitu kuhusu siasa
Aisee,unachekesha sana, who is JPM? Nyie wote awamu 5 na 6 mnashindana kuiba tu,wote wezi
Utuambie basi, aliiba sh ngapi na kapeleka wapi?Jpm kaiba sana SEMA wewe wewe hujui kitu kuhusu siasa
Basi kaa kimya Kwa sababu hujuiKwani wengine waliiba Nini na walipeleka wapi
Unawasingizia tu. Kama wengekuwa wezi wangekuw jela mpaka Sasa. Hata wale aliowasingizia jpm wote wametoka kwa kukosa ushahidi. Mfano rugemalila na seth.Basi kaa kimya Kwa sababu hujui
Mkuu, ukiacha ushabiki, hutamtetea Seth wala lugeUnawasingizia tu. Kama wengekuwa wezi wangekuw jela mpaka Sasa. Hata wale aliowasingizia jpm wote wametoka kwa kukosa ushahidi. Mfano rugemalila na seth.
Shida yenu mliaminishwa uongo kuwa kila tajiri ni mwizi na kumchukia tajiri eti huo ndo uzalendo.
Kwa kweli ilikuwa hasara/maangamizi. Vyombo vya habari vikawa ni kwa ajili ya mapambio tu.Amini utakavyo amini ila uhuru wa habari ni zaidi ya silaha ya nuclear,ikitumika vizuri ni neema,ikumiwa vibaya ni hasara/maangamizi
Nilimaanisha hasemwi kwa ufisadiKwamba Nyerere hakusemwa na hasemwi? Umezaliwa lini?
Afadhali hawa VIROBOTO wataelewa maana hii project inaendeshwa na bibi yao lakini itafeli maana sisi tuliojitolea kuzikwa pembeni ya kaburi la J.P.M hatutawaacha hawa vbwengoKumponda JPM ndio njia pekee ya majizi yote sasa kuitumia ili kuhalalisha wizi na ufisadi!
Bahati mbaya kabisa, yanalazimisha nchi na wananchi iwasikilize na kuwaunga mkono kwenye biti zao za uwongo za kuhalalisha uwizi na ufisadi, mamaah! Waliowengi wako upande wa wasiompenda JPM R.I.P
Enyi mafisadi mliopiga b61 kulipana posho, mnadhani kwamba muda huu mfupi tumemsahau kabisa JPM Kwa alivyonyofoa nyofoa cheni yenu ya majambazi ya nchi hii na kuwatupa nje?
Mliutumia vema msamiati wa nchi yetu ni masikini mkafauru, mkawa mnagawana tu kila kilichokuwa kikipatikana wengine MNA Mali nyingi nje kuliko mlizonazo nchini utazani ni wazaliwa wa huko na msjue hammunufaishi mtanzania yoyote isipokuwa ni huko, Mali za watanzania mnahamisha tuu, mnawaachia nini vitukuu vyenu!
JPM akakaanusha Kwa nguvu zote kuwa Tanzania, sio masikini isipokuwa wananchi wake ndio masikini, na alivalia njuga hilo ili kutumia vema rasilimali zetu ili kuondoa umasikini wa mwananchi mmojammoja na ingawa hakufikia, lakini mwelekeo wake tuliuona Kwa macho yetu
Miradi mikubwa yenye lengo ya kupunguza ukali wa maisha akaianzisha, na kila mtu akaduwaa, na hata nyinyi mafisadi mliduwaa kwamba inawezekanaje miradi mingi mikubwa kujengwa tena Kwa mkupuo?
Sasa mmeanza tena kutuhadaa eti hatuwezi kujitegemea, na kila kazi iliyofanywa na serikali awamu ya tano ni batiri na hasara
Mnatuonaje? Mnatuonaje? Kwamba ni nyiny tuu mlio na akili wengine ni zero??
Nuwashauri, mnaweza kuiba tuu bila kuzodoa kazi nzuri za JPM, kwani, shule mlizopita, ndio hizohizo tulizopita, tofauti ni kwamba, nyie mpo hapo juu kuukubali ukweli kwamba, kila jambo linawakati wake, na wakati wa wengine kuwepo hapo utawadia na nyie mkiwa na wakati mwingine kabisa
Kiroboto anaenyonya mikojo yupo kaziniMbona Nyerere hatumsemi?
Kuna tatitzo kwa mungu wenu wa chattle
Hahahaha viroboto watasema nn hapo hawana chochoteInasikitisha sana!
Na hapo watasema eti JPM alituhadaa hakukuwa na usalama enzi zake, panya road walikuwepo ila hakukuwa na uwazi, wandishi wa habari hawakuruhusiwa kuripot tarifa hizi!
Umejaa umbea kama bibi yako kirobotoYani nyie ni bahati mbaya kwenu kuwa mmefeli kabla ya kuanza na kinacho wafelisha ni kuamini uongo mwingi wa babu yenu.
Nimekuelewa mkuu chifu hangaya anaupiga mwingi hadi hamesahau mpira anaupeleka wapi hahahaMama anaupiga mwingi. Huyu ndio Chui Jike/ chief Hangaya.
Majizi yametamalaki mitaani chini ya uongozi shupavu na mahiri wa mama samia suluhu Hassan.
Wapi sukuma gang?
Anaupiga mwingi mpaka unatoboka.