Kwani ni lazima kwa kila anayetaka kuiba amponde kwanza Hayati Magufuli!!? Si muibe tuu

Yy JPM si ndio alikua mkuu wao/CAG report
 
Uwa na nashangaa watu wanavyomsifu huyu Jpm.? I think Kuna watu there are still in dug grave
 
Hadi panya rodi wame funguliwa nchi...[emoji1787]
Ila royo tua naona imenoga...[emoji23]
Latra wametangaza rasmi kupanda bei za nauli...[emoji29]
Ila siku zinaenda kasi sana R.i.P Pombe
Mama anaupiga mwingi. Huyu ndio Chui Jike/ chief Hangaya.

Majizi yametamalaki mitaani chini ya uongozi shupavu na mahiri wa mama samia suluhu Hassan.

Wapi sukuma gang?

Anaupiga mwingi mpaka unatoboka.
 
Sasa mbona jpm ndo alikuwa mwizi kuliko hao unawahisi
 
Mafisadi wametamalaki kwa sasa. Katiba mpya ndio suluhu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…