Ugumu wangu
JF-Expert Member
- May 6, 2021
- 1,685
- 3,552
- Thread starter
- #41
😂😂😂😂Jamani wapmzishwe tuAnaongea na Tredos sasa hivi live...Waganda bado wanalo🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂Jamani wapmzishwe tuAnaongea na Tredos sasa hivi live...Waganda bado wanalo🤣
Zamani vijna wa pale njiwani walikuwa vizuri sana sio Hawa akina saambaya😂😂Hahah rudi nyumbani kumenoga.
Yule mzee wa LindiKwani hapa Tanganyika Waziri mkubwa si alikanusha?..
👏👏👏👏Yule mzee wa Lindi
😂😂😂😂 Malaika wafanye wepesiDictator anapumulia mashine nchini Kenya,tuzidishe maombi jamani ili akaungane na ndugu yake mwendazake wa chatto
HahahahaHaya maigizo hata taiwan yalkuepo mwsho wa siku ikabid show iruke live
😂😂😂😂✍️✍️✍️Pole sanaWatanzania kwa umbea, wivu, majungu na ndugu yao mvivu tunaongoza Yan hatujui adui yetu n nani.
Sasa Mambo ya Uganda wewe mtanzania ambae huna hata lolote Uganda unaanza kufurahia Jambo Kama Hilo kweli?
Tujifunze kumjua adui yetu kwanza vinginevyo tutasindikiza wenzetu Sana ili kukamilisha Mambo yao.
Nasikia yupo hai aiseeTata amesha ng'ata shuka kwani..[emoji44][emoji848]
Kumbe bado unaukumbuka mkuu!!Mtama was Mbasha na eyo Mchomvu😅
Ngoja tuoneNasikia yupo hai aisee
Kiukweli maana wenyewe wameua sanaHawa wapuuzi watavunwa wote. Hakuna jiwe litabaki. Dunia inakwenda kuwa mahali salama
Dalali yupi mzeeasitarazeka kazini sijui dalali ana hali gani
Kabisaa mkuuDamu iliyomwagika wakt wa uchaguzi haiwez kwenda Bure aiseh!!!Kama hapa kwetu tu!Mungu ni wa wote mazee!!