Kwani pale Kampala Kuna Nini mbona nasikia 🤸🤸

Kwani pale Kampala Kuna Nini mbona nasikia 🤸🤸

Watanzania kwa umbea, wivu, majungu na ndugu yao mvivu tunaongoza Yan hatujui adui yetu n nani.

Sasa Mambo ya Uganda wewe mtanzania ambae huna hata lolote Uganda unaanza kufurahia Jambo Kama Hilo kweli?

Tujifunze kumjua adui yetu kwanza vinginevyo tutasindikiza wenzetu Sana ili kukamilisha Mambo yao.
Adui yetu TANZANIA alikuwa magufuli na sasa hayupo ndiyo maana tunafanya sherehe kilasiku
 
Watanzania kwa umbea, wivu, majungu na ndugu yao mvivu tunaongoza Yan hatujui adui yetu n nani.

Sasa Mambo ya Uganda wewe mtanzania ambae huna hata lolote Uganda unaanza kufurahia Jambo Kama Hilo kweli?

Tujifunze kumjua adui yetu kwanza vinginevyo tutasindikiza wenzetu Sana ili kukamilisha Mambo yao.
Elitwege amekuchapa like hongera mkuu.
 
Watanzania kwa umbea, wivu, majungu na ndugu yao mvivu tunaongoza Yan hatujui adui yetu n nani.

Sasa Mambo ya Uganda wewe mtanzania ambae huna hata lolote Uganda unaanza kufurahia Jambo Kama Hilo kweli?

Tujifunze kumjua adui yetu kwanza vinginevyo tutasindikiza wenzetu Sana ili kukamilisha Mambo yao.
Hawa sio watanzania bwana
IMG_20210627_204406.jpg
IMG_20210627_204412.jpg
 
Waafrika mungu anatushangaa shetani anatucheka
Hivi nadhani kama mwezi mmoja uliopita kiduku amekataza wananchi wake wasiwe na swaga za magharibi, kiujumla mtindo wa maisha wa ki west jamaa kakataza
Kwetu tunatumiwa kujipiga sisi wenyewe
 
Dah hilo tama kama kafumaniwa.


KWA VICHWA MAJI WA JAMIIFORUMS;

Mwandishi wa uzi anaongelea kampala ya Uganda, Museven ana hali mbaya na amekimbizwa Nairobi kenya kwa matubabu ya Covid 19.

Mwaka wa madikteta.
Daa umenifungua.Alafu kwani Nairobi kuna hospitali classic kuliko za nchini kwetu maana hata huku kiongozi akizidiwa ni chap chap Nairobiii
 
Waafrika mungu anatushangaa shetani anatucheka
Hivi nadhani kama mwezi mmoja uliopita kiduku amekataza wananchi wake wasiwe na swaga za magharibi, kiujumla mtindo wa maisha wa ki west jamaa kakataza
Kwetu tunatumiwa kujipiga sisi wenyewe
Hahahah
 
Watanzania kwa umbea, wivu, majungu na ndugu yao mvivu tunaongoza Yan hatujui adui yetu n nani.

Sasa Mambo ya Uganda wewe mtanzania ambae huna hata lolote Uganda unaanza kufurahia Jambo Kama Hilo kweli?

Tujifunze kumjua adui yetu kwanza vinginevyo tutasindikiza wenzetu Sana ili kukamilisha Mambo yao.
Maadui zetu washatushinda mkuu,tunafanya Kama kubeti .panapotiki tumo[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom