Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Adui yetu TANZANIA alikuwa magufuli na sasa hayupo ndiyo maana tunafanya sherehe kilasikuWatanzania kwa umbea, wivu, majungu na ndugu yao mvivu tunaongoza Yan hatujui adui yetu n nani.
Sasa Mambo ya Uganda wewe mtanzania ambae huna hata lolote Uganda unaanza kufurahia Jambo Kama Hilo kweli?
Tujifunze kumjua adui yetu kwanza vinginevyo tutasindikiza wenzetu Sana ili kukamilisha Mambo yao.
Unafurahia kabisa kifo cha mtu!😂😂😂😂✍️✍️✍️Pole sana
Maisha yako sasa hivi Safi kabisa.Adui yetu TANZANIA alikuwa magufuli na sasa hayupo ndiyo maana tunafanya sherehe kilasiku
HahahahAdui yetu TANZANIA alikuwa magufuli na sasa hayupo ndiyo maana tunafanya sherehe kilasiku
Sijafurahia Ila moyo unapumuaUnafurahia kabisa kifo cha mtu!
Na amfuate tuAnamfuata Mwendazake???
Elitwege amekuchapa like hongera mkuu.Watanzania kwa umbea, wivu, majungu na ndugu yao mvivu tunaongoza Yan hatujui adui yetu n nani.
Sasa Mambo ya Uganda wewe mtanzania ambae huna hata lolote Uganda unaanza kufurahia Jambo Kama Hilo kweli?
Tujifunze kumjua adui yetu kwanza vinginevyo tutasindikiza wenzetu Sana ili kukamilisha Mambo yao.
Hawa sio watanzania bwanaWatanzania kwa umbea, wivu, majungu na ndugu yao mvivu tunaongoza Yan hatujui adui yetu n nani.
Sasa Mambo ya Uganda wewe mtanzania ambae huna hata lolote Uganda unaanza kufurahia Jambo Kama Hilo kweli?
Tujifunze kumjua adui yetu kwanza vinginevyo tutasindikiza wenzetu Sana ili kukamilisha Mambo yao.
👏👏👏👏Hawa sio watanzania bwanaView attachment 1832513View attachment 1832516
Hatari sanaElitwege amekuchapa like hongera mkuu.
Daa umenifungua.Alafu kwani Nairobi kuna hospitali classic kuliko za nchini kwetu maana hata huku kiongozi akizidiwa ni chap chap NairobiiiDah hilo tama kama kafumaniwa.
KWA VICHWA MAJI WA JAMIIFORUMS;
Mwandishi wa uzi anaongelea kampala ya Uganda, Museven ana hali mbaya na amekimbizwa Nairobi kenya kwa matubabu ya Covid 19.
Mwaka wa madikteta.
Hata magu pia tulimchanja na kumlinda
Ni nchi nyingine mzee pako bombaDaa umenifungua.Alafu kwani Nairobi kuna hospitali classic kuliko za nchini kwetu maana hata huku kiongozi akizidiwa ni chap chap Nairobiii
HahahahWaafrika mungu anatushangaa shetani anatucheka
Hivi nadhani kama mwezi mmoja uliopita kiduku amekataza wananchi wake wasiwe na swaga za magharibi, kiujumla mtindo wa maisha wa ki west jamaa kakataza
Kwetu tunatumiwa kujipiga sisi wenyewe
Apa ndiyo utajua chanjo wakubwa huwa wanatuekitia tu
Maadui zetu washatushinda mkuu,tunafanya Kama kubeti .panapotiki tumo[emoji23][emoji23]Watanzania kwa umbea, wivu, majungu na ndugu yao mvivu tunaongoza Yan hatujui adui yetu n nani.
Sasa Mambo ya Uganda wewe mtanzania ambae huna hata lolote Uganda unaanza kufurahia Jambo Kama Hilo kweli?
Tujifunze kumjua adui yetu kwanza vinginevyo tutasindikiza wenzetu Sana ili kukamilisha Mambo yao.