Quaresma Fai
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 590
- 630
Ndipo ibilisi atakapoachiwa atawale miaka 1000Hawa wapuuzi watavunwa wote. Hakuna jiwe litabaki. Dunia inakwenda kuwa mahali salama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndipo ibilisi atakapoachiwa atawale miaka 1000Hawa wapuuzi watavunwa wote. Hakuna jiwe litabaki. Dunia inakwenda kuwa mahali salama
Mu7 parapanda limelia
Fununu ni mwanae ndio kapatwa n koona
Keshakula vya kutoshaIsiwe tu kweli
Mara tuambiwe yupo mzima Mara tayari kala mtama loohMu7 parapanda limelia
Bora atulieKeshakula vya kutosha
Tuupe muda wakati.. Itajulikana tuuMara tuambiwe yupo mzima Mara tayari kala mtama looh
Umeumia Nini mkuu? Pole sanaHuu ni aina ya upumbavu sitaki hata niwe nao, unachekelea kifo cha binadamu mwenzako, at the end of the day wewe utaishia wapi?
Wallah ndio maana tutabakia na umasikini wetu, coz umasikini wa taifa unaanzia na fikra za kipumbavu za watanzania.
Kabisa mkuuTuupe muda wakati.. Itajulikana tuu
Hahahhaaha
Usifurahie kifo/anguko la mwenzako, ni ugonjwa mbaya sana, utakuwa huna tofauti na huyo unayemuita dikteta.Umeumia Nini mkuu? Pole sana
Ahsante Ila....... Ungejua kuwa waoo wanavyofurahia wakiwa wameuwa binadamu wenzao hata ungetulia mkuuUsifurahie kifo/anguko la mwenzako, ni ugonjwa mbaya sana, utakuwa huna tofauti na huyo unayemuita dikteta.
Huenda mkuuHuu ni wakati wao au kuna mawindo ya kimyakimya? R I P Mwendazake
Huyo katelephoneKuna kiongozi alijitokeza hadharani akasema "yupo anachapa kazi", aliporudi ndani akawauliza wenzake, "hivi kwani yuko wapi", na wao wakasema "tulijua mwenzetu unajua alipo"
😂😂😂Huyo katelephone
sana mkuuKumbe bado unaukumbuka mkuu!!