Kwani pale Kampala Kuna Nini mbona nasikia 🤸🤸

Kwani pale Kampala Kuna Nini mbona nasikia 🤸🤸

Huu ni aina ya upumbavu sitaki hata niwe nao, unachekelea kifo cha binadamu mwenzako, at the end of the day wewe utaishia wapi?

Wallah ndio maana tutabakia na umasikini wetu, coz umasikini wa taifa unaanzia na fikra za kipumbavu za watanzania.
 
Huu ni aina ya upumbavu sitaki hata niwe nao, unachekelea kifo cha binadamu mwenzako, at the end of the day wewe utaishia wapi?

Wallah ndio maana tutabakia na umasikini wetu, coz umasikini wa taifa unaanzia na fikra za kipumbavu za watanzania.
Umeumia Nini mkuu? Pole sana
 
[emoji41]
JamiiForums-2048106180.jpg
 
Huu ni wakati wao au kuna mawindo ya kimyakimya? R I P Mwendazake
 
Usifurahie kifo/anguko la mwenzako, ni ugonjwa mbaya sana, utakuwa huna tofauti na huyo unayemuita dikteta.
Ahsante Ila....... Ungejua kuwa waoo wanavyofurahia wakiwa wameuwa binadamu wenzao hata ungetulia mkuu
 
Kuna kiongozi alijitokeza hadharani akasema "yupo anachapa kazi", aliporudi ndani akawauliza wenzake, "hivi kwani yuko wapi", na wao wakasema "tulijua mwenzetu unajua alipo"
Huyo katelephone
 
Back
Top Bottom