Kwani pale Kampala Kuna Nini mbona nasikia 🤸🤸

Kwani pale Kampala Kuna Nini mbona nasikia 🤸🤸

IMG_20210627_192143.jpg
 
Sema kimeumana!ukisifia mvua lazima itakunyea!huwezi ukaiabudu corona ikakuacha salama waganda wanateseka sana sababu ya mlevi mmoja!
 
Sawa, sasa twende pamoja.
La Le Li Lo Lu
Ra Re Ri Ro Ru
Lala, lalamiko, lawama, Injili, laana.
Redio, ramani, rushwa, rais, Ramadhan.
Umeweza kutofautisha kati ya L na R.?
 
Atamalizia mwanae maana ndio mtarajiwa wahuko
Mwanae ndio wa kwanza kupelekwa Nairobi kabla dingi hajapelekwa na Ile helikopta yake Kama ya Trump.
Wakati wakenya wanajenga siptali yeye alikua ananunua magari ya kuumiza upinzani.
Sasa pamefikia patamu magari hayawezi kumpa okisijen.
Alikua na mijigari ya kumlinda kwenye misafara yake. Imlinde Sasa.
Pathetic
 
Mwanae ndio wa kwanza kupelekwa Nairobi kabla dingi hajapelekwa na Ile helikopta yake Kama ya Trump.
Wakati wakenya wanajenga siptali yeye alikua ananunua magari ya kuumiza upinzani.
Sasa pamefikia patamu magari hayawezi kumpa okisijen.
Alikua na mijigari ya kumlinda kwenye misafara yake. Imlinde Sasa.
Pathetic
Kumekucha, ndio kawaida ya viongozi wetu
 
Back
Top Bottom