Kwani wanawake mnataka nini?

Mkuu kila kitu natimiza hata kitandani nambutua fresh piga Sana show ila anacho lalamika yeye ni kuwa niko busy sana sina muda na yeye sasa mambo nimengi mkuu huyohuyo namtafutia mahtaji wanataka hela hawa mkuu sjui umenielewa lakini
Tatizo linaanzia hapa. Wanaume tumeshajiaminisha kuwa mapenzi ni pesa, ili aendelee kuwa nawe inabidi utumie nguvu nyingi hasa ya kipesa. Mambo yanapokuwa tofauti na matarajio yako ya kumpa pesa ukiamini ndio mapenzi ndipo tabu zinaanza.

Mapenzi yamekuwa upuuzi tu, drama nyingi sana siku hizi NGONO imekuwa rahisi sana kupata kuliko MAPENZI. Ishi ukitambua wanawake sio wa kupendwa wala kupoteza muda wako kwao, kuwa nao kwa lengo moja tu SEX na sio vinginevyo, kila utakachomfanyia ama kumpa, fanya na mpe kwa lengo la kukidhi hitaji lako la kimwili. Hii ndio akili tulioambiwa tuishi nao.
 
We ni mpumbavu braza
 
 
Mkuu ivi unafahamau ni mangpa yanahtaji muda wangu okay. So ninge mpa huo muda quality na nisimpe hela nako ungesemaje maana huo muda wa kuitengeneza hiyo hela niwe Sina nmpe yeye sasa kama unavosema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…