Kwani wanawake mnataka nini?

Habari wakuu
Natumai wote mko wazima.

Naandika huu uzi nikiwa nishachefuka nnachotaka nijue leo kunabaadhi ya wanawake huwa mtaka nini kwenye maisha yenu misielewi.
Hahahahaha ilo jina la lijitu hahahaha[emoji16]
 
binafsi naona umuache tu... maana ushaanza muita "jitu".. inaonyesha umemchoka na mapenzi yamekwisha.
Mkuu kanichosha kiukweli kwa situation ninayo pitia kwakweli mwache aendee tu
 
Kuna watu wanawatafuta ata wakuwapea buku tu,hawapati
Ndoivo mkuu mtu kwanini asitulie tu na kuwa muelewa maisha yaende lakini ni malawama kila siku
 
Wanawake wanataka vitu ambavyo wanavikosa kwenye mahusiano full stop
Sawa sasa yeye nikitu gani anachokosa muulize kama kila kitu nampatia
 
Daah Pole mkuu ila hawa viumbe misiwaelewagi sasa wanataka nini mtu kila kitu unampa
 
Ushauri mzuri, imeshafikia pabaya na imegeuka chuki sasa, hata akibadilika itakuwa ngumu kumwamini tena
Sawa mkuu nishaamua aende tu bas kila mtu abaki na maisha yake
 
Mkuu anajua kila siku namweleza kuwa sipend lawama zake na kumueleza kuwa anajua kuwa nina mambomengi yanayo nifanya kuwa busy lakini hainamaana kuwa simpend lakini haelew sasa mi nifanyeje kila siku lawama mwache aendee tu mkuu kichwa yangu itulie bas
 
Ushamweleza hsya uliyotueleza?
Mkuu anajua kilakitu sio mala ya kwanza hii ni mala kadha wa kadha huwa najaribu kumuweka chini na kumueleza anielew lakini baada ya siku kupita mambo yaleyale malawama nimechoka mkuu kichwa inamambo mengi nisije kufa kwa presha
 
Mpenzi wako anahitaji quality time nawe. Inaonesha unamridhisha kwa vingine vyote lakini sio mda wako.
Kwahiyo tunakubaliana mwanamke hawezi kuridhika sio ?! Kila siku mnabweka "tafuta hela" haya jamaa kamua na kaweza kutafuta hela, mmeamua kudai muda.

Hivi MNAAKILI KWELI ?! KWAHYO AACHE KUTAFUTA FEDHA AMPE MUDA ILI AFILISIKE AFU MWANAMKE AANZE TENA KULALAMIKA HAPEWI HELA ?! Hivi nyie mna akili kweli au mnatumia hayo makalio kuwaza badala ya kichwa.
 
Muoe kabisa, awe anakuona usiku kucha atariudhika, n kweli wanawake wanataka mda n fedha pia
Unatakiwa upate mwanamke muelewa la sivyo lawama ztazdi n mtaishia pabaya
Stupid takers. Wanawake wanawazaga kuchukua na kuchukua na kuchukua ukiampa hichi atataka kile akikipata atataka kile.

Huyu mwanamke kapewa kila kitu, sasa hataki tena pesa maana ipo sasa anataka "muda" na hataakipewa muda atataka "privency" nk nk mahitaji ya mwanamke ni endless.

Alafu anataka muda hiyo hela itapatikana vipi ?! Stupid proffesional complainers, takers.
 
Brainless creatures (japo sio wote) wanawake hamana akili mkuu kuna uzi nitauleta hapa usipoteze muda na hawa viumbe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…