knows
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,453
- 2,234
Habari wakuu
Natumai wote mko wazima.
Naandika huu uzi nikiwa nishachefuka nnachotaka nijue leo kunabaadhi ya wanawake huwa mtaka nini kwenye maisha yenu misielewi.
Niko kwenye mahusiano na mwanamke mmoja lakini mbaka naandika huu uzi kashanchefua roho naa kwendree anako kwendraaa nishamvumilia Sana sasa nazani niwakati muafaka endee tu.
Kiukweli huyu mwanamke hatasielew anamatatizo gani kila kitu anacho hitaji nampatia tena kwa wakati iwe Hela iwe nini matakataka yote anayohtaji Nampa.
Lakini kila siku lawama lawama lawama nimechoka Sawa mtu anahtaji muda wangu lakini nitampa muda ambao nipo free kuutumia kwake mbona weekend nakuwa nae na nishamweleza na anajua ni jinsi gani niko busy.
Nitoke ofisi jion nakuwa Sina muda wa kupumzika bado niende kuendesha mambo mengine na kuyasimamia ili yaweze niingizia hela zaidi lakini jitu linakaa kulalamika mala ooh. Uko busy Sana uko busy Sana mala ooh huna muda na mimi kila siku makelele na jitu linajua ni mambo kiasi gani yananikabili.
Sasa jitu linataka nifanye nini niache kazi sasa na kufanya mambo mengine yanayo niingizia pesa niache sindio alafu tukae tu wote tuwe tunaangaliana kama makobe ndo anachotaka. Halafu huyo huyo utaskia anataka hela ya shopping. Hela ya outing mala hela ya kufanyia madudu gani nampa.
Sasa kaona kama namchosha na u busy wangu sasa akwende tu pumbavu nishachoka na mimi kukaa na lijitu lizima lakini unashindwa kuwa na akili na kuelewa basi ningekuwa na kucheat labda Hakuna sasa mtu unataka nini
Unataka muda wangu wote alafu hapohapo unataka hela sasa izo hela zinakuja zenyew au ivi watu wakoje. Sasa akwendee wanawake wapo wengi Sana kwa hii dunia kwani yeye ndo wakwanza kuwa nae asinchoshe akili mimi.
Natumai wote mko wazima.
Naandika huu uzi nikiwa nishachefuka nnachotaka nijue leo kunabaadhi ya wanawake huwa mtaka nini kwenye maisha yenu misielewi.
Niko kwenye mahusiano na mwanamke mmoja lakini mbaka naandika huu uzi kashanchefua roho naa kwendree anako kwendraaa nishamvumilia Sana sasa nazani niwakati muafaka endee tu.
Kiukweli huyu mwanamke hatasielew anamatatizo gani kila kitu anacho hitaji nampatia tena kwa wakati iwe Hela iwe nini matakataka yote anayohtaji Nampa.
Lakini kila siku lawama lawama lawama nimechoka Sawa mtu anahtaji muda wangu lakini nitampa muda ambao nipo free kuutumia kwake mbona weekend nakuwa nae na nishamweleza na anajua ni jinsi gani niko busy.
Nitoke ofisi jion nakuwa Sina muda wa kupumzika bado niende kuendesha mambo mengine na kuyasimamia ili yaweze niingizia hela zaidi lakini jitu linakaa kulalamika mala ooh. Uko busy Sana uko busy Sana mala ooh huna muda na mimi kila siku makelele na jitu linajua ni mambo kiasi gani yananikabili.
Sasa jitu linataka nifanye nini niache kazi sasa na kufanya mambo mengine yanayo niingizia pesa niache sindio alafu tukae tu wote tuwe tunaangaliana kama makobe ndo anachotaka. Halafu huyo huyo utaskia anataka hela ya shopping. Hela ya outing mala hela ya kufanyia madudu gani nampa.
Sasa kaona kama namchosha na u busy wangu sasa akwende tu pumbavu nishachoka na mimi kukaa na lijitu lizima lakini unashindwa kuwa na akili na kuelewa basi ningekuwa na kucheat labda Hakuna sasa mtu unataka nini
Unataka muda wangu wote alafu hapohapo unataka hela sasa izo hela zinakuja zenyew au ivi watu wakoje. Sasa akwendee wanawake wapo wengi Sana kwa hii dunia kwani yeye ndo wakwanza kuwa nae asinchoshe akili mimi.