Kwani wengine mnawezaje kulewa bila kupigana?

Naomba kuuliza hivi nyie wengine mnawezaje kunywa kulewa halafu hampigani ngumi? Mbona mimi siwezi!!
Tangu nigunduwe kuwa watu wanatembea na visu na beto siwezi pigana hata kwa dawa.Pesa yangu halafu initese tena huo ujinga sifanyi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…