Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Sasa mzee mwenzangu hutaki aniite au.Hahahaha ππππ ujue nimecheka,,sasa manyanza wanini hapa
Kibingwa tunasonga! Vp upo ArNipo mshua vp kwako hrkt nii adjee arifu
Hapana kk...... Nipo kwenye kupigania eichers sasa πππ niwahi nyukiKibingwa tunasonga! Vp upo Ar
Si ex wakoHahahaha ππππ ujue nimecheka,,sasa manyanza wanini hapa
Nani kakwambia bado nipo kwake aiseeSi ex wako
Kijana usinywe Pombe una msongo mkali wa mawazo au hasira.Naomba kuuliza hivi nyie wengine mnawezaje kunywa kulewa halafu hampigani ngumi? Mbona mimi siwezi!!
Pombe ina amplify tabia yako, so kama una ukorofi unakuwa amplified, malaya unakuwa amplifiedNaomba kuuliza hivi nyie wengine mnawezaje kunywa kulewa halafu hampigani ngumi? Mbona mimi siwezi!!
Kudadekiiiii π³πSi ex wako
uuuwweeeh πNani kakwambia bado nipo kwake aisee
Nina kikao na nyie aseeeSasa mzee mwenzangu hutaki aniite au.
Mpaji Mungu
ππmi nadaka tu papa fololo dakika chache nipo homeHapana kk...... Nipo kwenye kupigania eichers sasa πππ niwahi nyuki
Kaniachia gurudumu nilisongesheKudadekiiiii π³π
Bas atuwekee ratibaNani kakwambia bado nipo kwake aisee
Karibuuuuu yule anao watatu eti mie nikue bi mdogo wa mwishoKaniachia gurudumu nilisongeshe
Tangu nigunduwe kuwa watu wanatembea na visu na beto siwezi pigana hata kwa dawa.Pesa yangu halafu initese tena huo ujinga sifanyi.Naomba kuuliza hivi nyie wengine mnawezaje kunywa kulewa halafu hampigani ngumi? Mbona mimi siwezi!!
πππ Ndo zipi machinga amaππmi nadaka tu papa fololo dakika chache nipo home