Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Uwanja ni wakoKaribuuuuu yule anao watatu eti mie nikue bi mdogo wa mwisho
Za mwengeπππ Ndo zipi machinga ama
Ngoja nije pmππΎββοΈππΎββοΈπUwanja ni wako
Aaah daaah zile nazikubal afu ukute ambayo iko smart unafurahia japo ni short distanceZa mwenge
Kama ulevi wako unakutuma Kupigana, si mtafute Mandonga?Naomba kuuliza hivi nyie wengine mnawezaje kunywa kulewa halafu hampigani ngumi? Mbona mimi siwezi!!
π€£π€£π€£ sasa uzi ufungwe jibu limejitoshelezaTuna tofautiana kwenye tofauti zetu
Unaonesha wewe ni mlevi wa mataputapu.nakutaka wewe ..
Cha kwanza mimi na jamaa zangu tukiwa tunalewa kama unapenda ugomvi kaa tu kwa kutulia maana sisi wenyewe tunapenda ugomvi huwa tupo tunangoja tu sababu ipatikane.Siku ukipigwa utasema vizuri maana kuna walevi hua wanavizia wale walevi wanaopenda kupigana wakilewa ili wawapige vizuri
MKUU UNAPIGANA AU UNAPIGWA?Naomba kuuliza hivi nyie wengine mnawezaje kunywa kulewa halafu hampigani ngumi? Mbona mimi siwezi!!
Sasa hapo ukute wanakimbizanaAaah daaah zile nazikubal afu ukute ambayo iko smart unafurahia japo ni short distance
Mbona umechekaNgoja nije pmππΎββοΈππΎββοΈπ
Ukiona uko bar na kuanza kuona yule muhudumu uliesema hana tako huwezi,afu baadae ukaanza kumuita ita=ukienda bar mpΓ²oole ila ghafla baada ya mbili tatu unaanza kua mkali mara uanze kuona kama vile unaweza kununua bar nzima pekeakoNaomba kuuliza hivi nyie wengine mnawezaje kunywa kulewa halafu hampigani ngumi? Mbona mimi siwezi!!
SAWA, ANGALIA USIDONDOKE BARABARANI UKAVULIA UBNGWA TUnadunda
Oyaah inakuwa nii π₯π₯ π hzo route enzi nikiwa sinza πSasa hapo ukute wanakimbizana