Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ena lugalo paleKama huamini inawezekana kalewe jeshini
Atauponza.Kama huamini inawezekana kalewe jeshini
Ushatolewa meno ya barazani sasa una bonge la nundu kwenye paji la uso hapo unaandika kidole kimoja kimepinda kimekaa upande kwa ugomvi wa kugombea kiti cha bar baada ya kuondoka kwenda kukojoa kurudi unakuta mtu amekalia kiti chako bila kuuliza ukaanza kwa kumtwanga mabanzi bila kujua mwenzio ana black belt km 3 akakukalisha mpaka machozi ya aibu yakakutoka mixa kugalagazwa kwenye mtaro wa majitakanaomba kuuliza hivi nyie wengine mnawezaje kunywa kulewa halafu hampigani ngumi..? mbona mimi siwezi!!
sijawahi pigwa!Ushatolewa meno ya barazani sasa una bonge la nundu kwenye paji la uso hapo unaandika kidole kimoja kimepinda kimekaa upande kwa ugomvi wa kugombea kiti cha bar baada ya kuondoka kwenda kukojoa kurudi unakuta mtu amekalia kiti chako bila kuuliza ukaanza kwa kumtwanga mabanzi bila kujua mwenzio ana black belt km 3 akakukalisha mpaka machozi ya aibu yakakutoka mixa kugalagazwa kwenye mtaro wa majitaka
Siku ukipigwa utasema vizuri maana kuna walevi hua wanavizia wale walevi wanaopenda kupigana wakilewa ili wawapige vizurisijawahi pigwa!
Utapigwa upigike Jamaa hua wanakwangua vifungo vya shati au wanakuchania t-shirt kwa kukushikashika hawakupi nafasi ya kurusha ngumi ni mwendo wa kukukumbatia tupole kwa kupigwa inaonekana umepitia mengi..🤣
Kajaribu utajua ni viza au ni zimaYai viza?
MchumbaEndelea,kuna jamaa huku wamezika juzi tuu,lichokoza akapewa punch ikapasua vifaa ndani