Kwani Zanzibar wanawachukuliaje watu wa Bara?

Kwani Zanzibar wanawachukuliaje watu wa Bara?

Video hii inaonesha mtu akichapwa fimbo huku akiambiwa "Hapa si bara" sababu za kuchapwa eti ni kwa kuwa amekula mchana chakula wakati wa Ramadhani.

Hivi Zanzibar, mnawachukuliaje watu wa bara? Ni watu baki au ni watu wasio na haki ya kukaa Zanzibar? Maana hapo ni ubaguzi wa wazi, kupanda mbegu ya chuki ambayo ni hatari kwa Taifa.

Kwani mtu ukifunga, ukaendelea na mfungo wako inakuathiri nini kwa asiyefunga kula?

Siyo sawa Kitendo cha kuwachapa au kuwafanyiwa vitendo mbalimbali vibaya watu wasiofunga mwezi wa Ramadhani.

View attachment 2947747

Soma pia:

1) Yanayoendelea Zanzibar tusubiri majibu ya wahanga na kuzaa Gharika

2) Zanzibar: Akutana na kipigo baada ya kuonekana akila mchana!

3) PEMBA: Achapwa Mikwaju Kula Mchana Mwezi mtukufu wa Ramadhan
Mtapigwa sana wajinga wakubwa nyie

Kuhusu watu kuadhibiwa kula hadharani ZANZIBAR hilo naliunga mkono.Imani za watu ziheshimiwe

Unajua nashindwa kuelewa watu wanatokwa na povu kwa suala dogo kama hili kwani haswa wakati taratibu za wenzetu zipo wazi?

ZANZIBAR hakuna aliyelazimishwa kufunga ispokua utaratibu wa kule unakataza mtu kula hadharani hasa kipindi hiki cha Mwezi mtukufu wa Ramadhan

Na mnajua ZANZIBAR asilimia 99.999 ni waislam, na lazima tamaduni za watu ziheshimiwe kama unataka kula mchana we kula tu lakini sio vizuri kula hadharani maana yake utakua unafundisha nini jamii?

Kwa huku bara hata mtu ukila ni sawa tu maana humu tumechanganyikana watu wa dini tofauti ZANZIBAR wengi ni waislam na nashangaa watu mnatokwa na mapovu kwenye hili

Ni ushetani mkubwa kutokua na haya na kwenda kula public mwezi wa ramadhan katika jamii ambayo ni waislam watupu kwanini usitafute mahala kwako au ndani kwako ukala?Kwanini ule hadharani?

Kuna mtu kahoji kwahiyo mbona sisi kwaresma huwa hatuwagusi waislam ambao unakuta hawajafunga?Swali ni mkristo yupi anafungaga kwaresma?Mimi nimekulia sehemu zenye Christian majority sijawahi kuona mtu kafunga hata kwa bahati mbaya....Kwahyo msipende kucompare dini za watu, kama mnaridhika imani zenu kuchezewachezewa kwasababu zishakua "imani cheap" ni nyie ila sio uislam.

Uislam sio dini ya masihara na mchezomchezo ndo maana ndo dini inakua kwa kasi kidunia na ipo tokea karne pamoja na kupigwa vita vya kimwili na kiroho.Watu washaacha dini yao ishaharibiwa huko na kuchezewa vya kutosha sasa wanataka uislam iwe dini ya hivyo hilo No!!

Mnaotokwa na mapovu kuhusu sakata la kula kumbukeni ZANZIBAR asilimia 99 ni waislam kwahyo tamaduni za walowengi ziheshimiwe..

Kama ulikua na mikiu yako ya kula minguruwe yako ungeenda kujifungia ndani ule kwa raha zako!! Msipende kuwaponza waliofunga!!Mimi naunga mkono wachapwe tu.kila mtu aheshimu imani ya mwenzake kama ambavyo yake huheshimiwa. Kama umeshindwa kuvumilia rudi huku bara tu na kama unaona wanaonewa mule visiwani panda boti uende ukawatete na ukale mchana uone moto wake....TUHESHIMIANE!!
 
Mwanadamu amevumbua Dini na Imani mbali mbali tokea alipopata ufahamu takriban miaka elfu thalathini.

Zimekuwa zikiibuka na nyingine kufa na nyingine kustrugle.

Lakini ukivumbua Dini yako ukasema hii ndio ya Haki na Mtume wako ndie wa mwisho halafu ukatumia Upanga Ugaidi na Mauaji kuisambaza nadhani ni Idea ya Hovyo.
 
Huu upuuzi wote unaletwa na CCM kung'ang'ania huu muungano wa mchongo. Tunawabeba sana hawa wala urojo lakini hawana shukrani,muungano uvunjwe Wazanzibari wote huku bara tuwatimue warudi kwao na Watanganyika walioko huko warudi nyumbani.
 
Video hii inaonesha mtu akichapwa fimbo huku akiambiwa "Hapa si bara" sababu za kuchapwa eti ni kwa kuwa amekula mchana chakula wakati wa Ramadhani.

Hivi Zanzibar, mnawachukuliaje watu wa bara? Ni watu baki au ni watu wasio na haki ya kukaa Zanzibar? Maana hapo ni ubaguzi wa wazi, kupanda mbegu ya chuki ambayo ni hatari kwa Taifa.

Kwani mtu ukifunga, ukaendelea na mfungo wako inakuathiri nini kwa asiyefunga kula?

Siyo sawa Kitendo cha kuwachapa au kuwafanyiwa vitendo mbalimbali vibaya watu wasiofunga mwezi wa Ramadhani.

View attachment 2947747

Soma pia:

1) Yanayoendelea Zanzibar tusubiri majibu ya wahanga na kuzaa Gharika

2) Zanzibar: Akutana na kipigo baada ya kuonekana akila mchana!

3) PEMBA: Achapwa Mikwaju Kula Mchana Mwezi mtukufu wa Ramadhan
wazanzibar ni watumwa
Kitupi hata kuwakomboa ni tanzania bara tuliopeleka vikosi kuwapiga waarabu
 
Bara gani wa huko Zanzibar afande wa Zanzibar Sheria bila bila wanajua kubambika tu sasa mtu kala hadharani unaenda kumshtaki kadhurula una akili wewe?
Mtu wa kwenu katoka gongolamboto, asharudishwa huko
Zanzibar ni nchi ya kiislam wewe njoo na njaa zako mwezi huu utakomeshwa tu, wenzako wengi wamerudi kwao bara mpaka mwezi uishe
 
Ni watuhumiwa si wafungwa, mahakamani bado hawapelekwa. Elewa mifumo yakisheria inavyo fanya kazi
Hao wanaweza kwenda rumande japo wiki mbili ndio wataachiwa wakome kula mchana mara nyengine kwenye ardhi ya Zanzibar
 
Yule afande Rama ndiyo aina ya watu wanaotakiwa mwezi huu pale Zanzibar...

Tunazuia watu kula mchana ila ushoga tunaufumbia macho...

Zanzibar imejaa watu wasio na reasoning kabisa...
 
Sauti yetu iko kwenye box la kura kama chichiemu watatuletea bibi wa kizi mkazi.arudi huko.tunawabeba sana halafu bado wanaleta za kuokotwa.tunasubiri tamko la smz na jmt
 
Hawa mara nyingi ni Wazanzibar ambao hawajawahi kutoka hapo au kusafiri nje ya nchi yao.
Wazanzibar tunaoishi nao huku bara hawana itikadi hizo
 
Ulichokiandika umesahau?

Kajikumbushe.
Sina haja ya kujikumbusha mkuu,

Ripoti juu ya yale nimeandika ziko wazi, naweza kukuwekea hapa ukihitaji, video za wale watoto wa the Chanzo hukuona? Unaweza kuzitafuta utizame? Unajua trend ya haya matukio huko yanayoripotiwa kila leo na vyombo vya habari? Au uliamua tu kujibu mkuu?

Narudia tena, siwezi kukukosea heshima au kujibizana na wewe. Wengine tumelelewa katika maadili mkuu. Naomba mjadala kati yetu niufunge na kama nilikukwaza kwa namna yoyote ile, niwie radhi.
 
Video hii inaonesha mtu akichapwa fimbo huku akiambiwa "Hapa si bara" sababu za kuchapwa eti ni kwa kuwa amekula mchana chakula wakati wa Ramadhani.

Hivi Zanzibar, mnawachukuliaje watu wa bara? Ni watu baki au ni watu wasio na haki ya kukaa Zanzibar? Maana hapo ni ubaguzi wa wazi, kupanda mbegu ya chuki ambayo ni hatari kwa Taifa.

Kwani mtu ukifunga, ukaendelea na mfungo wako inakuathiri nini kwa asiyefunga kula?

Siyo sawa Kitendo cha kuwachapa au kuwafanyiwa vitendo mbalimbali vibaya watu wasiofunga mwezi wa Ramadhani.

View attachment 2947747

Soma pia:

1) Yanayoendelea Zanzibar tusubiri majibu ya wahanga na kuzaa Gharika

2) Zanzibar: Akutana na kipigo baada ya kuonekana akila mchana!

3) PEMBA: Achapwa Mikwaju Kula Mchana Mwezi mtukufu wa Ramadhan
weka na hii link kwnye uzi wako
MAPYA YAIBUKA: WALIOKAMATWA KWA KULA MCHANA ZANZIBAR, MWANASHERIA AFUNGUKA 'WANAWAONEA'
 
mie nadhani ikiwa ni ndugu, muislamu mwenzao ambae hana sababu ya msingi ya kutokufunga, wako sahihi katika kurekebisha na kumsahihisha licha ya kua uamuzi wa kufunga au kutoka kufunga ni wake binafsi 🐒

hata hivyo,
kuzingatia table manners ni muhimu zaidi, sio tu katika mwezi huu wa mfungo bali nyakati zote za kula ...
hivi ukapika chakula chako kwako ukakaa ndani kwako mezani na familia yako mkafakamia msosi wenu taratibu bila kuwasumbua wengineo walioko njee , waliofunga nani atahangaika na wewe?🐒

Ni kwasbabu we don't observe table manners, ulimbukeni na mazoea vimetujaa, tunatamani kula chochote mahali popote bila pia kuzingatia wengine wamefunga, wamekula au hawajala. That is wrong 🐒

kaa ndani kula chakula chako taratibu. Toka ñjoo kijiweni tuendeleze soga na story za hapa na pale. Sio wew unakuja kijiweni na msahani wako wa pilau au chips unabugia akati sie tupo kwenye hali tunazozijua wenyewe 🐒

si sawa,
hata hivyo we can handle negative issues, positively na tutanyosha maneno muzuri zaidi 🐒
Nilijua unaakili kumbe laah!
Umefunga kula au umejiweka nadhiri kwa Mungu? Huo muda wa kumtafakari Mungu unaanzaje kumuwazia mtu anaye kula?

Dini gani mnatumia nguvu kiasi hicho kumfurahisha Mungu?

Kula ni moja ya hitaji kuu la binadamu na kila mtu hula kulingana na mwili unvyohitaji! Kwa nini mmuzuie?

Nyie baadhi ya waislam tukiwambia uwezo wenu wa akili ni mdogo muelewe !
 
Nilijua unaakili kumbe laah!
Umefunga kula au umejiweka nadhiri kwa Mungu? Huo muda wa kumtafakari Mungu unaanzaje kumuwazia mtu anaye kula?

Dini gani mnatumia nguvu kiasi hicho kumfurahisha Mungu?

Kula ni moja ya hitaji kuu la binadamu na kila mtu hula kulingana na mwili unvyohitaji! Kwa nini mmuzuie?

Nyie baadhi ya waislam tukiwambia uwezo wenu wa akili ni mdogo muelewe !
inatosha ukiwa muerevu wewe pekee....

lakini pili,
nina imani yangu thabiti na imara sana...
haiyumbishwi wala kutikiswa na anae kula ama asie kula vipindi vya mfungo....

sijuvungi na wala si mchoyo, kuweka bayana maoni na mtazamo wangu juu ya mambo mbalimbali humu jukwaani, whether ntamuudhi, mkwaza au kumfurahisha mawana famillia wa JF... nitasema tu bila mbambamba...

lakini pia sina stress wala mihemko nikibezwa, nikitukanwa au kuitwa jina lolote apendanyo mtu kuniita as long as ni uhuru wake, just enjoy...

hata hivyo,
nakutakia Heri, Neema na Baraka za Mungu, wewe binafsi, familia na ndugu zako wote, sikukuu ya Pasaka hii ikawe tulivu na amani sana kwenu...
 
Sina haja ya kujikumbusha mkuu,

Ripoti juu ya yale nimeandika ziko wazi, naweza kukuwekea hapa ukihitaji, video za wale watoto wa the Chanzo hukuona? Unaweza kuzitafuta utizame? Unajua trend ya haya matukio huko yanayoripotiwa kila leo na vyombo vya habari? Au uliamua tu kujibu mkuu?

Narudia tena, siwezi kukukosea heshima au kujibizana na wewe. Wengine tumelelewa katika maadili mkuu. Naomba mjadala kati yetu niufunge na kama nilikukwaza kwa namna yoyote ile, niwie radhi.
Kasome tena ulichokiandika.

Huna lolote zaidi ya porojo za kijinga tu.
 
Back
Top Bottom