Kwani Zanzibar wanawachukuliaje watu wa Bara?

Kwani Zanzibar wanawachukuliaje watu wa Bara?

Video hii inaonesha mtu akichapwa fimbo huku akiambiwa "Hapa si bara" sababu za kuchapwa eti ni kwa kuwa amekula mchana chakula wakati wa Ramadhani.

Hivi Zanzibar, mnawachukuliaje watu wa bara? Ni watu baki au ni watu wasio na haki ya kukaa Zanzibar? Maana hapo ni ubaguzi wa wazi, kupanda mbegu ya chuki ambayo ni hatari kwa Taifa.

Kwani mtu ukifunga, ukaendelea na mfungo wako inakuathiri nini kwa asiyefunga kula?

Siyo sawa Kitendo cha kuwachapa au kuwafanyiwa vitendo mbalimbali vibaya watu wasiofunga mwezi wa Ramadhani.

View attachment 2947747

Soma pia:

1) Yanayoendelea Zanzibar tusubiri majibu ya wahanga na kuzaa Gharika

2) Zanzibar: Akutana na kipigo baada ya kuonekana akila mchana!

3) PEMBA: Achapwa Mikwaju Kula Mchana Mwezi mtukufu wa Ramadhan
20240329_220701.jpg
 
Yaani wengi mumewatukana wazanzibari kwa kosa la wachache. Wengi wazanzibari hawana habari kama unakula au huli. Kwani hiyo serikali yenu ya CCM iko wapi?. Mbona hawchukui sheria kulingana na katiba ya nchi?. Labda ni hao hao ndugu zenu wanafanya hivi. Labda kwa kuwakumbusha musio juwa historia, Tanganyika ilikuwa ni sehemu ya zanzibari hadi miaka ya wazungu kuleta fitina zao.
 
Huo ni uvunjifu mkubwa wa amani na haki za raia katika hii Jamuhuri, hao wanaompiga huyo kijana ni watu mafedhuli sana wanaoonekana kuwa na akili finyu sana.
Eti yamefunga !!!takataka mkubwa Huyo,, Hiyo Ni fujo Au funga..
 
Hakuna muislam anaweza kumpiga kafiri eti kisa anakula HADHARANI,hao ni wahuni kama wahuni wengine tuh,we ile video umeiona?unaona wale ni watu wa kuwawekea dhamana kuwa Wana uelewa sahihi wa dini? besides hata huyo aliekawa anapigwa hakuna sehemu imesemwa kuwa ni mkristo,infact anaweza kuwa hata ni muislam mwenzao vile vile,ila fact ni kwamba funga ni ibada ya mola na mja wake, haiwezekani MTU afunge kisha iwe kikwazo kwake Kwa mtu kula mbele yake,kipimo hasa Cha funga ni Imani,kama MTU akila mbele yako na wewe ukaweza kujizuia Kwa kujiambia kuwa hakika nimefunga ndiyo maana hasa ya funga

Nenda kale sasa Zanzibar uone ukafir ulioko ni mkubwa kuliko wangu mimi. Waislamu wanaonekana Dunian ni makafir dini ya kikatili na kinyama sana
 
Hahahaha..wanamuonea wivu mwana anapiga zake ugali saaafi....
Hawa mabichwa bapa huwa ni mazezeta Big time..
Dini zingine takataka,, unampiga MTU Kwa Kosa lipi kwani kufunga Ni Lazima??? Aliyeleta Dini alaniwe
 
Wanaongoza wao TANZANIA UTASEMAJE NA RAIS YUPO ETI NAE MUISLAMU HOVYO SNA
 
wazanzibari wabaguzi Sana, Hakuna kiongozi yeyote aliyekemea suala hilo mpaka Sasa. Kama Mimi Siyo mwislamu unanilazimisha kufunga? Ndivyo Quran inavyofundisha ,bibi yetu wa JF njoo utufafanulie hili
 
Hakuna mzanzibar mwenye akili hii hujidhihirisha hata kwenye matokeo ya mitihani reasoning Yao ni ya hovyo mno
Kingine ni uvivu na unafiki uliopitiliza
Ndio wamejazana huku bara wengine mawaziri na wakuu mahali mahali upuuzi mtupu.
 
Ningeua mmoja hapo nao waniue mbuzi hao.
Mmeamua kushinda njaa mi inanihusu nini?
 
Zanzibar ni jamii ya mashoga na vichaa, masalia ya watumwa ni jamii za mashoga
Unaua nguvu ya hoja unapoleta matusi jitahidi kujenga hoja sio kutukana maana na wewe unakuwa umewazidi wao kwa ujinga
 
Hawa watu ni wabaguzi sana. Mioyo yao imejaa na kusheheni chuki za wazi dhidi ya watu wa bara.

Na jinsi walivyojazana huku bara siku muungano ukivunjika sijui watajificha wapi
Waafrika kibao wapo ulaya na amerika, vipi afrika imeungana na mabara hayo? Kuwa sehemu sio lazima muungano
 
Na hii ndio shida ya Rais Mwinyi ataiharibu zanzibar kabisa! Ni lazima Zanzibar wachague kitu kimoja kuwa nchi ya kiislam kabisa na hawahitaji watu wengine au lah?
Hiyo video ni kabla mwinyi hajaingia madarakani
 
Huku mboni wanakula km ni tamaduni acha uzuzu kengewee wapemba tunakula nao ugali Samaki muda huu hapa nilipo hakuna aliewashikia bakora
Kwasababu tamaduni yako hairuhusu kumfanyia hivyo...Halafu kumbe we ni Mgumu kuelewa as if watumia ubongo wa mbuzi...KIPOCHI MANYOYA Wewe
 
Hujalazimishwa kufuata Imani ni wajibu wako kufuata sheria za nchi, umeambiwa usile mchana wa ramadhan wazwazi ufanye hivyo otherwise utachezea tu mikwaji hakuna namna nyengine
Hiyo siyo sheria.....
Kwani Zanzibar si nchi ya kidini.
 
Back
Top Bottom