Qashy Lilith
JF-Expert Member
- Aug 30, 2024
- 1,508
- 2,965
Haya mambo hayaulizwi hadharani😂Qashy Lilith We una addiction ipi ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya mambo hayaulizwi hadharani😂Qashy Lilith We una addiction ipi ?
Kwani huko kwenu ni usiku😅Kuna sehemu umeambiwa utoe support?
Kakojoe ulale.
Jikite kwenye mada.Kwani huko kwenu ni usiku😅
Utaniambiaje nikalale kati nipo kwenye madaJikite kwenye mada.
Habari za "kwetu" ni nje ya mada. Wala hazihusiani na mada.
Mada ni kuhusu addiction.
Kumekuchaaaaaa kumekucha kwa sauti ya Mzee majuto ,😂Utaniambiaje nikalale kati nipo kwenye mada
Kama upo kwenye mada, mbona ulikuwa unaanza kutoka nje ya mada?Utaniambiaje nikalale kati nipo kwenye mada
Nikiuliza kama kwenu ni usiku .is it a crimeKama upo kwenye mada, mbona ulikuwa unaanza kutoka nje ya mada?
Maneno yako yamenikumbusha mtu mmoja anaitwa Dr. Joe DispenzaAddiction inatokana na nervous system ikiwa hard wired kufanya kitu fulani, so mpk ubadilishe mifumo ya neva kwa njia mbalimbali via mediation, therapy and so forth. Mambo ya kusema utaacha kwa kuongea au kufikiri sahau
Nimepata memory ile na simu ina opera mini yani kila mda ni kudownload hizo videos na3rect mpka dushe inataka kuchomoka dah ila siachi kila siku nipo mzigo nachoshukuru sijawahi kujichua ama kufikiria kujichua nachukia hilo jambo, ikapita muda nikapunguza kuangalia ila sometimes naangalia kupima kama mzigo uko fit (maana nilikua naogopa et hizo videos zinamalika nguvu na kusababisha Erectile Dysfunction) baada imeenda enda nikaacha kabisa but nilivyofika chuo nikaanza tena yani inafika time mpaka nadodge vipindi niangalie hizo mambo.Nilipokuwa naanza anza secondary siku moja niliingia gheto la wana nikakuta kuko kimya kuuliza naona wana wako concentrated sana nikajua labda mapindi au wanasolve paper...kumbe wanaangalia blue films aka p*rn0 nami nikachungulia dah niliangalia dakika kadhaa ila badae nikaona kinyaa sana
...
Sikuangalia tena mpaka namaliza form four lakini ile likizo ya kusubiri A-level nilinunua simu(kitochi) aisee asikwambie mtu addiction inapower moja ya ajabu yani nikahangaikia nipate kimemory mpaka nikapata...inaendelea
Soma vitabu vyake ameelezea kwa kina...Maneno yako yamenikumbusha mtu mmoja anaitwa Dr. Joe Dispenza
It's not a crime.Nikiuliza kama kwenu ni usiku .is it a crime
Don't talk to me rudely 😏It's not a crime.
Hatuko hapa kujuana kwetu au kwenu.
Tupo kuchangia maoni yetu kuhusiana na mada ya addiction.
Hizi habari za "kwetu" ni nje ya mada.
Jikite kwenye mada.
Ningetaka tiba ningeanzisha Uzi😂 nipe muda nimalize addictionSema upate tiba 😂
Hongera sana Mkuu Mungu azidi kukusimamiaNimepata memory ile na simu ina opera mini yani kila mda ni kudownload hizo videos na3rect mpka dushe inataka kuchomoka dah ila siachi kila siku nipo mzigo nachoshukuru sijawahi kujichua ama kufikiria kujichua nachukia hilo jambo, ikapita muda nikapunguza kuangalia ila sometimes naangalia kupima kama mzigo uko fit (maana nilikua naogopa et hizo videos zinamalika nguvu na kusababisha Erectile Dysfunction) baada imeenda enda nikaacha kabisa but nilivyofika chuo nikaanza tena yani inafika time mpaka nadodge vipindi niangalie hizo mambo.
...
siku moja nikaamua sasa ee MUNGU nisamehe sana nililia sana nikatubu saana nikawa nakwepa vishawishi vyote, nilifuta insta, telegram, Facebook na nikaweka dns setting ili tu nisishawishike kurudia....nikawa natembea in groups ili nisibaki pekeyangu nikaangalia
...
hatimae sasa naona miaka inaenda karibu mitatu nimeacha kabisa hata sifikirii hizo mambo hata nibaki pekeangu yani hata lile wazo tu halipo mitandaoni nilirudi insta feed nikaicontrol haina nud3s, YouTube the same ila nikajitahidi nireplace ile addiction na kitu kingine hicho kitu nimepata ni Jamiiforums aisee walioanzisha hili jukwaa MUNGU awabariki sana humu hua nipo mornile to usiku japo nakuwa bize na kazi
...
Humu yani ndio sehemu yangu ya kuweka kichwa sawa nimejiunga jan5 nashangaa ety saivi me ni JF-Expert member haha 😂
We jamaa mwongo na sidhani kama umeacha! Tena umerudisha triggers kama insta, we kila siku unakitupaNimepata memory ile na simu ina opera mini yani kila mda ni kudownload hizo videos na3rect mpka dushe inataka kuchomoka dah ila siachi kila siku nipo mzigo nachoshukuru sijawahi kujichua ama kufikiria kujichua nachukia hilo jambo, ikapita muda nikapunguza kuangalia ila sometimes naangalia kupima kama mzigo uko fit (maana nilikua naogopa et hizo videos zinamalika nguvu na kusababisha Erectile Dysfunction) baada imeenda enda nikaacha kabisa but nilivyofika chuo nikaanza tena yani inafika time mpaka nadodge vipindi niangalie hizo mambo.
...
siku moja nikaamua sasa ee MUNGU nisamehe sana nililia sana nikatubu saana nikawa nakwepa vishawishi vyote, nilifuta insta, telegram, Facebook na nikaweka dns setting ili tu nisishawishike kurudia....nikawa natembea in groups ili nisibaki pekeyangu nikaangalia
...
hatimae sasa naona miaka inaenda karibu mitatu nimeacha kabisa hata sifikirii hizo mambo hata nibaki pekeangu yani hata lile wazo tu halipo mitandaoni nilirudi insta feed nikaicontrol haina nud3s, YouTube the same ila nikajitahidi nireplace ile addiction na kitu kingine hicho kitu nimepata ni Jamiiforums aisee walioanzisha hili jukwaa MUNGU awabariki sana humu hua nipo mornile to usiku japo nakuwa bize na kazi
...
Humu yani ndio sehemu yangu ya kuweka kichwa sawa nimejiunga jan5 nashangaa ety saivi me ni JF-Expert member haha 😂
Ni kweli mkuu! Maarifa yasiyowekwa katika matendo ni Maarifa butu.Soma vitabu vyake ameelezea kwa kina...
Ila yote kwa yote without practice ni kazi bure