kuna kipindi nilikua na uraibu wa kinywaji cha Azam ukwaju (tamarind) yani kwa siku napiga hata 5 za baridi, nikaja kusoma mahala kuwa ina preservative inaitwa sodium benzoate ikikaa sana inareact inakuwa benzene, na benzene ni chanzo cha blood cancer dah! tokea hio siku niliacha kabisa, japo baadae niligundua ni uzushi. Addiction yangu ikaishia pale!