Kwanini Afrika ni masikini? Au kuna mnyororo wa kiroho unaotushikilia tangu mwanzo?

Kwanini Afrika ni masikini? Au kuna mnyororo wa kiroho unaotushikilia tangu mwanzo?

katika kitu kinaniumiza kichwa kila siku ni neno TECHNOLOGY-teknolojia. hichi kitu kinanikosesha kabisa FURAHA ya MAISHA. najiuliza sana kwanini mimi nimeshindwa kuvumbua KITU chochote hapa chini ya JUA kinachoweza kuisaidia JAMII yangu? au mimi sikuumbwa na huyu tunayemuita MUNGU? mbona mimi tu? kuna SIRI kubwa SANA hapa katikati, huenda hata huyo MUNGU hayupo, labda kuna JANJA-JANJA fulani mahali ambapo hawa WEUPE wameamua kwa MAKUSUDI kabisa kutuficha kitu, japo AKILI yangu inaniambia nisiwalaumu sana ila niTAFAKARI sana huenda nikapata JIBU na JAWABU hata kama itaGHARIMU MUDA wangu.
 
katika kitu kinaniumiza kichwa kila siku ni neno TECHNOLOGY-teknolojia. hichi kitu kinanikosesha kabisa FURAHA ya MAISHA. najiuliza sana kwanini mimi nimeshindwa kuvumbua KITU chochote hapa chini ya JUA kinachoweza kuisaidia JAMII yangu? au mimi sikuumbwa na huyu tunayemuita MUNGU? mbona mimi tu? kuna SIRI kubwa SANA hapa katikati, huenda hata huyo MUNGU hayupo, labda kuna JANJA-JANJA fulani mahali ambapo hawa WEUPE wameamua kwa MAKUSUDI kabisa kutuficha kitu, japo AKILI yangu inaniambia nisiwalaumu sana ila niTAFAKARI sana huenda nikapata JIBU na JAWABU hata kama itaGHARIMU MUDA wangu.
Kwa hiyo kushindwa kugundua chochote ndo kinakufanya uanze kukufuru. Mbona haujiulizi kuwa mimi ni mzima mbona wengine ni walemavu?
 
Fikiria kama watu weusi sio wapuuzi unataft nafasi 20 za kazi unaita watu 15000 kama sio uchawi nini basi hizo nafasi 20 kila mtu kagawana mtu wake alafu useme tuwe na akili sisi
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
katika kitu kinaniumiza kichwa kila siku ni neno TECHNOLOGY-teknolojia. hichi kitu kinanikosesha kabisa FURAHA ya MAISHA. najiuliza sana kwanini mimi nimeshindwa kuvumbua KITU chochote hapa chini ya JUA kinachoweza kuisaidia JAMII yangu? au mimi sikuumbwa na huyu tunayemuita MUNGU? mbona mimi tu? kuna SIRI kubwa SANA hapa katikati, huenda hata huyo MUNGU hayupo, labda kuna JANJA-JANJA fulani mahali ambapo hawa WEUPE wameamua kwa MAKUSUDI kabisa kutuficha kitu, japo AKILI yangu inaniambia nisiwalaumu sana ila niTAFAKARI sana huenda nikapata JIBU na JAWABU hata kama itaGHARIMU MUDA wangu.
Hakika mkuu
 
Ulipoweka wazo la mambo ya kufikirika ya "mungu" ndio ulipoonyesha udhaifu wa umaskini wenyewe kwa mwafrika... tukiondoa hizo dhana za tamaduni za mkoloni tu ..Afrika itapaa na kuwa yenye nguvu sababu kila kitu tunacho..
 
Back
Top Bottom