Kwanini Afrika ni masikini? Au kuna mnyororo wa kiroho unaotushikilia tangu mwanzo?

Kwanini Afrika ni masikini? Au kuna mnyororo wa kiroho unaotushikilia tangu mwanzo?

Sababu ni nyingi sana,lakini zote hizo,zimezalishwa na kubwa ni mbili TU,1-Muingiliano na jamii zingine nyeupe(ikumbukwe baadhi ya miji kama Timbuktu iliwahi kuendelea zaidi ya London wakati huo) na 2-kupungua Kwa common sense(fikiria rais kutoa m5 kila goli,uchawa na upuuzi mwingine,hii imefanya watu wanaotumia common sense kuonekana maginious,mambo anayofanya trump ni common sense kabisa,Kwamba kila mtu ajitegemee, lakini Kuna watu wanamuona ni smart sana na wengine wanamuona kilaza),so kama tunaweza kuwa vigilant enough na kutumia common sense kidogo tu,inatosha kufanya makubwa.
 
Afrika itapaa na kuwa yenye nguvu sababu kila kitu tunacho..
Si kweli kwamba unapata maendeleo kwa sababu una kila kitu. Unapata maendeleo ukiwa na maarifa kichwani ambaye sisi hatuna. Kuwa na gesi ni jambo moja, kuifanya gesi iwe mali ni jambo linalohitaji akili tu basi.
 
Watu weusi ni wabinafsi mno roho mbaya na uchu wa madaraka umetujaa hakuna lolote tunalolijua
 
Unashindwaje kuona connection ya ubinafsi na kukosa uzalendo vinavyochangia umasikini? Rudi shule haraka we KILAZA.
Sio nashindwa kuiona connection ila haipo ila Saba level ya kufikiri ni below standard IQ ndio maana unafikiri ukiwa mzlendo automatically unapata maendeleo. Maendeleo yanaanzia na maarifa kichwani unaweza kuwa mbinafsi na sio mzalendo ila ukawa na maendeleo. Kwani kuzalisha simu na kuzuiza duniani unahitaji uzalendo au maarifa. Wewe ni pure homesapian
 
Mijinga tu, hata sasa hivi ni mitumwa ya ustaraabu wa wengine, Ina Jenga mijengo mikubwa kurithi ufala tu,
Imagine mjinga kabumbuliwa, kaelewa kuwa huu ni ujinga, bado anauvalia suti ujinga ule ule.
 
Ni kweli Africa ni maskini Eli Cohen na mnyororo unaotufunga sio wa kiroho! Bali ni wa kigeographia na mazingira.

Ipo hivi, ukitazama bara letu kwenye uso wa Dunia limekaa umbo la wima ukilinganisha na mabara ya Ulaya na Asia ambayo yamelala. Hali hii ilisababisha ardhi yetu kuwa na tabia nchi tofauti tofauti hivyo kuwafanya wakazi wa sehemu husika kudhibitiwa sehemu moja tuu.

Kuna jangwa la sahara, jangwa hili linazuia mtu yoyote kutoka kusini atakayejaribu kwenda kasikazini.

Kuna wanyama wakali, ukiachana na Simba, Pundamilia ni mnyama ambaye angetupiga tafu kubwa sana hapo zamani kama tu, angekuwa mtiifu kwa mwanadamu.

Alafu, namaliza kwa kusema ukifwatilia sana utagundua kwamba kila mwanadamu ana sababu ya kuwepo na ana faida hata kama hujui leo basi jua anajua aliyekuumba.
 
Ni kweli Africa ni maskini Eli Cohen na mnyororo unaotufunga sio wa kiroho! Bali ni wa kigeographia na mazingira.

Ipo hivi, ukitazama bara letu kwenye uso wa Dunia limekaa umbo la wima ukilinganisha na mabara ya Ulaya na Asia ambayo yamelala. Hali hii ilisababisha ardhi yetu kuwa na tabia nchi tofauti tofauti hivyo kuwafanya wakazi wa sehemu husika kudhibitiwa sehemu moja tuu.

Kuna jangwa la sahara, jangwa hili linazuia mtu yoyote kutoka kusini atakayejaribu kwenda kasikazini.

Kuna wanyama wakali, ukiachana na Simba, Pundamilia ni mnyama ambaye angetupiga tafu kubwa sana hapo zamani kama tu, angekuwa mtiifu kwa mwanadamu.

Alafu, namaliza kwa kusema ukifwatilia sana utagundua kwamba kila mwanadamu ana sababu ya kuwepo na ana faida hata kama hujui leo basi jua anajua aliyekuumba.
Ahsante mtaalam
 
Je mwafrika ni kizazi cha nani? Mtu anaechukiwa na kudharauliwa na kila aina ya mtu hapa duniani. Mtu aliekuwa mtumwa wa kila aina ya mtu duniani.

Au sisi ni nzao ya Ham?, mwana alieona uchi wa baba yake (noah), akacheka, then noah akamlaani na kumwambia atakuwa mtumwa wa wenzio

Gusa vyote katika mwafrika ila lakini hawezi tick kwenye vibox vya high IQs, U-Genius, Innovation na kutumia akili zaidi ya nguvu.
Ni ujinga tu
Ni ipi asili yetu? Je akili pana haikuwa hatma yetu basi nguvu ndio ikawa mtaji ndio maana tukatumika kufanya kazi kitumwa katika mashamba yao na leo kulipwa katika michezo kwa kuwa tuko more athletic (kasi, nguvu)

Au matokeo haya ni kuwa hatuku wekeza katika ubunifu wa fikra zetu ila tukazidi kudumisha jadi zetu? Kwa hio kusini mwa jangwa la sahara jamii zote za kiafrika ziliamua kuwa hivi, mmmmh?!!

Au dunia ya kisasa sio asili yetu ndio maana inatuacha nyuma? Kwamba dunia ya sasa sio ridhiki yetu kwa kuwa kuna mnyororo wa kiroho unaotushikilia tangu mwanzo kwa kuishi kulingana uwezo wetu wa kifikra na kinguvu?

View attachment 3232878
 
Je mwafrika ni kizazi cha nani? Mtu anaechukiwa na kudharauliwa na kila aina ya mtu hapa duniani. Mtu aliekuwa mtumwa wa kila aina ya mtu duniani.

Au sisi ni nzao ya Ham?, mwana alieona uchi wa baba yake (noah), akacheka, then noah akamlaani na kumwambia atakuwa mtumwa wa wenzio

Gusa vyote katika mwafrika ila lakini hawezi tick kwenye vibox vya high IQs, U-Genius, Innovation na kutumia akili zaidi ya nguvu.

Ni ipi asili yetu? Je akili pana haikuwa hatma yetu basi nguvu ndio ikawa mtaji ndio maana tukatumika kufanya kazi kitumwa katika mashamba yao na leo kulipwa katika michezo kwa kuwa tuko more athletic (kasi, nguvu)

Au matokeo haya ni kuwa hatuku wekeza katika ubunifu wa fikra zetu ila tukazidi kudumisha jadi zetu? Kwa hio kusini mwa jangwa la sahara jamii zote za kiafrika ziliamua kuwa hivi, mmmmh?!!

Au dunia ya kisasa sio asili yetu ndio maana inatuacha nyuma? Kwamba dunia ya sasa sio ridhiki yetu kwa kuwa kuna mnyororo wa kiroho unaotushikilia tangu mwanzo kwa kuishi kulingana uwezo wetu wa kifikra na kinguvu?

View attachment 3232878
Angalia Muda tunaotumia Kwa mambo ya kijinga

Hakuna laana wala mnyororo…. We are born in the land of the given
 
Je mwafrika ni kizazi cha nani? Mtu anaechukiwa na kudharauliwa na kila aina ya mtu hapa duniani. Mtu aliekuwa mtumwa wa kila aina ya mtu duniani.

Au sisi ni nzao ya Ham?, mwana alieona uchi wa baba yake (noah), akacheka, then noah akamlaani na kumwambia atakuwa mtumwa wa wenzio

Gusa vyote katika mwafrika ila lakini hawezi tick kwenye vibox vya high IQs, U-Genius, Innovation na kutumia akili zaidi ya nguvu.

Ni ipi asili yetu? Je akili pana haikuwa hatma yetu basi nguvu ndio ikawa mtaji ndio maana tukatumika kufanya kazi kitumwa katika mashamba yao na leo kulipwa katika michezo kwa kuwa tuko more athletic (kasi, nguvu)

Au matokeo haya ni kuwa hatuku wekeza katika ubunifu wa fikra zetu ila tukazidi kudumisha jadi zetu? Kwa hio kusini mwa jangwa la sahara jamii zote za kiafrika ziliamua kuwa hivi, mmmmh?!!

Au dunia ya kisasa sio asili yetu ndio maana inatuacha nyuma? Kwamba dunia ya sasa sio ridhiki yetu kwa kuwa kuna mnyororo wa kiroho unaotushikilia tangu mwanzo kwa kuishi kulingana uwezo wetu wa kifikra na kinguvu?

View attachment 3232878
Ni ujinga tu
 
Back
Top Bottom