Kwanini Afrika ni masikini? Au kuna mnyororo wa kiroho unaotushikilia tangu mwanzo?

Kwanini Afrika ni masikini? Au kuna mnyororo wa kiroho unaotushikilia tangu mwanzo?

Kiroho ngono unaleta umasikini ukitazama takwimu ngono duniani au mawazo ya ngono yapo sana kusini mwa jangwa la Sahara ambapo kuna extremely poverty na kumebeba robo tatu ya raslimali ( utajiri ghafi)za duniani.
Utajiri ghafi means cheap labour, natural resources oil gas,land mineral etc.
Hata miziki yote ya waafrika ni ya kukatika viuno means ngono hichi ni kiashilia cha mawazo ya ngono 80% ngono inaua fikra za ubunifu.
 
Screenshot_20250211-175703.jpg
 
Kwa taarifa yako umaskini unatokana na mambo yetu na mifumo yetu ya maisha kuanzia tunapoamka na kuoneana wivu hadi kulogana na kuchongeana michongo ya kuuana kwasababu mwenzio kafaulu la saba wako alikuwa anaenda kulima badala ya kwenda shule.
Kama mama anaamka asbh anachukua kodi ya mweza kununua vocha ya buku kisha anaingia tiktok kuangali umbea, Urembo wa kucha na kope akimaliza ajirecord video kabinua matako kisha ajipost akimaliza anywe chai alale Unategemea itamchukua miaka mingap akili yake iweze kugundua kuwa mlta ya kawaida inaweza kuboreshwa ikatengeneza gari la umeme au toroli la umeme.
Huyo ni mama unategemea mwanao wa kike anayelelewa na huyu mama atakuwaje na miaka 30 mbele atagundua nini au atakupa wazo gani la maendeleo. Fikiri wakiume anayelelewa na huyu mama pia atajktumaje badala ya kuwa shoda, chawa au mbetiji

Life style ndio tatizo, na maamuzi yetu ya kamati ya roho mbaya.
Sisi hatupendi kushindana bora wote tuvunjike moguu kuliko mmoja afike nikawa wapili


Malezi ila zaidi mifumo yenu ya maisha tu inapswa kubadirika kabisa. Mifumo yenu waliowengi ni uchafu kabisa. Yaan rotten trash kuanzia ukoo hadi familia hadi mtu mmoja mmoja
 
Mada kama hizi huwezi kuta waafrika wanachangia kama zile za ngono na mpira.
Dunia haina huruma na watu masikini
 
Kwa taarifa yako umaskini unatokana na mambo yetu na mifumo yetu ya maisha kuanzia tunapoamka na kuoneana wivu hadi kulogana na kuchongeana michongo ya kuuana kwasababu mwenzio kafaulu la saba wako alikuwa anaenda kulima badala ya kwenda shule.
Kama mama anaamka asbh anachukua kodi ya mweza kununua vocha ya buku kisha anaingia tiktok kuangali umbea, Urembo wa kucha na kope akimaliza ajirecord video kabinua matako kisha ajipost akimaliza anywe chai alale Unategemea itamchukua miaka mingap akili yake iweze kugundua kuwa mlta ya kawaida inaweza kuboreshwa ikatengeneza gari la umeme au toroli la umeme.
Huyo ni mama unategemea mwanao wa kike anayelelewa na huyu mama atakuwaje na miaka 30 mbele atagundua nini au atakupa wazo gani la maendeleo. Fikiri wakiume anayelelewa na huyu mama pia atajktumaje badala ya kuwa shoda, chawa au mbetiji

Life style ndio tatizo, na maamuzi yetu ya kamati ya roho mbaya.
Sisi hatupendi kushindana bora wote tuvunjike moguu kuliko mmoja afike nikawa wapili


Malezi ila zaidi mifumo yenu ya maisha tu inapswa kubadirika kabisa. Mifumo yenu waliowengi ni uchafu kabisa. Yaan rotten trash kuanzia ukoo hadi familia hadi mtu mmoja mmoja
True au unakuta mtu analia maisha magumu wakati anamiliki smart office inayotembea
 
Je mwafrika ni kizazi cha nani? Mtu anaechukiwa na kudharauliwa na kila aina ya mtu hapa duniani. Mtu aliekuwa mtumwa wa kila aina ya mtu duniani.

Au sisi ni nzao ya Ham?, mwana alieona uchi wa baba yake (noah), akacheka, then noah akamlaani na kumwambia atakuwa mtumwa wa wenzio

Gusa vyote katika mwafrika ila lakini hawezi tick kwenye vibox vya high IQs, U-Genius, Innovation na kutumia akili zaidi ya nguvu.

Ni ipi asili yetu? Je akili pana haikuwa hatma yetu basi nguvu ndio ikawa mtaji ndio maana tukatumika kufanya kazi kitumwa katika mashamba yao na leo kulipwa katika michezo kwa kuwa tuko more athletic (kasi, nguvu)

Au matokeo haya ni kuwa hatuku wekeza katika ubunifu wa fikra zetu ila tukazidi kudumisha jadi zetu? Kwa hio kusini mwa jangwa la sahara jamii zote za kiafrika ziliamua kuwa hivi, mmmmh?!!

Au dunia ya kisasa sio asili yetu ndio maana inatuacha nyuma? Kwamba dunia ya sasa sio ridhiki yetu kwa kuwa kuna mnyororo wa kiroho unaotushikilia tangu mwanzo kwa kuishi kulingana uwezo wetu wa kifikra na kinguvu?

View attachment 3232878
 

Attachments

  • 5959215-6b7300c48c43013b94b420cc6e416c60.mp4
    8.3 MB
Mkuu IQ,innovation sijui matakataka gani ni proganda tu za mkoloni fuatilia historia ya black american kama wasingebanwa na mzungu wangekuwa mbali sana hata kwetu bongo tumebakia nyuma sio kwa ujinga bali ni kuchelewa kupata yaliyostahili kwa wakati sahihi.
 
Kiroho ngono unaleta umasikini ukitazama takwimu ngono duniani au mawazo ya ngono yapo sana kusini mwa jangwa la Sahara ambapo kuna extremely poverty na kumebeba robo tatu ya raslimali ( utajiri ghafi)za duniani.
Utajiri ghafi means cheap labour, natural resources oil gas,land mineral etc.
Hata miziki yote ya waafrika ni ya kukatika viuno means ngono hichi ni kiashilia cha mawazo ya ngono 80% ngono inaua fikra za ubunifu.
Mkuu nikuulize hili swali ushoga,porn video,nguo za nusu uchi bila shaka zimeanzia Africa?
 
nimeanza-kuamini-ulegelege-wetu-waafrika-kama-bara-katika-maendeleo-unatokana-na-wastani-wa-iq-ya-umma-kuwa-chini-sana-sehemu-ya-ii.2281226
 
Mifumo imeshawekwa kuakikisha Afrika inakua kama ilivyo mpaka mwisho wa dohari. Mifumo iyo ni ya kiuchumi, kielimu, kiimani n.k ambayo inalindwa hata kwa kumwaga damu. Yoyote atakaeonyesha kutaka kuitengua hawezi kubaki salama mfano Gaddafi
 
Nini hasa msingi wa Hoja yako?


Anyway, lakini naona umechanganya vitu viwili ambavyo viko tofaufi kabisa.
Unachanganya mambo mawili hivi: Mwafrika na Mtu Mweusi. Hivi ni vitu viwili tofaufi, siyo kitu kimoja.

Siyo kila Mwafrika ni Mtu Mweusi, na Wala siyo kila Mtu Mweusi ni Mwafrika. Not all Africans are Black people, and not all Black people are Africans, it depends on the various factors.

Wacha kuchanganya hoja, nina uhakika unaelewa hoja ya mleta mada japo unajitia unafiki.
Weusi tuna laana, IQ zetu ni low.
Juzi nilikua naangalia majengo ya Warumi miaka 2,000 iliyopita, walikua na majengo mazuri kuzidi ya kwetu leo, ulinganishe maghorofa ya mjini aliyojenga mzungu hapa Afrika, linganisha na nyumba za Kiafrika za leo
 
Mifumo imeshawekwa kuakikisha Afrika inakua kama ilivyo mpaka mwisho wa dohari. Mifumo iyo ni ya kiuchumi, kielimu, kiimani n.k ambayo inalindwa hata kwa kumwaga damu. Yoyote atakaeonyesha kutaka kuitengua hawezi kubaki salama mfano Gaddafi

Hamna cha mifumo wala Nini, ukweli usemwe tuna laana, hebu angalia hata Wamarekani weusi kutwa kulalamika tu mambo utumwa wa mababu wa mababu zao na kuvaa milegezo wakidunda.
 
Back
Top Bottom